Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
Wakuu naomba niende moja kwa moja kwa mda yangu.
Swala linalo nisibu ni kwamba..nampata vipi huyu bi dada nileitokea kumpenda toka siku ya kwanza namuona machoni pangu,
Kiukweli she is kind, wanawake wapo wengi lakini yeye ndie nataka. Swala la sifa zake i wish ipo siku karibuni nimepanga lazima nitamwambia. Kiukweli nimetokea kumpenda kupita maelezo. Yeye anamaisha yake, na anajikidhi, ako na cash.
Sasa mimi nimekosa pakuanzia kabisa, kwasababu, hajaonesha kuwa anahitaji uwepo wangu kwake wa karbu, inshort ana mambo yake anaenda kazini, na naona akitoka anakua na mambo yake hadi usiku unaingia, then analala.
Nimekosa pakuanzia kumwambia kuwa nampenda, coz hata kipind ambacho nilikua napata nafasi ya kumuona, hakuwai kuzungumzia mambo yake kwangu.
Yani ni kama wakala wa Tigo anapokutana na customer, ni huduma inatolewa basi. I don't know about her relationship status. Sijui kama anahisia nami za kimapenzi, japo mim nikimtizama namfeel kinoma.
Ladies nisaidie kitu kimoja, hivi nyie huwa inatokea mna act hivi kwa mwanaume na bado hata akikutongoza unakubali? Japo mwanzo hukuonesha kabisa kutaka kujuana nae zaidi?
............................
Swala linalo nisibu ni kwamba..nampata vipi huyu bi dada nileitokea kumpenda toka siku ya kwanza namuona machoni pangu,
Kiukweli she is kind, wanawake wapo wengi lakini yeye ndie nataka. Swala la sifa zake i wish ipo siku karibuni nimepanga lazima nitamwambia. Kiukweli nimetokea kumpenda kupita maelezo. Yeye anamaisha yake, na anajikidhi, ako na cash.
Sasa mimi nimekosa pakuanzia kabisa, kwasababu, hajaonesha kuwa anahitaji uwepo wangu kwake wa karbu, inshort ana mambo yake anaenda kazini, na naona akitoka anakua na mambo yake hadi usiku unaingia, then analala.
Nimekosa pakuanzia kumwambia kuwa nampenda, coz hata kipind ambacho nilikua napata nafasi ya kumuona, hakuwai kuzungumzia mambo yake kwangu.
Yani ni kama wakala wa Tigo anapokutana na customer, ni huduma inatolewa basi. I don't know about her relationship status. Sijui kama anahisia nami za kimapenzi, japo mim nikimtizama namfeel kinoma.
Ladies nisaidie kitu kimoja, hivi nyie huwa inatokea mna act hivi kwa mwanaume na bado hata akikutongoza unakubali? Japo mwanzo hukuonesha kabisa kutaka kujuana nae zaidi?
............................