Wapo wanaoponda fulani anapenda sana mapenzi!
Sasa je, wewe unayeingia kwenye ndoa au mapenzi huwa unafuata nini? Kule hakuna kazi ya kuuza mihogo wala viazi, kazi kubwa kule ni mapenzi tu.
Na mapenzi yasipotekelezwa vizuri ipasavyo ndani ya ndoa, lazima migogoro iwepo. Tunasoma, tunatafuta...