Kutoka kwa Sheikh Ahmed Kandauma
Kila sifa njema anastahili Mola wa ulimwengu huu ambaye ni Allah Subhannahu Wataalah, na rehema na amani ziwe juu yake Mtume Muhammad (S.A.W).
Tunamshukuru Allah kwa kutuwezesha kukutana tena katika ukurasa huu ambapo tutajadili mambo mbalimbali yanayotusaidia...
Tatiana Pereira amehukumiwa jela miaka 25 na miezi nane kwa kumuua makusudi mwanae wa kiume aliyefahamika kwa jina la Lozano (17) kisa ni shoga ambapo hakupendezwa na sexuality ya mwanae huyo.
Awali, mwanamke huyo aliwakodi jamaa wawili kwa majina ya Victor da Silva na Miller da Silva Barissa...
Je, umewahi kufikiria kuwa Mama ndie kiumbe anaepitia upweke kwa kiasi kikubwa zaidi katika maisha zaidi ya Baba?
Ni ukweli usiopingika kuwa mama ndie namba mbili baada ya Mungu muumba wetu alieumba ulimwengu, kwani mama ndie binaadamu anaechukua nafasi kubwa zaidi katika kuja kwetu duniani...
Hii imetokea huko Dar kwa kijana au tuseme mvulana kumdunga kisu mpenzi wake na yeye kujidunga kisu na wote waka rest in peace huku wakiacha katoto
Wavulana mnakwama wapi hadi ujinga wa kuua na kujiua kisa mambo ya mapenzi?
Wakati watu wengi wanajua ya kwamba uhusiano wa kimapenzi kati ya wanafamilia au jamaa wa karibu ni marufuku, sheria zinatofautiana katika nchi mbalimbali, na inategemea aina ya shughuli za ngono na asili ya uhusiano wa kifamilia wa washiriki wanaohusika, na vile vile umri na jinsia ya wahusika...
Uganda ina makabila 56 na katika makabila hayo, kuna wanyankole lenye tabaka mbili Bahima na Biru, huku Wahima wakiwa ni wafugaji na Biru wakiwa ni wakulima. Leo ninakushirikisha utamaduni wa kabila la Wahima.
Wahima au Bahima kwa utamaduni ni wachungaji na hutembea na ng'ombe zao wakitafuta...
Habarini jamani mwenzenu nina mpenzi wangu ninampenda sana ila sasa hivi nashindwa kumwelewa kwani amebadilika sana upande wa mawasiliano amekuwa hanitafuti mara nyingi nikimtafuta hapokei simu nikituma msg hajibu kwa wakati nikimuuliza ana shida gani anasema yupo busy, nikimuuliza ananipenda...
Wengi huumizwa na mapenzi kwani hao wapenzi wao wamewapata kwa ku fake maisha.. mtu anajimwambafai kuwa hela zipo,burudani ndio kisima,shida hazijawahi kusumbua wakati kiuhalisia si sahihi!.
Ndugu kaa ukijua lazima pia utapata mpenzi fake!.. atakachofata kwako ni u fake wako ila atakapo gundua...
Ni mkasa wa kweli unaohitaji ushauri wa kweli.
Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka 2 sasa. Tulikutana ktk vyombo vya usafiri na kuianza safari ya mapenzi. Lkn tunaishi miji (towns) tofauti, haiko mbali mbali sana.
Kwa kipindi chote hicho sijawahi kwenda kwake, hata nikienda mji (town)...
Good morning, guys!
Kuna siku ukiwaza na kutafakari kwa nini upo katika mahusiano utajikuta umeshapoteza muda wako, pesa zako na hata kupoteza muelekeo wa maisha kwa mtu ambae hujui kwa nini ulikuwa nae wala kwa lengo gani?
Katika kizazi cha leo ukiondoa mapenzi au NGONO, katika mahusiano...
Walioana wakiwa wafanyakazi kazi wote wawili, walizaa watoto wawili. Baadae mwanaume aliondoka aliondoka nyumbani.. Yule mama alihangaika kulea watoto, si haba alifanikiwa kuwasomesha watoto na wakati huo Baba amepata binti mdogo anaishi nae.
Watoto walikua wakubwa na alimpata bwana mwingine...
Mapenzi ni matamu ila ni gharama. Nimelithibitisha hili baada ya kipindi fulani kwenda kwenye mapumziko ya siku saba na mrembo wangu mwenye chura matata.
Kabla ya kuanza safari nilikuwa nimeweka bajeti na nikaiamini bajeti ile ingeweza kutosha, baada ya kufika eneo la tukio na mashamsham ya...
Nilichojifunza kwenye mapenzi, kama huna moyo wa kutoa, sahau kupata faraja ya mapenzi. Hata maandiko yanasema, jinsi unavyotoa ndivyo unavyozidi kujiongezea baraka katika maisha yako.
Ukisoma mada nyingi humu unaweza kudhani mwanamke ni kiumbe rahisi sana kutoa tunda,lakini kiuhalisia na sehemu kubwa sio kweli.
Kuna mada kadhaa zinazungumzia kula tunda katika mazingira hatarishi na nyingine kula tunda kimasihara .
Ukizisoma mada hizo motomoto utaona kwamba wanaume wengi...
Ndugu zanguni members wenzangu me ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nasijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote na sio kwamba labda nina tatizo la hasha ila tu nimeamua iwe hivyo mpaka pale nitapopata mwanamke nitakayekuwa na future naye ingawa teyali ninaye ila muda muafaka utapofika nitaweza...
Kumekuwa na imani potofu kwa wanawake kwamba hawawezi kumwambia ukweli mwanaume anampenda kwanza mpaka mwanaume aanze lakini ukweli usiopingika ni kwamba wao pia hupendi na mara nyingi wao wakianza kupenda hupenda kweli kufikia stage hata ya kuhisi kuumwa. Hizi ni dalili za mwanamke anaekupenda...
HABARINI za kazi wapenzi .. kuna rafiki yangu anatafuta (matured women )mwanamke mwenye umri wake kidogo( for no string attached) above 34 and 50 asiwe mke wa mtu labda awe single mother tu yeye ni mtaalamu wa real estate by occupation na anakipato kizuri sio kibaya mengine mtaajuana huko...
Yaani sio nawadharau ila niukweli.
Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao.
Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.
Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa...
Bhana nimecheka sana, kuna rafiki yangu kipenzi anamadharau sana, akimwona mwanaume hajajiweka sawa anamcheka na akimfuata anamkimbia au anadai kaolewa.
Kuna huyu mkaka wako majirani kikazi, yaani ofisi zao zinaangaliana, huyu kaka alimfukuzia best yangu tokea kitambo ila yule dada alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.