maisha

  1. cadey

    Mkoa huu wa Italia utakulipa $ 27K ya kuhamia huko, fungua biashara, uishi maisha yako mazuri

    Kanda ya Kusini ya Italia inatafuta kushawishi vijana au wanandoa walio na watoto wadogo, kwa matarajio ya kupunguza kupungua kwa idadi ya watu, lakini wapo wazi kwa mtu yeyote anayetaka kubadilisha mazingira na kuishi kwenye miji midogo anakaribishwa kwenda kuishi kwenye miji hiyo. Ili kuweza...
  2. Nyendo

    Yafahamu maisha ya ndege

    WAJUE NDEGE NDEGE ni aina ya mnyama. Tofauti ya ndege na wanyama wengine ni kwamba ndege ana mabawa yanayomwezesha kuruka angani aidha ndege hutaga mayai. Ndege wako wa aina nyingi, wakubwa na wadogo ni kama Tai, Mbuni, Korongo, Bata mzinga, Bundi, Tausi, Mwewe na wengine wengi. Ndege...
  3. Analogia Malenga

    Morogoro: Ugumu wa maisha wamfanya kijana aamue kuiba misalaba ya chuma Makaburini

    Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Kingdom akamatwa akiiba misalaba ya chuma, makaburi ya Kola, mkoani Morogoro. Kijana huyo alisema hii ni mara yake ya kwanza kuiba misalaba na ni ugumu wa maisha umemfanya aibe misalaba. Kijana huyo alisema huuza misalaba hiyo kama chuma chakavu ambayo...
  4. Analogia Malenga

    Je, ugumu wa maisha hudumaza akili au ni kipimo cha akili?

    Wengi tunajifariji kuwa ugumu wa maisha ni kipimo cha akili, lakini baada ya kuutafakari msemo huo nimeona ugumu wa maisha hudumaza akili. Kwa sababu zaidi ya moja nimeona watu wamedumaa akili kutokana na ugumu wa maisha wanaoupitia. Wapo watu wengi ambao wana mawazo mazuri juu ya familia na...
  5. Miss Zomboko

    Wanafunzi 13 wa chuo kikuu cha Kogi nchini Nigeria wamepoteza maisha kufuatia vurugu zilizoibuba baina ya makundi ya wanafunzi

    Watu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika chuo kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria. Kwa mujibu wa habari kutoka katika vyanzo vya nchi hio, mapigano hayo yalitokea baina ya makundi mawili ya wanafunzi, kutokana na vurugu hizo za mapigano zaidi ya...
  6. JamiiForums

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Ndugu wana JamiiForums, Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi. Karibuni sana. MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa...
  7. B

    Tuachane na maisha ya majina ya NCHI wakati Siasa za Job Creation

    #tag HUJUI KUPLAN 🚜🚜🚜🚜🚒 #tag Gari inagurudumu 4 kwenye maisha ya kuplan 1. Matumizi Bora ya ardhi (maeneo maalumu ya Kilimo, UVUVI, Mifugo maana IPO siku tutatafuta maekali ya kupima matikiti Dar ES SALAMA na siyo pwani lazima tubomoe majumba huko) 2. Matumizi Bora ya Watu (watu waliopo Kwa...
  8. B

    Siasa ya rushwa, utajili wa FEDHA na maudhui ya kutovunja misingi ya Maisha ya MTU mwingine

    Hakika kila mwanadamu anapenda kuishi MAISHA ambayo yanamipango ndani yake kuanzia level ya kuwa pekeyako. Tumeshuhudia watoa huduma wengi wakitekeleza maneno ya mwalimu Nyerere Kwa vitendo ikiwemo Ubepari, kutoa na kupoke rushwa, kuwa na vyumba vya Kipanya Kwa ajili ya kuzuia na kucontrol...
  9. beth

    Mara: Ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka minne

    Maiga Maginga (18), amehukumiwa kifungo cha maisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Serengeti baada ya kukiri kumlawiti mtoto wa miaka minne. Hukumu hiyo imetolewa leo Alhamisi Oktoba 31, 2019 na Hakimu Mkazi, Adelina Mzalifu baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kulawiti. Hakimu...
  10. J

    Spika mstaafu wa Bunge la Kenya awaasa Wabunge na Spika Job Ndugai kuwa wasijisahau kwani kuna maisha baada ya siasa

    Spika mstaafu wa bunge la Kenya amewaambia wabunge wa Kenya mbele ya mgeni rasmi Spika wa Tanzania mh Job Ndugai kuwa waache kiburi na kujikweza kwani kuna maisha baada ya siasa. Spika huyo mstaafu amewakumbusha wabunge hao kuwa wafuasi wao wanaowashangilia leo ndio hao hao watakaowatukana...
  11. Ngwanakilala

    Wasichana na wanawake hukumbana na majanga ya ajabu ajabu sana katika maisha

    Waasalamu Leo katika tafakuri zangu za hapa na pale nikakumbuka kisa cha dada yangu ambae ni mtoto wa mama yangu mkubwa. Sister wangu huyu alienda kushitaki kwa babu yetu mzaa mama kwamba mume wa mama mkubwa (baba yake wakambo) huwa anamtongoza na anamtaka kimapenzi. Kesi ilikuwa kubwa sana...
  12. Sky Eclat

    Namna nzuri ya kuishi unapofikia umri wa miaka 50 na kuendelea

    Ukiishi mpaka kufikia umri huu ni jambo la kumshukuru Mungu. Kutokana na huduma bora za afya wengi hufikia sherehe ya miaka 50, 60, 70, 80 hata 90. Ukifika miaka 50 hata kama huna tatizo lolote la afya ni muhimu kuufanyia mwili check up. Punguza unywaji wa pombe kama ni mywaji pamoja na...
  13. maji ya gundu

    Uzi wa kushare matukio ya maisha kiujumla ambayo ushawai kutana nayo

    Huu uzi ni special kwa sie tusie penda kuanzisha thread kwa sababu ya matukio madogo madodo Lengo la kushare matukio haya ni kuweza kuwasaidia wengine siku akikutana na tukio la aina yeyote aweze kulimudu asione kama kitu kipya sana Mwaka 2015 niligombana na mshikaj mmoja hivi pool table, asa...
  14. herzegovina

    Mtandao, mtandao, mtandao. Je tumekabidhi maisha yetu kwa mtandao?

    1. Mshkaji wako amekukopesha pesa umrudishie baada ya wiki moja. Anakusisitizia kuwa hakikisha unamlipa kwa wakati kwa kuwa anataka kupeleka mtoto shule. Siku inafika, bahati mbaya unakuwa kwenye kikao kizito ofisini kwenu kinachochukua muda mrefu sana mpaka simu yako inazima. Jamaa kila akipiga...
  15. CONTROLA

    Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

    “Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina” Hayo sio maneno yangu mimi ni maneno ya Diamond mwenyewe akimuongelea Harmonize Unajifunza nini katika...
  16. Mithros

    Mfundishe mwanao kuwa na furaha; Usimfundishe kuwa tajiri.

    Habari wana JF, natumaini mtakuwa wazima. Hili litakuwa chapisho langu la kwanza humu jukwaani na ningependa kuongelea kuhusu impact ya hayo mambo mawili( furaha na utajiri) kwenye saikolojia ya mwanao. Kwanza nitatanguliza kisa hiki; Nina rafiki yangu wa kitambo mno---nadhani toka tunasoma...
  17. Showio

    Mambo muhimu anayopaswa kuzingatia kijana katika maisha yake

    Naam! Nawaletea neno la siku; tupo likizo kidogo. 1. KUWA NA MARAFIKI AMBAO WANA FAIDA KATIKA MAISHA YAKO: Unaweza kuta mtu katika simu yake ana marafiki zaidi ya 200 lakini hawa wote anapopata tatizo au shida akianza kuomba msaada katika hao marafiki hata shilingi laki 5 haifiki, sasa kuna...
  18. Kassimu Mchuchuri

    Mwambie mdogo wako anaenda shule kusomea taaluma sio kazi, anaweza kusoma uhasibu akawa dobi

    1. Mwambie anaenda kusomea taaluma sio kazi. Anaweza kusoma uhasibu akawa dobi. 2. Mwambie Kufaulu Taaluma sio Kufaulu maisha. 3. Mwambie Kupata alama nyingi sio kujua mambo mengi. 4. Mwambie akifika chuo atakutana na watu wa mikoa tofauti na hata majiji. Ila akumbuke anatokea Mtwara, tena...
  19. Analyse

    Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

    Nilizaliwa miaka kadhaa iliyopita. Katika familia ya watoto 7, mimi nilikuwa wa 6. Kama watoto walivyo, nilikuwa mtundu kiasi ila sio mtukutu. Nakumbuka nikiwa darasa la 5,niliitwa mbele na ticha nikafanye swali la hesabu. Nikafanya swali kwa mbwembwe, nilikuwa nasumbuliwa na mafua, kabla...
  20. Apollo

    Uhalisia wa Furaha na Mateso katika Maisha

    Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga kuhusiana na fumbo la maisha na jinsi ambavyo falsafa mbalimbali zimekuwa zikielezea. Ni fumbo ambalo tangu...
Back
Top Bottom