mapenzi

  1. Sky Eclat

    Ndoa ni jambo la Kheri lakini wa dada msiache ndoa iwafanye muwe watumwa wa mapenzi

    Kila mtu anapenda kufunga ndoa na kuwa na familia. Bahati mbaya kwetu wanawake ni mwanaume anaefanya maamuzi kuwa huyu ndiye ananifaa katika safari ya maisha. Hapa hakuna formular wengine watapenda binti mzuri, wengine wanapenda kwasababu ni kabila moja, wengine wanapenda msomi ni mambo...
  2. Pdidy

    Kwanini mapenzi ni muhimu kwa wanandoa

    Why lovemaking is important to couples 1. It is a celebration of the love the two have 2. It meets the sexual needs of both. When your needs are met you feel taken care of 3. It is God's gift to your marriage. Make the most out of this gift 4. It makes you two connect better 5. It makes...
  3. KichwaBOGA

    Somo la mapenzi lifundishwe mashuleni

    Leo nakuja kivingine ka mwanamke wa kitanzania niliefundwa nikafundika iko changamoto kubwa nayo ni uelewa hafifu au hata tuseme ujinga katika uga wa mapenzi. Migogoro mingi katika jamii ina-root back to love affairs mafunzo ya mapenzi hayafundishwi kokote katika mifumo rasmi tukiacha...
  4. Dollar hermees

    Ulishawahi kudanganywa kwenye mahusiano?

    Habari wana JF leo nina bonge moja la tukio ambalo sijawahi kulipitia maisha yangu yote. Mahusiano ni moja ya kitu chenye changamoto sana katika maisha yetu haswa sisi wanaume. Kutokana na asili ya wanaume tulivyo basi kuingia katika mahusiano ni committment na sio mazaha kwa sababu unajua zile...
  5. sky soldier

    Dharau, kuto kulala nyumbani na kukuta meseji za mapenzi kwa mkeo kunastahili adhabu gani?

    Wadau hebu tujuzane kidogo adhabu zinazoendana na situation pale mke wako anapokudharau, Halali nyumbani na akirudi hataki kuuliza maswali na kukuta meseji anachati na wanaume wengine na hataki umuingilie. Tuachane kidogo na ulimwengu wa wazungu maana wao sio mfano wa kuigwa wanaruhusu hata...
  6. Equation x

    Kuendekeza mapenzi ni dhambi?

    Wapo wanaoponda fulani anapenda sana mapenzi! Sasa je, wewe unayeingia kwenye ndoa au mapenzi huwa unafuata nini? Kule hakuna kazi ya kuuza mihogo wala viazi, kazi kubwa kule ni mapenzi tu. Na mapenzi yasipotekelezwa vizuri ipasavyo ndani ya ndoa, lazima migogoro iwepo. Tunasoma, tunatafuta...
  7. Tripo9

    Swali la kufikirisha: Hivi mwanaume unaweza kumgundua mke/girlfriend wako kuwa hapa ametoka kufanya mapenzi na mtu mwingine?

    Naskia wamama hasa kwa watoto wao wa kike wanauwezo mkubwa wa kujua kua huyu binti yangu ametoka kudinyana. Pia, naskia mademu zetu au wake zetu wana exceptional capability ya kueza kutugundua vidume kua tumetoka ku chepuka. Ila swali hapa ni je sisi wanaume tunaweza kigundua kuwa mademu/wake...
  8. FrankLutazamba

    Kuhesabu na kuandika hufundishwa. Je,kufanya mapenzi nani alikufundisha?

    Nilisikiliza BBC London wakatangaza wanataka Waingereza kuingiza mtaala wa mapenzi kuanzia shule za msingi. Na chuo kikuu cha Dar es Salaam ktk kozi ya DS (Developing Study). Niliyosoma first year 2007, Professor wa kozi hiyo alitufundisha kuwa Umoja wa Mataifa unatambua kuwa kufanya mapenzi ni...
  9. Money Penny

    Pandisha Mzuka wa Tendo la Ndoa Kwa Misamiati ya kimapenzi

    Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko...
  10. Abdallahking

    Simulizi : Nguvu ya Mapenzi

    Simulizi: NGUVU YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti katika shule mpya maana wadogo zake hao walikuwa ndio wanaanza kidato cha kwanza na yeye alikuwa...
  11. Sky Eclat

