waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
Katika vitabu vya dini mbali mbali na misemo ya mababu zetu inasema ya kwamba
1. Mwanaume bila mke hajakamilika
2. Wenye akili wote wameoa
3. Ndoa ni kipimo cha akili n.k
Yapo mengi mno ambayo hata Mimi siyafahamu na wewe waweza kuwa unafahamu mengine.
Niingie moja kwa moja kwenye pointi ya Uzi huu, kiukweli umri wang naona unazidi kwenda na sijabahatika kuwa na mke/msaidizi katika maisha. Mungu aliumba kila kitu kwa kufanana(pair) hivyo natafuta pair(mke) wa kuishi nae akubaliane na tabia zangu nami nizikubali zake.
VIGEZO VYANGU VYA KUZINGATIA
1. Anipende kwa dhati hata kwa asilimia 45 tu kwangu zinatosha
2. Awapende ndugu zangu bila kujali wao watampenda au laa. Nikisema ndugu namaanisha kuanzia kwa wazazi
3. Awe na kiu ya maendeleo. Katika vitu ambavyo humsukuma mwanamume kupigana kwa hali na mali ni msukumo wa mwanamke/mke kumhimiza na kumpa support na kumtia moyo ikibidi kumsaidia katika shughuli za kuleta maendeleo katika familia na wanawake wengi wa karne ya 21 hawana hilo wao huwaza starehe.
4. Awe na umri usiopungua miaka 28 na usiozidi 30. Katika kuoa au kuchagua MTU sahihi wa kuwa mshauri wako, mlezi wa familia yako inatakiwa uzingatie umri pia. Kwangu mimi naamini katika umri huo mwanamke huwa ameona au kupitia mambo kadha wa kadha hivyo kumfanya ajitambue kuwa yeye sio mtoto tena na kufanya awe na molari ya kutafuta maisha yaliyo bora ingawa kina wanawake wana umri mkubwa lakini ubongo wao ni under 18.
5. Awe tayari kuishi mahali popote duniani. Hii ni kama ziada tu maana kuna wanawake wengine huchangua mahali pa kuishi na kusahau kuwa maisha ni popote. Hivyo basi kama uko tayari huu ya hilo usisite kunitafuta.
NB:
Nimeandika Uzi huu nikiwa namaanisha nia ya dhati ya kutaka mwanamke wa kuoa, atakae ona sifa hizo anazo basi asisite kunitafuta maana ya Mungu mengi.
Asante
1. Mwanaume bila mke hajakamilika
2. Wenye akili wote wameoa
3. Ndoa ni kipimo cha akili n.k
Yapo mengi mno ambayo hata Mimi siyafahamu na wewe waweza kuwa unafahamu mengine.
Niingie moja kwa moja kwenye pointi ya Uzi huu, kiukweli umri wang naona unazidi kwenda na sijabahatika kuwa na mke/msaidizi katika maisha. Mungu aliumba kila kitu kwa kufanana(pair) hivyo natafuta pair(mke) wa kuishi nae akubaliane na tabia zangu nami nizikubali zake.
VIGEZO VYANGU VYA KUZINGATIA
1. Anipende kwa dhati hata kwa asilimia 45 tu kwangu zinatosha
2. Awapende ndugu zangu bila kujali wao watampenda au laa. Nikisema ndugu namaanisha kuanzia kwa wazazi
3. Awe na kiu ya maendeleo. Katika vitu ambavyo humsukuma mwanamume kupigana kwa hali na mali ni msukumo wa mwanamke/mke kumhimiza na kumpa support na kumtia moyo ikibidi kumsaidia katika shughuli za kuleta maendeleo katika familia na wanawake wengi wa karne ya 21 hawana hilo wao huwaza starehe.
4. Awe na umri usiopungua miaka 28 na usiozidi 30. Katika kuoa au kuchagua MTU sahihi wa kuwa mshauri wako, mlezi wa familia yako inatakiwa uzingatie umri pia. Kwangu mimi naamini katika umri huo mwanamke huwa ameona au kupitia mambo kadha wa kadha hivyo kumfanya ajitambue kuwa yeye sio mtoto tena na kufanya awe na molari ya kutafuta maisha yaliyo bora ingawa kina wanawake wana umri mkubwa lakini ubongo wao ni under 18.
5. Awe tayari kuishi mahali popote duniani. Hii ni kama ziada tu maana kuna wanawake wengine huchangua mahali pa kuishi na kusahau kuwa maisha ni popote. Hivyo basi kama uko tayari huu ya hilo usisite kunitafuta.
NB:
Nimeandika Uzi huu nikiwa namaanisha nia ya dhati ya kutaka mwanamke wa kuoa, atakae ona sifa hizo anazo basi asisite kunitafuta maana ya Mungu mengi.
Asante