Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,142
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Adskofu Gwajima pia amewahi kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (Doctor of philosopy in Theology...PhD), ambayo ameisomea katika Chuo cha Omega Global University chenye makao makuu yake nchini Afrika Kusini.
Askofu Gwajima atunukiwa PhD (Doctor of Philosophy)
ZAIDI SOMA:
= > Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Adskofu Gwajima pia amewahi kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (Doctor of philosopy in Theology...PhD), ambayo ameisomea katika Chuo cha Omega Global University chenye makao makuu yake nchini Afrika Kusini.
Askofu Gwajima atunukiwa PhD (Doctor of Philosophy)
ZAIDI SOMA:
= > Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe