maisha

  1. The Boss

    JamiiForums Tanzania Urais wa Maisha: Baraza la Maaskofu na Kadinali Pengo wapo?

    Inaonekana nchi hii Rais akiwa muislam. Basi kutwa tunapatiwa waraka wa Uongozi Bora unaoheshimu katiba kutoka Kwa Viongozi WA kanisa katoliki Na Baraza la maaskofu. Wenye kumbukumbu wote mnakumbuka jinsi hata tetesi zikitokea wakati wa Kikwete ..haraka Sana taasisi hizo zinatoa matamshi makali...
  2. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ukiwa Hai hata kama ni Masikini au huna Elimu acha kujidharau, kukata tamaa na usiogope kuchekwa/Kudhihakiwa. Ipo siku maisha yako yatabadilika tu

    Teen who spent 10 hours cleaning up after protest rewarded with car and college scholarship Kwa Kifupi tu ni kwamba Jamaa huyo ( Mwafrika ) Mwenzetu aishie huko Ughaibuni huku akiwa na Maisha yake ya Kubangaiza hapa na pale kama ya Mzukulu Mimi kwa Moyo wake tu na kuonyesha Nidhamu yake ya...
  3. muzi

    JamiiForums Tanzania Maisha ni mtihani mkubwa

    Mitihani ya maisha omba isikupate asee kuna story nimetoka kuangalia, mama amepoteza lori lake mto Mwami. Just imagine gari ilikuwa mpya ndio imepata trip ya kwanza inaenda kutumbukia mtoni, mama wa watu analia na mengi, kapoteza gari, kapoteza dereva na bado anamajeruhi hospitali. Mshukuru...
  4. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Unafiki kwenye siasa zetu na hatma ya maisha yetu; tukiendelea hivi ni suala la muda tu, kila mtu atalia kwa wakati wake

    Dunia kwa asili yake ina machanguo mawili, wema au ubaya, haki au dhuluma, ukweli au uongo, unafiki au kutokuwa mnafiki, na kila mtu au jamii ina hiari ya kuchagua upande. Aidha, kila mbegu ioteshwayo na mtu mmoja mmoja, kundi au jamii huzalisha matunda yafananayo na mbegu husika. Kinachotokea...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tuko tayari kupoteza maisha yetu kwa ajili ya wazungu na Wayahudi

    Sisi miafrika ndio mibaguzi kupita wote. Cha kuhuzunisha tunabaguana wenyewe kwa wenyewe na kuchukiana. Mungu amlinde na kumjalia afya na maisha marefu president Trump. Kitendo cha yeye siku ile kushika silaha ya hatarii kuliko zote THE HOLY BIBLE yani whitehouse tena kwakr ni kitonga. Mungu...
  6. Pain killer

    JamiiForums Tanzania Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

    Habari wakuu Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara, ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mama...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Polepole: Unafiki ni sehemu ya maisha kwenye siasa hauepukiki awataka wanachama kutii kanuni hata kama ni kinafiki

    Mwenezi Polepole ambaye pia ni mlezi wa chama mkoa wa Arusha amewataka wabunge kuendelea kukutana na wananchi na kukamilisha ahadi walizotoa mwaka 2015. Hata hivyo Polepole amezuia watu wengine kufanya mkutano na wananchi kana kwamba wao ni wabunge. Polepole amewaruhusu wabunge kuwanunulia...
  8. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania Maisha yanabadilika haraka sana, eti kuvaa barakoa kwa sasa ni ushamba

    Binafsi nashauri wizara iache kuendelea na matangazo ya kunawa mikono na kuvaa barakoa. Kwani kufanya hivyo ni kupingana na maoni ya raisi sasa hivi wanaovaa barakoa ni wachache sana kiasi kwamba mnaonekana kama tofauti na wengine. Ukitembea mitaani utashuhudia na hata bila kuambiwa unaona...
  9. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Ikifa CHADEMA sisi wengine tutakuwa na Maisha magumu sana

    Wengine hawafikirii hili suala. Leo tunaamka tu asubuhi Chadema haipo. Mnadhani tutaanza kuishi vipi? Buku 7 tutazipata kweli kwa kumshambulia mrema?ambaye tayari ana mashambulizi toka ndani yake mwenyewe? Tuacheni ujinga ndugu zanguni.kweli tunaweza pata hata buku 3 kwa kumshambulia...
  10. Tetramelyz

    JamiiForums Tanzania Unapomsalimia boss wako usisahau kunsalimia aliye pembeni yake. Maisha yanabadilika

  11. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuyapenda maisha ya kijani?

