maisha

  1. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Hali ya Usawa itarudi katika maisha Ila kutakuwa na tofauti kubwa Kati ya alienacho na asienacho

    Hii hali tuliyonayo sasa imekuja kutufundisha usawa wa kila jambo yaani no janja janja kwa maana kama wewe ni mfanyabiashara uwe mfanyabiashara kweli na kama ni shule iwe ni shule kweli kama ni benki basi iwe ni benki lakini sio sehemu ya kusubiri deposit za wateja. Mpaka hili swala liishe...
  2. PAZIA 3

    JamiiForums Tanzania Maisha yamekuwa magumu kwa waalimu shule binafsi

    Baada ya tangazo la mwendelezo wa lockdown kwa taasisi za elimu, waajiliwa taasisi binafsi Sasa Ni vilio, mwezi March wengi walilipwa maana walikuwa wamefanya kazi, ila shida inaanzia nwezi huu, April na May, hakuna mshahara, hapo ndipo ualimu unakosa maana, nurse ngazi ya cheti yeye yupo kazini...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya Ingrid mjini Arusha mpaka Dar-es-Salaam

    Ingrid msichana mrembo, alianza kuishi ghetto baada ya kukorofishana na mama yake. Baba yake alifariki Ingrid akiwa bado mdogo. Ghetto waliishi maisha ya fighting for survival. Kitanda kimoja na ilikuwa ni marufuku kurudi na mwanaume. Siku moja Jumamosi akiwa club alikutana na Damian kijana...
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Maisha kuanza kubana baada ya Pasaka, wajumbe wa nyumba 10 ndo wakati wao wa kujitambua

    Wajumbe wa nyumba 10 ndo wawakilishi wa kwanza wa serikali katika maeneo yetu. wajbe wa nyumba kumi wanatambua watu wao na kazi yao ya kutambua watu wao ni rahisi kuliko askari alieko katika kituo cha polisi. Wakati serikali imeanza kuchomoa makucha yake kidogokidogo kuelekeza kwa watu...
  5. Showio

    JamiiForums Tanzania Itambue nguvu ya Asili na tabia katika maisha yako

    Hata siku moja mti au mmea hauchagui aina ya tunda la kuzaa. Muembe hauchagui kuzaa embe au zambarau ni lazima muembe uzae embe. Mchungwa hauna option ya kuchagua kuzaa chungwa au chenza, nilazima utazaa chungwa kwasababu hiyo ndio asili yake na ndivyo lilivyokuwa designed na aliyeliumba. Kuna...
  6. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Matatizo/changamoto ni sehemu tu ya maisha na siyo maisha yenyewe

    Huwa inasikitisha sana na inauma sana kukata tamaa ingawa inatokea kwa wengi.Kuna wakati tunazokutana na matatizo kiasi cha kutufanya kuamini maisha yetu ndiyo hayo matatizo "so sad news". Leo sihitaji kukuta moyo ila natamani sana kukujulisha nilichojifunza katika miaka yangu hii machache hapa...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu wamekata tamaa ya maisha kiasi hiki?

  8. Cvez

    JamiiForums Tanzania Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona

    Janga la Corona mpaka sasa hivi limeathiri nyanja mbalimbali za uchumi. Ingawa mpaka muda huu sekta ambayo imeathiriwa zaidi na ipo ICU ni sekta ya Utalii. Nchi nyingi zimefanya lockdown, kuna kufutwa kwa safari za anga. Hivyo hoteli, migahawa, tax drivers, wakulima, wavuvi, tour companies na...
  9. Zitto

    JamiiForums Tanzania Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto #COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu. - Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke aliye serious kwa maisha

    Habari wanajamii wenzangu, nimeona leo nami kuweka hitaji langu kwenye forum. Mimi ni mtanzania mkristo umri 33 na kwasasa nipo mkoa was tabora najitokeza kutafuta mwanamke ambaye mbeleni atakuja kuwa mke na mama watoto wangu, sina ubaguzi wa dini wala rangi lakini umri ningependelea angalau...
  11. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Kama sio mama yako, basi ni baba, bibi au babu yako ndo wanajua siri ya hali yako ya maisha

    Rejea kichwa cha somo hapo juu chausika. Wakati mwingine si vibaya kushirikishana uzoefu katika maisha tuliyopitia. Kwa umri wangu nimeona mengi na ninajua ninachokisema na walio wa kweli watanielewa. Misingi ambayo familia zoote za Kiafrica, zimejengwa katika kitu kinachoitwa mila na desturi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda Kwa tuliowahi kupata mauza uza kwenye maisha

    Kabla sijaleta stori yangu, kila ambaye mtu wake wa karibu (mke/Mme/ndugu/rafiki/mfanyakazi) ambaye huwa unamsaidia Mambo mengi kuanzia ushauri fedha na kumwambia Siri zako nyingi za maisha kama mipango yako ya maendeleo kama kununua Kiwanja/ gari/ nyumba kupata kazi na baadae kukugeuka Kwa...
  13. emmarki

    JamiiForums Tanzania Mkoa au Wilaya gani naweza kwenda kuanza maisha kutoka chini kabisa (from zero)?

    Baada ya kufanya kazi ya huduma kwa wateja vodacom, kwa zaidi ya mwaka mmoja chini ya kampuni ya outsourcing. Nimeacha kazi baada ya kuona sisogei kimaendeleo licha ya kujinyima sana na kutumia njia nyingi kujaribu kuweka akiba lakini inashindikana kwa sababu mshahara ni mdogo sana na tayari...
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mtanzania na total lockdown

    Middle class watamudu total lockdown. Wale wenye uwezo wa kuwa na: Kilo 10 mchele “. “. Unga wa mahindi “. “ unga wa ngano “. 5. Sukari Galoni la mafuta ya kupikia Hii ni 15%ya Watanzania wanamudu maisha haya, wengi wao ni wenye ajira na biashara za za kuzungusha milioni kuendelea...
  15. Innay

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mtumishi wa Serikali ni Magumu mno. Mungu aingilie kati

    Binadamu anapokuwa hana wa kumtegemea pale anapokata tamaa humrejea Mungu wake na kumuomba aokoe jahazi. Tunaishi ka gidigidi. Tuliahidiwa ahadi hewa, muda unayoyoma, hewa tupu. Hali ni mbaya. Na hakuna matumaini. Rais Magufuli kuwa na moyo wa utu. Hebu tizameni wenyewe hii. Ninaona aibu...
  16. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa kitabu The Fountainhead (Jinsi ya Kuishi Maisha ya Ndoto Yako Licha ya Kupingwa na Jamii)

    Kila mtu huwa anakuwa na ndoto kubwa ya maisha yake katika hatua fulani ya maisha. Wengi hupata ndoto hizi kati ya miaka 7 mpaka kumi. Muulize mtoto yeyote kwenye umri huo na atakuambia wazi anataka kuwa nani akiwa mkubwa. Lakini mfuate mtoto huyo huyo miaka 10 baadaye na muulize anataka kuwa...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Maisha ni magumu aisee

    Maisha ni magumu sana aisee, huwezi amini mm nimeamka leo nina 2000/= tuu, nauli mpaka job 400, so nimebakiwa na buku na mia sita (1600) Jioni sijui nitafanyaje, sijanywa hata chai na mchana sijui nitafanyaje. Anyways tuendelee kupambana. Na sisi one day yes
  18. Johnny Sins

    JamiiForums Tanzania Afrika matajiri wana maisha mafupi sana!

    DONALD Trump ni Rais wa 45 wa Marekani. Hicho cheo chake sina shida nacho. Trump ni bilionea wa dola, kwa Shilingi ya Nyerere, ni trilionea. Nina kazi muhimu leo na huo utajiri wake. Trump ni mtu msema hovyo. Ana kiburi. Wengi humuona ni ‘mtambo’, akiwemo Spika wa Baraza la Wawakilishi...
  19. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Kongole ATCL na Precision Air kwa kupunguza makali ya maisha kwa waajiriwa sekta ya anga kipindi hiki cha janga la Coronavirus

    Kutokana na mashirika mengi ya usafiri wa anga kusitisha safari zake baada ya nchi nyingi kuzuwia kupokea wageni au kuruhusu waliopo ndani kuondoka, kumeibuka kitisho kikubwa cha watu kusitishiwa ajira au mishahara yao sekta ya usafiri wa anga. Taasisi nyingi za binafsi zinazo jiendesha...
  20. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya maisha bila uno sijui yangekuwaje

    Wakuu vipi,natumaini mko poa na hii wkend tulivu isiyokuwa na bashasha. Kwa mtazamo wangu wkend haiwezi kwenda au kuisha vizuri kama hukupata uno kwa mwenzi wako.Miaka ya nyuma kidogo kuanzia siku ya ijumaa n.k watu wengi walikuwa wanatoka mikoani, wanakuja jiji la maraha kwa ajili ya uno...
Back
Top Bottom