mapenzi

  1. W

    Maisha ya mapenzi na ndoa

    Kuna mengi katika maisha ya mapenzi ila zingatia haya kwa ajilii ya furaha yako, MUAMINI- katika kuaminiana kunatunza mengi ikiwa ni pamoja na mazuri na mabaya ila mnapo aminiana katika maisha ya mapenzi furaha utawala, UHURU- mpe uhuru mwenzako na vitu vyake kila mmoja anapokuwa huru katika...
  2. Zurie

    Kuna lugha tano za mapenzi, unaijua ya mpenzi wako?

    "Kwanini uliachana na 'ingiza jina'?"... "Ah tulikuwa hatuendani tu" Ushawahi kujikuta kwenye scenario hiyo? Unaweza kumfanyia mpenzi wako kila jambo uonalo ni jema kwake na bado akakuacha au akatoka nje ya penzi lenu(cheating). Unabaki kusema "Nilikuwa nampa pesa, zawadi, na kumhakikishia...
  3. umukagame

    Tupeane uzoefu wa changamoto za mapenzi ya mbali

    Shkamooni wakubwa! Niende moja kwa moja. Je, kuna yeyote anayepitia au aliyepitia kuwa na mahusiano ya mbali mfano mikoa tofauti? Kipi ni kigumu, na je mnakabili vipi hali za upweke Karibuni tujadili
  4. Moto wa volcano

    Mapenzi yanataka ujeuri

    Ukitaka mapenzi uyashinde mbomoe mpenzi wako kisaikolojia asijione wa maana. Siku moja moja simu usipokee kwa muda, status usi-view, foka, hapo utamteka. Mnaonewa kwa sababu mnaonesha kupenda sana. Mapenzi yanataka ujeuri.
  5. Equation x

    Mapenzi ni sanaa, ukiyatumia vizuri yanaweka kumbukumbu kwa aliyetendewa

    Jitahidi unapokuwa kwenye mahusiano, utumie sanaa zaidi ili kuuteka moyo wa mpenzi wako. Mfano umemtongoza X leo, usikimbilie kwenye tendo moja kwa moja, bali muwekee mazingira ya yeye kuendelea kuwa karibu na wewe. Mfano kutembea tembea maeneo mbalimbali, kukumbatiana, kutumiana meseji tamu...
  6. OLS

    Mapenzi na Uchumi: Nitumie na ya kutolea

    Moja kati ya kitu ambacho wanaume wengi wamekuwa wakikizungumzia sana mtandaoni na kuonyesha wanakichukia ni hii kauli ya nitumie na ya kutolea Inaonekana kuwa ni kauli inayotolewa na mtu anayeomba hela! Kauli hii inafanya wanaume wengi kuona mtu asiyetoa kauli hii kuwa ni mwanamke anayepaswa...
  7. Y

    Je, ushawahi kuwaona wazazi maboya kwaajili ya mapenzi?

    Natumai hamjambo wakuu Tukiwa tunaendelea na mapambano dhidi ya corona nimependa kushare kisa kilichofaninya niwaone wazazi maboya ajili ya mapendo Kuna mrembo tuliwahi pendana sana huko nyuma na dream yetu ilikua ni kufunga ndoa day1.. Siku1 nikamualika home anitembelee, sasa kwa kua yeye...
  8. Sky Eclat

    Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

    Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho...
  9. Money Penny

    Nimeingia kwenye 18 ya Mapenzi ya Mlokole lakini nimetoka kapa

    Leo natoka Kanisani nakutana na mdogo wangu mmoja kachooooka maskini, nikahisi labda ana Corona. Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole alafu akaona hapati anachokitaka akasepa mwenyewe😂😂🏃🏃 Kijana: Sister Penny bwana, me nilimpenda Sana...
  10. Sky Eclat

    Simulizi: Mapenzi ya Mungu hayakwepeki mtoto wa mfalme alikufa licha ya baba yake kujenga ghorofa la vioo ili kumlinda

    Kuna mfalme alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Yule mtoto alikuwa na afya njema, sura ya kuvutia alivutia hata wageni waliofika kwa mfalme. Mfalme alimpenda yule mtoto kama roho yake. Mtoto yule alipofikisha miaka minne, Mungu Mwenyezi alimtaarifu mfalme kuwa mtoto yule atakufa siku si nyingi...
  11. Unique Flower

    Mapenzi na roho...

