maisha

  1. assadsyria3

    Maisha yamekuwa magumu sana awamu hii

    Siamini kuwa wanaolalamika kuwa maisha ni magumu wote walikuwa mafisadi. Hembu tulete ushuhuda kama wewe - Mfanyakazi - Mkulima - Muuza hoteli - Muuza nguo - Muuza genge Nk. Tunaomba viongozi waweze kuchukua hatua hali mtaani ni worse. Ushuhuda: Nina kakibanda ulipaji wa kodi ni tabu mno kila...
  2. alaksh natena

    Kuanza maisha ya kiujasiliamali/ biashara ndogo ndogo-Uvinza

    Wadau habarini za majukumu? Naomba wazo zuri la kufanya biashara Wilaya Uvinza-Kigoma je ni biashara gani nifanye nijikwamue kimaisha wandugu? Mtaji wangu nilionao ni Tshs. 3 milioni.Karibuni kwa mawazo yenu mazuri.
  3. Morning_star

    Kiwango chako cha akili na maisha kinaenda na aina ya watu waliokuzunguka, Kuwa mpole! wanaokuzunguka

    Si busara kabisa kujimwambafai na kujiona huko juu kuliko hao unaokutana nao kila kukicha. Katika pitapita yangu unakuta mtu anapata taabu sana katika kushiriki story, chakula, usafiri, kazi, picha za pamoja (selfie) n.k kwa kujiona yeye yuko juu na kuanza kuleta dharau na kuponda maisha ya...
  4. Sky Eclat

    Siasa zilivyomdhulumu mzee Moi mwanamke wa maisha yake

    KILA mwanaume anaweza kupata mwanamke, akawa mpenzi, mke, mama wa watoto wake na wakajenga familia. Hata hivyo, kupata mwanamke wa maisha, inahitaji mwongozo wa Mungu. Kila mwanamke anaweza kupata mwanaume. Atamwita mpenzi, mchumba na hata mume. Mwanamke kumpata mwanaume wa maisha yake, sio...
  5. E

    Serikali haiwezi kukwepa jukumu la kuwaongoza wananchi namna bora ya kuishi maisha mazuri

    Juzi nilisikia kiongozi wetu akiwaambia wananchi kuwa "wale wanaojenga mabondeni wanachagua wenyewe na hivyo taifa halitawaonea huruma". Mkuu mwingine kabla ya hapo alisikika huko Lindi akituambia wanaokumbwa na mafuriko wanajifurikisha. Dare es salaam miaka ya nyuma kidogo tulishuhudia watu...
  6. Equation x

    Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini

    Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini. Kijijini kuna vivutio vingi vya asili,na watu wake wana utu na umoja ukilinganisha na mjini. Kijijini kuna hewa safi inayomuwezesha mwanadamu kuishi miaka mingi. Kijijini kuna watu wenye faraja. Kijijini wana hofu ya mungu. Kijijini...
  7. J

    Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilimahewa Wazo anusurika kupigwa na wapiga kura wake. Akimbilia karandinga la Polisi kuokoa maisha yake

    Hii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi. Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa. Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti...
  8. J

    Kumekucha: CCM kuwafungia Maisha wagombea watakaokutwa na hatia ya rushwa kwenye uchaguzi mkuu

    CCM imetoa onyo kwa wagombea wake wote wa uchaguzi mkuu kwamba yoyote atakayepatikana akitoa rushwa atafungiwa maisha yake yote kushiriki uchaguzi kupitia chama hicho. Hii ni hatua muhimu sana katika kudhibiti wale wote wenye nia ya kununua nafasi za uongozi. Source Mtanzania Jumapili
  9. Sky Eclat

    Maisha ndani ya Korea Kaskazini Pyongyang

    Rais akiwa kwenye sherehe za kitaifa.
  10. G Sam

    Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

    Yapo mambo mengi ambayo kusema kweli yananifanya niwaze na kutafakari mengi. Leo nitaanza na hatua za awali kwenye maisha yangu na nitakuwa naweka hapa mambo ambayo nimewahi kuyafanya (Ya ajabu, yaliyonitokea mimi pamoja na ndugu zangu wa karibu) Ilikuwa ni miaka ya kuanzia 2000 nilipatwa na...
  11. Superbug

    GE2020 Huku Lissu, kule Zitto... Huku Mbowe, kule Pompeo katikati BBC maisha yanaenda haraka

    BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania. Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare. NAMTUMIA...
  12. Victor Mlaki

    Wachungaji wanapaswa kupatiwa elimu ya afya na usalama ili kutohatarisha maisha ya raia

    Muono wa Dunia kwenye Afya na usalama tumepewa jina "SUFURI" kwa maana ya kwamba kupunguza vifo, magonjwa na ajali kufikia asilimia sufuri. Afya na usalama mahali pa kazi ni jambo la muhimu sana ili kuongeza ufanisi, uzalishaji na ubora wa kazi na hili ni lengo mojawapo kwenye Malengo endelevu...
  13. N

    Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

    Yupo Super Kamanyola ya Mwanza. Nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. Nimemuona akikomalia kuiimba 'Nawashukuru wazazi wangu' ya DDC Mlimani Park najihisi kuhuzunika kiasi lakini sijui ni kwanini!!
  14. figganigga

    Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha

    Wakuu, Unajua haya mambo ya Jeshi sijui inakuaje kama mtu ukifiwa. Juzi tumepata msiba wa Vijana wetu zaidi ya kumi walikuwa kwenye Mazoezi. Leo ndo tunaaga hapa Lugalo Dar, kwa anayetaka kushiriki mazishi aje. Naamini Jeshi litatolea ufafanuzi taarifa hii ili kuondoa sintofahamu. Baada ya...
  15. FRANCIS DA DON

    Maisha ndani ya Marekani ni sawa na gereza?

    Nasikia huko bila dollar 200 hujapata bado..., halafu nasikia matrafiki wa huko hawachukui rushwa kabisa, ukifanya kosa ni faini na inaingia kwenye rekodi.., tena huko hata ukimzaba mkeo kofi unalala ndani.., ukitembea upande usio wako barabarani (wanaita J walking sijui) unalala ndani, mkilala...
  16. DissDotCom

    Tetesi: MAISHA KAMA GWARIDE...HUU NDIO UKWELI

    01.👉 Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school. 02.👉 Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza. 03.👉 Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa...
  17. W

    Haya ndio maisha halisi tunayoishi wana wa adamu

    Angalia video hii na ujifunze namna watu wanaokuzunguka wanavyokurudisha nyuma kimaendeleo.utajifunza uhalisia halisi wa maisha yako ya kila siku
  18. Analogia Malenga

    Dar es Salaam: Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka nane

    Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu, Stambuli Yusufu (35) kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa miaka nane. Mshtakiwa huyo anadaiwa kumfanyia kitendo hicho mtoto huyo anayesoma darasa la nne kati ya mwaka 2017 na 2018...
  19. Influenza

    Kigoma: Mganga wa Kienyeji afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8

    Mahakama ya Wilaya Kigoma Mkoa wa Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo...
  20. S

    Mjadala kuhusu kodi za nyumba, gharama za maisha na hali ya uchumi

    Nianze kwa kusema kwamba suala hili sasa imefika wakati liwe na mjadala wa kitaifa ili tuweze kufanya sekta ya makazi iweze kuwa rasmi na zaidi ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapewa makazi bora na wanaishi katika mzingira rafiki. Kuna ambao wanaweza wakafikiri kwamba watanzania wengi wana...
Back
Top Bottom