maisha

  1. H

    Hili jambo siwezi kulisahau kwenye maisha yangu

    Nakumbuka wakati nimetoka kwenye mishe zangu ikiwa ni saa 7 kasoro mida ya usiku Sana siku ya jumamosi nikakutana na wadada wawili warembo stand wakisubili gari pamoja na me.Tumekaa kidogo wakatokea vidume watatu wakaanza kuwashika matako na maziwa wale wasichana bila ridhaa yao. Mara ya...
  2. Sky Eclat

    Maisha ninayoishi huku Nanjilinji ni ya kujitenga tayari

    Vifaa ninavyo nunua dukani ni sabuni, mafuta ya taa na ya kula, chumvi, sukari na majani ya chai. Asubuhi chai inakwenda na mihogo na viazi kutoka shambani. Siku nyingine ni ugali na kisamvu uliobaki jana. Mchana ninakuwa shamba na jioni ninakula ugali wa mihogo na jogoo. Nijitenge vipi...
  3. Sky Eclat

    Madaktari na manesi wamempa heshima mtoto wa miaka 11 kwa ujasiri wake

    Mtoto wa miaka 11 alitibiwa kansa ya ubongo. Alipofahamu kuwa hatapona aliamua kuchangia moyo na figo zake kwa watoto wanaozihitaji. Mauti yalipomfika jopo la madaktari na manesi waliomtibu walimpa heshima kubwa. An 11-year-old boy with brain cancer's wish to donate his organs moved his...
  4. Sky Eclat

    Maisha ya kila siku huku kwetu Kwamtogole

    Mwenye saloon ya kusukia nywele anakodisha chumba. Ndani anaweka Drayer 2, vioo, microwave viti, kabati la display. Chini kuna carpet la blastic. Sijakosea saloon kuna microwave, msusi anakuwa na cooler. Ukienda kusuka rasta saa ya kula anakuuliza utapenda pilau, ndizi nyama au wali...
  5. Equation x

    Wangapi wanayapenda haya maisha?

    Wangapi wanayapenda haya maisha?
  6. Morning_star

    Changamoto za mjini hukimbiza wengi kutafuta unafuu wa maisha

    Nakumbuka miaka ya 80s mitaa ya kariakoo kulikuwa na nyumba za tope za Wamanyema kutoka (kigoma) na wanyamwezi (kutoka tabora). Maisha yalivyokuwa yanapanda watu wakapakimbia Kariakoo na kuja kujenga au kupanga maeneo ya Ilala hivyo hivyo wakakimbia na kuja Buguruni mpaka uzee unawadaka na...
  7. beth

    Serikali yatoa tahadhari ya Virusi Corona, yasema hakuna mgonjwa Tanzania

    Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mafua makali unaosababishwa na kirusi aina ya Corona, uliozikumba nchi za China, Thailand, Japan, Korea Kusini na Marekani. Wizara imesema kuanzia Desemba mwanzo mwaka jana wamekuwa...
  8. magnifico

    Mfungwa wa leo, ndio Rais wa kesho; na kinyume chake, haya ndio maisha bwana

    Ehhh ndio maisha bwana, unashanga kuhusu jela! Kwa wanaharakati na wanasiasa halisi jela ndio masikani, huwezi kuwa mdai haki alafu uogope masikani (jela), kama unaogopa jela acha siasa, acha uwana harakati, acha kutetea misingi ya taifa lako, kazi ndogo tu acha kuwa mzalendo wa nchi na chagua...
  9. Miss Zomboko

    Kiafya haishauriwi kufanya vitu vifuatavyo mara baada ya kula chakula hasa namba nne ni hatari zaidi kwa maisha yako

    1.Kuvuta sigara Kiafya mara baada ya kula chakula hairuhusiwi kuvuta sigara japo kuwa mvutaji wa siagara hupatwa na hamu kubwa ya kuvuta mara baada ya kula tabia hii huhatarisha afya, hivyo inashauriwa kusubiri angalau kwa masaa kadhaa ndipo uvute endapo ni lazima sana kwani sigara ina miliki...
  10. Sky Eclat

    Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha

    Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha, vijana wengi hawapendi kuanzia kazi vijinini. Hii ni kutokana na miundo mbinu kuwa mibovu zaidi huko vijijini Fikiria unaanza kazi kama tabibu, nesi, mwalimu, bwana kilimo kijijini. Unakuta kuna nyumba yenye maji na umeme, japo...
  11. beth

