maisha

  1. Parabora

    Sirudii tena kupima wanawake Ukimwi tukiwa faragha, kilichonikuta jana sitakaa nisahau, tutapima hospitali

    Wakuu, Tusizoee kupimana ndani bila elimu ya counseling. Jana kidogo mtu anifie, mimi kuanzia leo tutaenda kupimana hospitali habari za ndani hapana aiseee. Usiombe yakukute
  2. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    Je, umewahi kufikiria kuwa Mama ndie kiumbe anaepitia upweke kwa kiasi kikubwa zaidi katika maisha zaidi ya Baba? Ni ukweli usiopingika kuwa mama ndie namba mbili baada ya Mungu muumba wetu alieumba ulimwengu, kwani mama ndie binaadamu anaechukua nafasi kubwa zaidi katika kuja kwetu duniani...
  3. matunduizi

    Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

    Binafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100. Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi. ilikuwa nimeelekea msibani na nilikuwa na nauli ya kwenda tu, kwa sababu nikapata company ya mtu ambaye hakuwa hata na hiyo ya kwenda...
  4. K

    Kama Mbowe atapita, CHADEMA waulizwe wana nia na dhumuni lipi la Mbowe kuwa mwenyekiti wa maisha? Je, hawatabadili katiba watawale maisha wakishinda?

    Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa...
  5. S

    Siasa za maisha magumu na nini utataka baada ya hapo!?

    Hapo ndipo kila MTU alikuwa hapotezi muda kupelekea kwenye Siasa za KUPLAN kupelekea maisha ya mbele.. aliyefika mbele utajua kama unamradi wa matofari ilikuwa hupotezi muda maana IPO siku geti na bati tutayeyusha na kutengeneza mabati ya JAMII mtaa Kwa mtaa.. Tunamawazo Mazuri Ila yataishia...
  6. Makirita Amani

    Hii ndiyo nguvu kubwa iliyopo ndani yako ambayo ukiijua na kuanza kuitumia utakuwa na maisha bora sana

    “Matatizo yote ya binadamu chanzo chake ni mtu kushindwa kukaa peke yake kwenye chumba bila ya kuwa na kitu cha kufanya.” Hii ni kauli ambayo ilitolewa na mwanahisabati, mwanafalsafa na mwandishi Blaise Pascal mwaka 1654. Unaweza kusema kauli hiyo ni ya zamani na haina ukweli kwenye zama...
  7. AHMARDZ

    Nashida ya Kuzamia

    Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu...
  8. T

    Wale tulioanza maisha ya kujitegemea kigumu tukutane hapa

    Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nimeanzisha huu uzi ili ulete hamasa kwa vijana ambao bado wanaishi makwao jinsi wengine tulivyo anza maisha ya kujitegemea kigumu. Ipo hivi binafsi baada ya kuhitimu masomo ya chuo kikuu, nilienda kuishi kwa msela wangu ambapo mimi nilikua katika harakati...
  9. Miss Zomboko

    RIPOTI: Watu wanaojihusisha na kazi za usafi vyooni wako hatarini zaidi kupoteza maisha kutokana na mazingira hatarishi

    SHIRIKA lisilo la kiserikali la Water Aid Tanzania limesema watu wanaojihusisha na kazi za usafi vyooni wako hatarini zaidi kupoteza maisha kutokana na mazingira hatarishi. Ripoti hiyo iliyotolewa jana na shirika hilo likishirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Kazi Duniani...
  10. Greatest Of All Time

    Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    Roma Mkatoliki amerudi upya jamani. Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma". Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua. Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema; "Kwetu...
  11. Da'Vinci

    Rejea kifo cha wazazi wa Anna: Maisha hayana maana kama hakuna kifo

    Salute: Siku ya jana ilikua majonzi kwa binti Anna Zambi na watanzania wote wenye mioyo ya huruma na utu, kwake Anna ilikua ndio siku mbaya zaidi kuliko zote alizowahi ishi hapa duniani. Wapo walionguna nae kwa kilio, wapo walioungana kwa maombi na kumtakia heri katika safari yake mpya hiyo...
  12. Analogia Malenga

