maisha

  1. Firmino bobby

    JamiiForums Tanzania Jinsi JamiiForums ilivyobadilisha maisha yangu (Mrejesho)

    Muda mrefu nimekua msomaji tu wa mada zenu nikifuatilia karibu kila post inayowekwa katika mtandao huu, nina circle ndogo sana ya marafiki na watu ninao fahamiana nao kwa muda mrefu sasa hali inayo ni fanya muda mwingi ninao upata niwe nautumia kuwasomeni enyi wakuu wangu, ninavyo vingi vya...
  2. Superbug

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Watanzania wengi wataishi maisha mazuri Sana muongo mmoja ujao kwasababu ya misingi anayoiweka Magufuli

    Mimi kidogo nimesoma uchumi.Hivyo nitatoa short analysis ya kiuchumi. Miaka kumi ijayo Tanzania itakuwa Kama afrika ya kusini au ureno. Hebu fikiria yafuatayo. Umeme mkubwa wa stiglaz gorge ambao utailuminate nchi yote na bado tukabakiwa na ziada. Mradi wa REA ambao umeiluminate vijiji vingi...
  3. Hata Sina kinyongo

    JamiiForums Tanzania Ayapambaniaye maisha yake atayaangamiza!

    Kwa mujibu ya Kiongozi wa Nchi fulani huko Duniani amewapiga kijembe Viongozi wa kanda yake kwa kuwakumbusha kwamba; AYAPAMBANIAYE MAISHA YAKE ATAYAANGAMIZA. Wajuvi, kauli hiyo inapeleka ujumbe gani kwa Viongozi wenzake!?
  4. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya mapenzi na ndoa

    Kuna mengi katika maisha ya mapenzi ila zingatia haya kwa ajilii ya furaha yako, MUAMINI- katika kuaminiana kunatunza mengi ikiwa ni pamoja na mazuri na mabaya ila mnapo aminiana katika maisha ya mapenzi furaha utawala, UHURU- mpe uhuru mwenzako na vitu vyake kila mmoja anapokuwa huru katika...
  5. beth

    JamiiForums Tanzania Shirika la Afya Duniani (WHO) lasema huenda Waafrika 190,000 wakapoteza maisha ndani ya mwaka mmoja kutokana na Corona

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko wa CoronaVirus unaweza kusababisha vifo kwa Waafrika wapatao 190,000 ndani ya mwaka mmoja tangu uanze kama ukishindwa kudhibitiwa Mkurugenzi wa WHO Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti amesema kuna uwezekano COVID19 haitosambaa kwa kasi barani humo kama...
  6. Mhere Mwita

    JamiiForums Tanzania Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika

    Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge. Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa...
  7. Parabora

    JamiiForums Tanzania Kwa Watanzania walio na malengo ya kuishi kutafuta kazi au kusoma nchini Ubelgiji au Uswisi someni hapa

    Kipindi hiki ambacho niko kwenye zuio la kutoka nje liliowekwa na mamlaka ya jiji nililomo nimeamua kuwa nashare hapa baadhi ya mambo ya nchi nilizowahi kukaa ili ziwe na manufaa kwa wenye malengo ya kutafuta maisha nje ya Africa mashariki. Juzi nilileta andiko linahusu nchi ya Uswisi baadhi ya...
  8. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania COVID-19: Teknolojia inavyoweza kutusaidia kuendesha maisha

    Hali inaonesha kwamba, nchi nyingi duniani zimeathirika na homa ya Virusi vya Korona na athari hizi huenda zikabaki katika maisha ya watu kwa muda mrefu. Mbali na njia mbalimbali za kupambana na maambukizi kama kufunga shule na kuzuia mikusanyiko, Watanzania wengi pia sasa wanatumia njia za...
  9. Latrice

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha usababisha vijana tufanye jinai

    Habarini ny'ote. Nawaletea salam changamfu kabisa kutoka Monroe. Ukiwa huna hela unaweza kufanya chochote, sehemu yoyote na kwa wakati wowote ili tu uipate. Kuna kipindi nilikosa hata mia ya kununulia bange na kuomba siwezi, kwa kuwa tuliwahi kuishi Geita nikapawaza GGM huu ni mgodi nikaenda...
  10. Somoche

    JamiiForums Tanzania Mwaka Mmoja Tangu kifo cha Billionea Reginald Mengi Tunamkumbukaje? Ni nini tumejifunza kutokana na maisha yake? Je, pengo lake limezibwa?