    Cameroon: Watu 22 wapoteza maisha katika shambulio la kijiji

    Watu takribani 22 wameuawa katika shambulio la kijiji kimoja kaskazini-magharibi mwa Cameroon, Umoja wa Mataifa (UN) umesema. Zaidi ya nusu ya waliouawa katika kijiji cha Ntumbo walikuwa ni watoto. Vyombo vya habari vya nchini humo vinadai kuwa baadhi walichomwa moto mpaka kufikwa na umauti...
  12. assadsyria3

    Maisha yamekuwa magumu sana awamu hii

    Siamini kuwa wanaolalamika kuwa maisha ni magumu wote walikuwa mafisadi. Hembu tulete ushuhuda kama wewe - Mfanyakazi - Mkulima - Muuza hoteli - Muuza nguo - Muuza genge Nk. Tunaomba viongozi waweze kuchukua hatua hali mtaani ni worse. Ushuhuda: Nina kakibanda ulipaji wa kodi ni tabu mno kila...
  13. alaksh natena

    Kuanza maisha ya kiujasiliamali/ biashara ndogo ndogo-Uvinza

    Wadau habarini za majukumu? Naomba wazo zuri la kufanya biashara Wilaya Uvinza-Kigoma je ni biashara gani nifanye nijikwamue kimaisha wandugu? Mtaji wangu nilionao ni Tshs. 3 milioni.Karibuni kwa mawazo yenu mazuri.
  14. Morning_star

    Kiwango chako cha akili na maisha kinaenda na aina ya watu waliokuzunguka, Kuwa mpole! wanaokuzunguka

    Si busara kabisa kujimwambafai na kujiona huko juu kuliko hao unaokutana nao kila kukicha. Katika pitapita yangu unakuta mtu anapata taabu sana katika kushiriki story, chakula, usafiri, kazi, picha za pamoja (selfie) n.k kwa kujiona yeye yuko juu na kuanza kuleta dharau na kuponda maisha ya...
  15. Sky Eclat

    Siasa zilivyomdhulumu mzee Moi mwanamke wa maisha yake

    KILA mwanaume anaweza kupata mwanamke, akawa mpenzi, mke, mama wa watoto wake na wakajenga familia. Hata hivyo, kupata mwanamke wa maisha, inahitaji mwongozo wa Mungu. Kila mwanamke anaweza kupata mwanaume. Atamwita mpenzi, mchumba na hata mume. Mwanamke kumpata mwanaume wa maisha yake, sio...
  16. E

    Serikali haiwezi kukwepa jukumu la kuwaongoza wananchi namna bora ya kuishi maisha mazuri

    Juzi nilisikia kiongozi wetu akiwaambia wananchi kuwa "wale wanaojenga mabondeni wanachagua wenyewe na hivyo taifa halitawaonea huruma". Mkuu mwingine kabla ya hapo alisikika huko Lindi akituambia wanaokumbwa na mafuriko wanajifurikisha. Dare es salaam miaka ya nyuma kidogo tulishuhudia watu...
  17. Equation x

    Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini

    Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini. Kijijini kuna vivutio vingi vya asili,na watu wake wana utu na umoja ukilinganisha na mjini. Kijijini kuna hewa safi inayomuwezesha mwanadamu kuishi miaka mingi. Kijijini kuna watu wenye faraja. Kijijini wana hofu ya mungu. Kijijini...
  18. J

    Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilimahewa Wazo anusurika kupigwa na wapiga kura wake. Akimbilia karandinga la Polisi kuokoa maisha yake

    Hii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi. Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa. Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti...
  19. J

    Kumekucha: CCM kuwafungia Maisha wagombea watakaokutwa na hatia ya rushwa kwenye uchaguzi mkuu

    CCM imetoa onyo kwa wagombea wake wote wa uchaguzi mkuu kwamba yoyote atakayepatikana akitoa rushwa atafungiwa maisha yake yote kushiriki uchaguzi kupitia chama hicho. Hii ni hatua muhimu sana katika kudhibiti wale wote wenye nia ya kununua nafasi za uongozi. Source Mtanzania Jumapili
  20. Sky Eclat

    Maisha ndani ya Korea Kaskazini Pyongyang

    Rais akiwa kwenye sherehe za kitaifa.
Back
Top Bottom