WAJUE NDEGE
NDEGE ni aina ya mnyama. Tofauti ya ndege na wanyama wengine ni kwamba ndege ana mabawa yanayomwezesha kuruka angani aidha ndege hutaga mayai.
Ndege wako wa aina nyingi, wakubwa na wadogo ni kama Tai, Mbuni, Korongo, Bata mzinga, Bundi, Tausi, Mwewe na wengine wengi.
Ndege...