    Mawazo ya Kezilahabi kuhusu maisha

    “Maisha ni kama mkufu, unachukua kipande hiki na hiki unaviunganisha, kipande kikikataa kiache kitamfaa mtu mwingine...” Mzingile. Falsafa ya maisha kwa muono wa Kezilahabi, hauna tofauti na wanafalsafa walio wengi, lakini muono wake upo kwenye kujifunza, take that which works for you! Kwa kuwa...
  13. Analogia Malenga

    Maisha yetu! Malengo yetu

    Nazungumzia sisi, sisi, ninaposema sisi, wewe haupo. Ni sisi tulizaliwa huko ndanindani bila mpango, japo wazazi walifurahia kuona mtoto wa kiume au wakike amezaliwa. Sisi wale ambao tuliishi bila malengo, linalotokea mbele yako ndio saizi yako. Sisi ambao tumemaliza chuo hakuna kazi na...
  14. Nyendo

    Maisha yanaenda kasi sana jamani

    Habari ,wazima ndugu zangu. Maisha yanaenda kasi sana hasa pale unapojikuta umri unaenda halafu huna uhakika wa kuishi. Kila dili unalofanya haliendi kama unavyotarajia.Mda mwingine unaweza hisi kama una nuksi vile, ila mwisho wa siku unaendelea kupambana japo mambo hayanyooki ila sikati tamaa...
  15. Analogia Malenga

    Aliyeongoza mapigano maarufu dhidi ya Mugabe, asema Maisha baada ya Mugabe kuwa ni ya kikatili kuliko hapo awali

    Imekuwa zaidi ya miezi miwili tangu Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe alipokufa, na karibu miaka miwili tangu aondolewe madarakani, lakini Waafrika wengine wanasema maisha ni magumu kuliko hapo zamani. Wakati Mugabe alianguka bila kutarajia mnamo 2017, baada ya miaka 37 madarakani...
  16. Influenza

    Rais Magufuli kuzindua Kitabu cha maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa

    Rais Magufuli kesho anatarajiwa kuzindua Kitabu cha maisha binafsi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa.
  17. KENZY

    Ku fake maisha ni chanzo cha maumivu katika mapenzi

    Wengi huumizwa na mapenzi kwani hao wapenzi wao wamewapata kwa ku fake maisha.. mtu anajimwambafai kuwa hela zipo,burudani ndio kisima,shida hazijawahi kusumbua wakati kiuhalisia si sahihi!. Ndugu kaa ukijua lazima pia utapata mpenzi fake!.. atakachofata kwako ni u fake wako ila atakapo gundua...
  18. Suley2019

    Iraq: Waziri Mkuu akemea vurugu zinazojitokeza wakati wa maandamano, ataka maisha ya kawaida yaendelee

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa wale wote wanaoshambulia, kuteka nyara au kukamata nje ya kinyume cha sheria watakabiliwa na mashitaka. Waziri huyo anaongeza kuwa, uwepo wa Vyama vya Siasa ni muhimu katika mchakato wa kidemokrasia lakini kwa Iraq vyama hivyo vimefanya makosa mengi. Waziri...
  19. cadey

    Mkoa huu wa Italia utakulipa $ 27K ya kuhamia huko, fungua biashara, uishi maisha yako mazuri

    Kanda ya Kusini ya Italia inatafuta kushawishi vijana au wanandoa walio na watoto wadogo, kwa matarajio ya kupunguza kupungua kwa idadi ya watu, lakini wapo wazi kwa mtu yeyote anayetaka kubadilisha mazingira na kuishi kwenye miji midogo anakaribishwa kwenda kuishi kwenye miji hiyo. Ili kuweza...
Back
Top Bottom