1. inategemea na hio volcano unafikiri ikiripuka hata hao watakaa hapo? volcano yetu kama Oldonyo lengai ile inaruka inatembea umbali mrefu ni hatari, volcano nyengine zinakuwa tuli ama mfu hizo ndio zinaweza kuwa na faida kwa mwanadamu.
2. volcano ya kawaida inayotoa tu gas ambayo hai erupt hata hapa Tanzania inatumika
-tuna hotspring nyingi tu zinazotokana na volcano kama kikuletwa
-kilimo cha kilimanjaro na ardhi yenye rutuba sababu ya kilimanjaro
-utalii mlima kilimanjaro wenyewe
-moram hio wanachimba inatumika vitu mbalimbali etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.