maji

  1. Elius W Ndabila

    Ni kweli tuidai Serikali maji, au tudai sheria ya kuhifadhi vyanzo vya maji?

    Bunge litunge sheria kali ya kutunza mazingira. Baada ya sheria kali ya money laundering ambayo haina dhamana, basi ninatamani Bunge lije na sheria kali ya mazingira. Ninadhani bado sheria ya mazingira tuliyonayo haijakidhi haja au imeshindwa kusimamiwa. Udhaifu wa usimamizi au ubutu wa sheria...
  2. Wakulonga

    Hivi ni kweli maji baridi (Maji ya mito)na maji ya bahari hayachanganyiki?

    Habari wana JF! Katika soma soma yangu nimepata kuona katika vitabu vya dini kuwa maji matamu na maji ya bahari hayachanganyiki. Pia Kila mara nikielekea Zanzibar kwa boti nifikapo Msasani lazima kuwe na wimbi hata kama bahari iko shwari nikauliza nikaambiwa hapa kuna mkondo wa maji matamu (...
  3. neophyte

    Safisha maji na upate ladha nzuri ya maji

    PureLife Tap Maji safi ni nini? BF Suma PureLife ya Maji inashika nafasi ya 7 kati ya vifaa vyenye ubora na ufanisi wa maji kwa hali ya juu , kifaa ambacho kinaweza kuzuia chembe za 0.1amu na chembe ambazo ni ndogo mara 500 kuliko nywele. kinauzwa kwa bei ya punguzo ambayo ni 130,000/= piga...
Back
Top Bottom