Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Lissi kafanyiwa mahojiano(kwa lugha ya kingereza) huko Ubelgiji(probably leo) kuhusu swala zima la kama tutarajie uchaguzi huru na wa haki, ila alivyojibu,ni wazi mwenzetu huyu sUala la kutegemea uchaguzi huru na wa haki, kwake halipo kabisa kwani ameonyesha wazi hatarajii hilo kutokea, ila kaongeza maneno macheche ila mazito kuhusu nini kinaweza kufuata au kuambatana na uchaguzi huo na ambacho ndio concern yake kuu kitu ambacho/jambo ambalo hata mimi limenifanya nitafakari baada ya kumsikiliza.
Ukisikiliza clip hiyo ambayo iko katika akaunti ya twitter ya Daily Nation, utagundua mwenzetu ameshatazama mile kadhaa mbele na kaamua kutuandaa kisaikolojia kupitia mahojiano hayo juu ya nini kinaweza kutukoea wakati na baada ya uchaguzi huu.
Tuliozoe kusikia kauli za wanasiasa,maneno hayo ni ya kawaida, ila binafsi nakiri ni mazito japo kayatoa kwa mtindo wa swali, swali ambalo kila mtu inafaa ajiulize.
Jiongeze kunakohusika kukata kiu yako.
Ukisikiliza clip hiyo ambayo iko katika akaunti ya twitter ya Daily Nation, utagundua mwenzetu ameshatazama mile kadhaa mbele na kaamua kutuandaa kisaikolojia kupitia mahojiano hayo juu ya nini kinaweza kutukoea wakati na baada ya uchaguzi huu.
Tuliozoe kusikia kauli za wanasiasa,maneno hayo ni ya kawaida, ila binafsi nakiri ni mazito japo kayatoa kwa mtindo wa swali, swali ambalo kila mtu inafaa ajiulize.
Jiongeze kunakohusika kukata kiu yako.