j wa nmb
Senior Member
- Jul 28, 2020
- 174
- 419
Mahusiano ni kama Gari la masafa marefu, Tena lenye linapitia barabara yenye mashimo, milima na mabonde.
Inabidi muda wote ucheze na usukani, ukilala tu utajikuta ulisha acha barabara mda mrefu ulio pita na unaelekea shimoni. Hii ikiwa na maana usijisahau, kumbuka hisia zinapotea kutokana na changamoto mbali mbali, Usiisahau misingi iliyo wajenga.
Tengeneza mvuto muwapo pendoni, akumiss kidogo, ajue umuhimu wako ukiwa haupo, mpe mitihani fulani flani ya kuiweka roho juu,ajue wew ni ghali na thamani yako ni kubwa (hapa uwe na kiasi, na umakini kwa misuko suko midogo midogo unayo mpatia). Kwasababu Mapenzi ni sanaa, kumbuka binadam yeyote hupenda zaidi kile kitu anacho kisumbukia, kila mtu hupenda kile kitu ambacho si rahisi kukipata.
Baada ya misuko suko midogo dogo, mpatie good time ahisi uwepo wako na amani moyoni mwake.
Mfano mdogo, chukulia umeme unavyo katika, unaudhika sana lakini baada ya mda umeme unapo rudi, unahisi raha sana tofauti hata na pale ulivyo kuwa upo nao mwanzo.
Habari za mpenzi wangu sijui anasema hana feeling na mimi tena utaishia kuzisoma tuu hapa JF.
Though Mpenzi wangu kanichunia leo siku ya 5, but i hope i will make it again, hatakama itakuwa baadae sana.
Inabidi muda wote ucheze na usukani, ukilala tu utajikuta ulisha acha barabara mda mrefu ulio pita na unaelekea shimoni. Hii ikiwa na maana usijisahau, kumbuka hisia zinapotea kutokana na changamoto mbali mbali, Usiisahau misingi iliyo wajenga.
Tengeneza mvuto muwapo pendoni, akumiss kidogo, ajue umuhimu wako ukiwa haupo, mpe mitihani fulani flani ya kuiweka roho juu,ajue wew ni ghali na thamani yako ni kubwa (hapa uwe na kiasi, na umakini kwa misuko suko midogo midogo unayo mpatia). Kwasababu Mapenzi ni sanaa, kumbuka binadam yeyote hupenda zaidi kile kitu anacho kisumbukia, kila mtu hupenda kile kitu ambacho si rahisi kukipata.
Baada ya misuko suko midogo dogo, mpatie good time ahisi uwepo wako na amani moyoni mwake.
Mfano mdogo, chukulia umeme unavyo katika, unaudhika sana lakini baada ya mda umeme unapo rudi, unahisi raha sana tofauti hata na pale ulivyo kuwa upo nao mwanzo.
Habari za mpenzi wangu sijui anasema hana feeling na mimi tena utaishia kuzisoma tuu hapa JF.
Though Mpenzi wangu kanichunia leo siku ya 5, but i hope i will make it again, hatakama itakuwa baadae sana.