maji

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kijana anakunywa maji lita 100 kwa saa mbili, tangu apigwe na radi

    Mkazi wa kijiji cha Maguu wilayani Mbinga mkoani Ruvuma Erick Msuha ayesumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya yanayomsababishia kunywa lita mia moja za maji kwa saa mbili ili aendelee kuishi anaomba msaada aweze kutibiwa. Mgonjwa huyo anasema matatizo yake yamemuanza baada ya kupigwa...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Makame Mbarawa: Wizara ya Maji hakuna uadilifu na hatuwapendi Watanzania

    January 23, 2020 Profesa Makame Mbarawa - ''Wizara ya Maji Hakuna Uadilifu na Hatuwapendi Watanzania, Changamoto za Maji Tanzania wizarani Wakurugenzi, ma-Consultant, Wahandisi hawazijui' Prof. Makame Mbarawa amesema watalaamu wake walioko wizarani hawajui miradi iliyopo bali wanakaa...
  3. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania TBA mnakwama wapi? Ni miaka sasa jengo la idara ya maji Mtwara hamjakamilisha

    TBA ni kwamba hamna hela au hamtaki kumalizia jengo jipya la Idara ya Maji Mtwara? Mnakwama wapi ndugu zangu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Maji ya shingo Kigwangalla

  5. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

    Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo. --+ MWANAFUNZI MUYAGA TUNGU ANAYEDHANIWA KUPIGA PICHA ZA KUONYESHA TATIZO LA MAJI UDOM MIKONONI MWA POLISI...
  6. Mpigamaji

    JamiiForums Tanzania Majina ya Taasisi na Mamlaka za Serikali kwanini yapo kwa lugha ya Kiingereza?

    Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, ni kwanini Majina ya Taasisi na Mamlaka nyingi za Serikali zina majina ya Kiingereza?. Yani officially zinatambulika kwa majina hayo, nimeona majina ya kiswahili yanakuwa yanatumika kama kufafanua tu au kuweka itambulike kirahisi, na nadhani...
  7. Kimbweka

    JamiiForums Tanzania Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

    Watu wengi hupendelea kutumia maji ya moto kuoga pale hali ya hewa inapobadilika na kuwa ya baridi au wakati mwingine mtu anaumwa hivyo anatumia maji ya moto. Lakini kwa ajili ya urembo na afya ya ngozi, maji ya moto yanatajwa kuwa ni kitu muhimu sana kama vilivyo vipodozi vingine vinavyoisaida...
  8. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Mradi wa maji Jet Buza umekwama?

    Serikali ilisema inatekeleza miradi mikubwa ya maji ili kuondoa kero za maji kwa maeneo ambayo mtandao wa maji wa Dawasa haujafika. Moja ya maeneo ambayo miradi hiyo ni mradi wa jet mpaka Buza jijini Dar es salaam.lakini mradi huu umesimama na mabomba yameshatandazwa mpaka jet kutokea Buza...
  9. Tata ya bana

    JamiiForums Tanzania Tulioletewa bili za ajabu za maji ya DAWASA tukutane hapa

    Wakuu hivi hawa DAWASA hizi meter zao wamezitemptor? Majirani zangu nilikuwa naona wanalalamika wanaletewa mabili ya ajabu nikaona labda matumizi yao. Jana wakanitumia bili yao, toka bili ya 5000 to 40000? Tena ya Desemba wakati kipindi hicho watu wengi walikuwa wamesafiri? Je, mliopata shida...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Haki na utu zimefukiwa, ubinafsi unatamalaki taifa likitapatapa

    Wakuu kwa heshima na taadhima nawasalimu wote kwa unyenyekevu mkubwa sana! Ndugu zangu kama umewahi kumuona mtu anayetaka kufa kwenye maji , mtu aliyezidiwa na maji unaweza kujua maana ya neno kutapatapa. Kama tunavyojua mtu akitaka kufa lazima ajitahidi kujitetea lakini ndani ya maji hilo ni...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Siasa ya uhai: Usalama wa Maji na Miundo mbinu yake Dar.