    Leo May 2, 2020 mwaka umetimia tangu Bilionea Reginal Mengi afariki.Mengi yamesemwa kumhusu Dr. MENGI lakini nimejiuliza maswali Je tunamkumbukaje?? Mengi alikua mtu wa aina gani hasa? Baada ya kifo chake nchi inamkumbuka na kumkosa? Je katika janga hili la Corona Mengi angefanya nini kwa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kwetu tunapohesabu wafu, wenzetu sasa wako kwenye kurejea maisha yao ya kawaida

    Wenzetu baada ya kuweka jitihada za dhati kuzuia ugonjwa wa Corona kusambaa, sasa wao wanapanga kurejea maisha ya kawaida. Wanazo takwimu zote muhimu. Sasa wanajua mashule lini yafunguliwe na lini warejee vipi kwenye maisha ya kawaida: Kwetu tuko hapa: Hatuna takwimu za watu...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Maisha ya watu yanapowekwa rehani dhidi ya maslahi binafsi ya kiuchumi

    Ni kwa masikitiko makubwa ninaandika uzi huu. Ninaandika baada ya kuwa nimechukua muda wa kutosha kufuatilia yanayojiri katika nchi zinazotuzunguka kulingana na hali yetu halisi hapa kama ilivyo sasa. Hapa kwetu tayari imekuwa ni tanzia baada ya tanzia hata labda, ni muda muafaka sasa kwa mods...
  13. Latrice

    JamiiForums Tanzania Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

    Historia yangu ni ndefu kidogo ila nitaifupisha Mwaka fulani baada ya vurugu za hapa na pale Geita Secondary, Butimba Day na Mwanza Sec nilitimuliwa, nikahamia Manguanjuki (Lake) iliyoko Singida kuanza kidato cha tatu. Pale nilikuwa huru sana, nikawa na tumia hela hovyo hovyo bahati mbaya sana...
  14. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Wabunge: Kama mnayapenda maisha yenu basi ondokeni bungeni, sitisheni bunge maana inaonyesha hali huko ni mbaya!

    Nimeambiwa wabunge wanang'ang'ania kuingia ndani ya bunge mtu joto la mwili linasoma nyuzi joto 39 ananyimwa kuingia ndani ya ukumbi bado huelewi anatakiwa afanye nini. Ndani ya bunge maambukizi ya Corona yanashika kasi na bado mnaendelea na bunge. Sisi tusioenda shule tunawashangaa. Hamuoni...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Slumdog Millionaire: Filamu ya kihindi inayoonyesha maisha ya masikini wa India

    Ni filamu ya kihindi iliyotengenezwa mwaka 2008 inayoonyesha maisha ya kijana aliyekulia mtaani na kuwa tajiri kwa bahati tu Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia...
  16. introvert

    JamiiForums Tanzania Serikali, tuzike watakaopeteza Maisha kutokana na COVID19 kwa heshima. Utaratibu uwekwe wazi

    WanaJF, Bila kuandika mengi, ombi kwa Serikali ni kupumzisha ndugu zetu kwa heshima na kwa utaratibu unaoeleweka na kwa uwazi. Kwa sasa Serikali imeamua kutumia "HERD IMMUNITY" kama njia ya kupambana na huu ugonjwa. Hii ni kutokana na kauli ya Rais alipozungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi...
  17. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Time Heist and Time Apocalypse: Jinsi muda unavyoathiri Maisha ya ulimwengu na vilivyomo

    (Picha ikionyesha Warmhole na Nyota mbalimbali) Salute Comrades. Kwa references ya vitabu vya imani za dini mbalimbali zinasema kua hapo zamani Mungu aliumba ulimwengu, akaumba vyote vilivyomo ndani ya siku sita. Upande wa tafiti za kisayansi zinasema kua hapo zamani miaka billion kadhaa...
  18. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Walimu wa Shule za Umma kuchekwa na kudharauliwa kwa muda mrefu na Walimu wa Shule Binafsi sasa nao kibao kimewageukia

    WALIMU SHULE BINAFSI WALALAMIKA KUKOSA MISHAHARA KISA CORONA Chama cha Walimu wa shule binafsii nchini TPTU kimeiomba serikali kuingilia kati suala la madai ya wamiliki wa baadhi ya shule binafsi kusitisha mikataba na mishahara ya walimu kwa kigezo cha kuathiriwa na ugonjwa wa COVID 19...
  19. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NATAFUTA MWEZA WA MAISHA

    Naitwa jey naitaji mwanamke wakufunga nae ndoa umri kuanzia miaka 22 na kuendelea awe Islamic ambae yupo serious namba 0654 26 40 50
  20. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Hali ya Usawa itarudi katika maisha Ila kutakuwa na tofauti kubwa Kati ya alienacho na asienacho

    Hii hali tuliyonayo sasa imekuja kutufundisha usawa wa kila jambo yaani no janja janja kwa maana kama wewe ni mfanyabiashara uwe mfanyabiashara kweli na kama ni shule iwe ni shule kweli kama ni benki basi iwe ni benki lakini sio sehemu ya kusubiri deposit za wateja. Mpaka hili swala liishe...
Back
Top Bottom