    Ujumbe kutoka Tundu Lissu kwa wote wenye mapenzi mema

    na #TUNDU_LISSU Kuhusu sarakasi za Mahakama ya Kisutu, nina haya ya kusema; Acheni hofu. Kama nitakamatwa na kuwekwa mahabusu, hilo litakuwa ni jambo jema kuliko jambo lingine lolote Magufuli na watu wake watayatendea mapambano ya kudai demokrasia katika nchi yetu. Wakifanya hivyo basi...
  12. 2019

    Kisa cha kweli: Kumbe mapenzi yaliyozaliwa Tanga ni fake

    Wanajamvi habarini? Wanandoa kwema?. Muhtasari: nikiwa tineja nilijiwekea mipaka ya makabila ambayo sitao,kila kabila na sababu zake. Wakurya: ukatili Wachaga:kutojua mapenzi sana Wazaramo: wavivu Tanga(makabila yote): sababu ya ushirikina. Jambo la kushangaza hao ndio nikawa nawapata sana hasa...
  13. Abdallahking

    Simulizi: Nini maana ya mapenzi

    Simulizi: NINI MAANA YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Alikuwa binti mpole ila muongeaji sana, aliyelelewa katika mazingira ya dini, nyumba yao ilijihusisha zaidi na maswala ya dini kiasi kwamba hakutaka kujihusisha na maswala ya mapenzi kwa...
  14. Money Penny

    Mapenzi hayana Google, vijana jifunzeni kwa watu walio watangulia

    Sio maneno yangu ni maneno ya huyu Kaka anaeongea Sana 🙆🙆 Anasema Eti vijana Mapenzi jifunzeni Kwa wakubwa waliowatangulia Umri, sio mnaenda Google au Porn Hub Ila huyu Kaka anaongea balaa, kiru 🏃🏃🏃
  15. Requal

    Vijana wenzangu, nani aliwaambia kunyonyana ndio mapenzi?

    Hivi wanawake mnadhani kunyonya uume wa mwanaume ndio kumridhisha kimapenzi Au kigezo cha kupendwa? wengine mnaenda mbali zaidi yaani mechi inapigwa ikiwa imekolea mkuyenge unachomolewa mdada anaweka mdomoni:cool::cool: na ile miutelezi sasa:(, wengine mpaka wanakojolewa humo mdomoni na asilimia...
  16. Y

    Je, kuzaa mtoto mwenye mapungufu fulani ni tatizo la kibailojia or mapenzi ya Mungu?

    Natumai hamjambo wakuu, Wakuu naombeni usaidizi wenu katika hili, je kumzaa mtoto akiwa mlemavu wa ngozi, macho, kiziwi, bubu, kilema or hata sura mbaya inatokana na sababu za kibailojia or mipango ya mungu?
  17. Mzukulu

    Pale tunaposema kuwa siku hizi hakuna tena Mapenzi muwe mnatuelewa vyema tafadhalini

    Pale tunaposema kuwa Siku hizi hakuna tena Mapenzi bali kuna Upuuzi, Utoto na Usanii tupu muwe mnatuelewa vyema tafadhalini Jackline Wolper na mchumba wake wameachana ikiwa hata wiki haijaisha tangu walipovishana pete. Chanzo: East Africa Televison - News Wale Team No Kuoa Daima wala...
  18. Fidel80

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi? Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako? Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi...
  19. Equation x

    Ukiona sura yako haina mfanano na mke/mume wako jua hapo hakuna mapenzi ya dhati, bali mnaishi kwa kulazimishana tu

    Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe? Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua...
  20. N'yadikwa

    Wapenzi wakifanya mapenzi ndani kwao usiku kwenye dirisha ambalo halijafungwa wanaweza kushtakiwa?

    Katika kesi ya Smith v Hughes , washtakiwa hawa ambao walikuwa wapenzi, walishtakiwa chini ya Sheria ya Makosa ya Mtaa kwa kosa la kufanya mapenzi hadharani ijapokuwa walikuwa ndani ya nyumba yao lakini walikuwa wakifanya huku dirisha likiwa wazi umma ukiwaona. Wakati wa kesi, washtakiwa...
Back
Top Bottom