    Wanajanvi, nimekuwa nikipitia na kusoma mengi juu ya usalama wa nchi na afya za raia wake. Naomba nifanye declaration of interest "Mimi ni muoga sana wa ugaidi" Nianzie Napa, Car esalaamu inategemea maji ya Ruvu juu na Ruvu Chini. Ruvu juu ikuhudumu sehemu ndogo kulinganisha na ruvu chini...
  12. Paddy

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye diesel pumps za kuvuta maji naombeni ushauri wenu

    Habari za leo wanaJF! Ninahitaji diesel pump ya maji yenye uwezo mkubwa wa kutoa maji kutoka mita 200 kwenye bwawa na kuyaleta kwenye tank lililopo mita nne juu (limejengewa mnara wake). Naombeni ushauri wa aina ya pump na horsepower (HP) zake.
  13. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mhandisi aswekwa ndani kwa kutafuna Bilioni tatu za mradi wa maji. Adai kujenga Kibanda cha mabati cha 'site' kwa Milioni 100

    Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa ameamuru Jeshi la Polisi kumkamata na kumuweka mahabusu Mhandisi Alistides Kanyomo wa kampuni ya Mbesso Construction kutoka Jijini Dar es Salaam Kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya shilingi bilioni tatu za Ujenzi wa mradi wa Maji Katika Bonde la Mwakaleli...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ndege ya C-130: Mabaki yake yapatikana yakielea katika maji Chile

    Maafisa wa Chile wanasema kwamba wamezuia mabaki yanayoaminika kutoka katika ndege ya kijeshi iliotoweka siku ya Jumatatu. Wanasema kwamba mabaki hayo yalipatikana yakielea kilomita 30 kutoka eneo ambalo ndege ya wanahewa wa Chile aina ya C-130 Hercules inayobeba mizigo ilikuwa na mawasiliano...
  15. masai dada

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kibomba cha maji kisikien tu

    Hiki kitu ni hatariiii sana. Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu. Daah Ngoja nitaendelea kuandika
  16. The Sheriff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wawili wafariki baada ya kusombwa na mafuriko

    Watoto wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti nchini Kenya baada ya kusombwa na mafuriko katika maeneo yaliyoathiriwa na mvua. Mmoja wa wahanga hao ni pamoja na mvulana wa miaka 13 aliyefariki katika kaunti ya Homa Bay baada ya mtumbwi aliokuwa akisafiria kupigwa na mawimbi mazito...
  17. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Waziri Mbarawa azidi kulikoroga miradi ya Maji

    Nipashe leo 3 Dec 2019. Waziri wa Maji Mh. Prof Makame Mbarawa ameamua kuachana na makandarasi. Eti sasa atajenga miradi ya Maji kwa Force Account. Hiki kiutendaji ni kichekesho na upotezaji wa fedha ya umma. Hakuna asiyeona kwa macho mabomba yanayotiririka kwa siku kadhaa kabla DAWASA...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Msaada/Ushauri: Ninahisi kama maji masikioni kila nikisikia sauti ya mbwa

    Habari wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu. Nimekuwa nikihisi kama kuna maji masikioni kila (every instant) ninaposikia sauti ya mbwa (mbwa wanapobweka). Nimekuwa na hali hii karibu mwaka na nusu sasa. Sihisi maumivu yoyote ila imekuwa ni kero hasa mbwa wakibweka mfululizo...
  19. Suley2019

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mafuriko yapelekea Mji wa Mbale kukosa maji kwa takribani siku tatu

    Ukosefu wa maji umeikumba Manispaa ya Mbale kwa zaidi ya siku tatu kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa na kupelekea miundo mbinu ya Idara ya maji ya Uganda (NWSC) kuharibika. Akifafanua zaidi kuhusu tukio hilo, Mkuu wa kitenga cha Idara ya Maji Uganda Bw. Solomon Efearael...
  20. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Serikali yaridhishwa na utekelezaji mradi mkubwa wa maji Arusha

    SERIKALI imeonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliogharimu shilingi bilioni 520 unaotekelezwa katika halmashauri ya jiji la Arusha kwa lengo la kuhudumia wananchi. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Maji...
Back
Top Bottom