    Je, wapendwa mnajua kuwa wanaume zenu au wapendwa zenu wanapenda nyie kwa moyo? Au mpompo tu mwa shangaa? Je, unaaminije kuwa huyu niliyenaye alinioa kwa mapenzi au kwa maana na kitu fulani au huyu yupo kwenye mahusiano kisa nina kitu fulani? Najaribu kuandika kiswahili wajameni.
  12. Equation x

    Wadada wa kitanga wanajiamini kwenye mapenzi

    Kuna siku moja nilienda kutembelea mkoa wa Tanga, sasa ile mida ya jioni by saa moja hivi usiku nikasema ngoja nitembee tembee kwa miguu ili niweze kuufahamu mji vizuri. Katika mizunguko yangu nikavutiwa na duka moja linauza vitu mbalimbali, nguo, viatu, mapambo ya wanawake, marashi ya...
  13. safuher

    Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  14. LIKUD

    Hii ndio njia ya uhakika ya kuondoa Stress za wivu wa mapenzi dhidi ya mkeo...

    Umesikia mkeo anatembea na Juma. Vuta picha mkeo akiwa anapigwa mashine na Juma then piga puchu. Fanya hivyo kila mara unapokumbuka kuhusu mkeo kutoka na Juma na kila unapo letewa taarifa za mkeo kutoka na mwanaume mwingine yoyote yule Kwa kufanya hivyo utaondokana na stress za Wivu wa mapenzi...
  15. Sky Eclat

    Mapenzi ya wanaume akishajua una pesa na kwake hali ni ngumu

    Kwanza mwanaume akishakuzoea romance zinapungua anaanza ubinafsi wa kujiridhisha mwenyewe. Hapo ameshatoka kunywa bia zake utasikia mimi ninalala kesho nina mkutano wa muhimu sana. Sasa hii corona si unajua michongo mingi imekata. Ile hela ya bia hana sikuhizi anashinda nyumbani na bukta...
  16. Y

    Je, uliwahi kufail/kufanya vibaya mitihani ajili ya mapenzi? karibu utupe mkasa

    Natumai hamjambo wakuu na weekend inaendelea uzuri. Tukiwa tunaendelea kuliombea taifa dhidi ya corona, karibuni hapa tubadilishane mikasa ya mapenzi ilosababisha kufail/kufanya vibaya wakati tukiwa shule. Nikiwa form two wakati mapenzi ya balehe yameshika kasi nilijikuta nafanya vibaya sana...
  17. Money Penny

    Mapenzi kipindi cha Karantini 😂😂😂

    Heeeeeeepiiii Neeeeew Yaaaaaaa 🔥🔥 Poleni na Corona (Covid19) I think I miss this place Ila sio kiviiile but hey am here 😷 Mapenzi kipindi hichi cha karantini yananifanya niwe boya zaidi, naona kama nafeli Sana kwenye game Zamani angalau utatoka nje utakutana na watu mtaongea, sahivi NI ndani...
  18. R

    Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

    Habari wana JFs MMU. Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina). Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya...
  19. Superbug

    Wanawake wote wakikataa kufanya mapenzi ni mwisho wa dunia

    Imagine dunia nzima wanawake wagome kufanya mapenzi itakuwaje? Kuanzia walio ndoani mpaka makahaba. Hakutakuwa na uzao Tena na ndio itakuwa mwisho wa dunia.
  20. matunduizi

    Mambo ya mapenzi na tendo la ndoa tulioyatoa kwa wanyama

    Kula denda - tumetoa kwa njiwa. Kulambana sehemu za siri - Tumetoa kwa Mbuzi na mbwa. Kuwa na mke mmoja hadi kifo - tumetoa kwa njiwa. Mwanaume na mwanake kusaidiana katika kulea mimba - njiwa wanavyoasidiana kulalia mayai Style ya mwanamke chini mwanaume juu (missionary position) - tumeitoa...
Back
Top Bottom