    Mimi ninavutiwa sana na maisha ya kuwa karibu kabisa na asili" kijani"natamani ninapoishi kila mahali pawe na alama ya kijani.
  12. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Sare za Taifa, maisha ya 90'S mwanzoni

    Enzi hizo miaka ya late 80's na earl 90's kulikuwa na aina za mavazi ambazo almost kima mtu alivaa:D:D ntazitaja baadhi zingine mtanisaidia malejendari 1. chupi zza kiume ziliitwa VIP, Hii kila mtu aliva ukianika nje unaweza kuondoka na ya dingi suruali za TOKYO maarufu kama mchelemchele hizi...
  13. Village fooler

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliopitia maisha ya shida baada ya kufiwa mama zetu tukutane hapa

    Habari za weekend ndugu zangu poleni na mihangaiko pamoja na hii changamoto ya covid- 19 kama title inavosema Mimi Ni mhanga wa kufiwa na Mama yangu mzazi nikiwa katika umri wa miaka 11 tu nikiwa darasa la tano. Kwakweli kati ya vitu vinavyoumiza na bado vinazidi kuniumiza mpaka Leo Ni kitendo...
  14. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Ni wapi panafaa kwa kuanzia maisha kwa kijana anayeanza kujitegemea?

    Wakuu heshima kwenu, Sitaki kuwachosha sana. Binafsi nilipata kibarua cha muda mfupi ktk mkoa fulani, kibarua changu kinakaribia kuisha, na sitaki kabisa kurudi home. Kiukweli nimekuwa nikiumiza sana kichwa maisha yatakuaje baada ya hiki kibarua kuisha, nimejibana nkakusanya milioni moja...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Ma-celebrities wengi wana maisha magumu sana, pamoja na kwamba wana umaarufu na fedha nyingi

    Hii ina include waigizaji filamu wakubwa maarufu na wanamuziki wenye utajiri na umaarufu mkubwa Nasikia Wanapewa masharti magumu ya kichawi, ili waweze kupata na ku-maintain utajiri na umaarufu wao, na hii ni kwasababu fedha na umaarufu wao vinatoka kwa shetani, wengi wanapewa masharti kila...
  16. OLS

    JamiiForums Tanzania ‘Motivational Speakers’ wanaweza kuharibu maisha ya waajiriwa

    Ni kwa muda mrefu wafanyakazi wamekuwa wakiambiwa wanafanya kazi za kitumwa. Mawazo kama haya yako tangu zamani sana. Wakati wa vita baridi kati ya Usoshalisti na Ubepari, nchi nyingi za Afrika zilisema hazina upande lakini baadae wakaelemea kwenye Usoshalisti, taifa kama Tanzania likaweka kitu...
  17. APA CHICAGO

    JamiiForums Tanzania Tusikwepe wajibu wetu katika jamii yetu

    Kuna watu wengi wanakwepa majukumu yao katika jamii yetu kwa kisingizio kuwa haya au hayo ni mambo ya kisiasa. Binafisi huwa ninawaza watu hawa uelewa wao wa mambo ni mdogo sana au wameamua kwa makusudi wawe vipofu? Tuelewane kidogo iko hivi siasa ndiyo inaendesha kila kitu katika maisha yetu...
  18. Mjomba Fujo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

    Mgogoro wa mifugo umeleta mapigano ya jamii hizi mbili zenye uhasama wa muda mrefu.
  19. P

    JamiiForums Tanzania Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Kuna mda huwa tunafanya makosa mengi sana katika maisha tena mengine ya kujitakia kabisa ambayo ukiyakumbuka baadae unayajutia sana. Binafsi kama ningetumia mda vizuri ningekuwa mbali sana sana kimafanikio kuliko nilivo sasa. Kipindi namaliza O' level baada ya matokeo kutoka nikapangwa Moshi...
  20. Cannabis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya quarantine Kaplelach High school

    Hii ni quarantine iliyoanzishwa na serikali ya Kenya Eldoret ambapo watu wengi wamekuwa wakilalamika kuwa hii sehemu ni incubator ya corona.
Back
Top Bottom