mahusiano

  1. Chizi Maarifa

    Ana mahusiano ya Kimapenzi na dada yake. Nimewafumania

    Nimeshtuka kidogo kwa hili nililoliona muda huu saa moja nikiwa narudi home. Huku nakoishi kiukweli kuna ukimya sana. Unaweza ukakaa huku week usijue nini kinaendelea ulimwengu mwingine Nikiwa narudi home kwangu mimi ni nyumba ya pili kutoka mwisho mtaani kwetu.then hakuna njia kumefunga sababu...
  2. Dollar hermees

    Ulishawahi kudanganywa kwenye mahusiano?

    Habari wana JF leo nina bonge moja la tukio ambalo sijawahi kulipitia maisha yangu yote. Mahusiano ni moja ya kitu chenye changamoto sana katika maisha yetu haswa sisi wanaume. Kutokana na asili ya wanaume tulivyo basi kuingia katika mahusiano ni committment na sio mazaha kwa sababu unajua zile...
  3. K

    Ushauri wenu: Kuna umuhimu kuridhisha wakwe wa siku hizi?

    Salam sana, naandika hapa nikiwa sina ujuzi wowote wa kiuandishi, kwenye makosa mtanisamehe. Ninachotaka kuelezea hapa na kuomba ushauri wenu ni experience yangu binafsi ambayo nadhani sijapata mtu sahihi bado wa kuongea nae vizuri akanielewa. Mimi ni kijana fulani wa makamo, katika miaka ya...
  4. Zegota

    Nilimpenda mdogo mtu, Dada mtu akanipenda zaidi hali iliyopelekea kuwa nao wote kwenye mahusiano

    Mapenzi bhana. Kuna wadada wawili tumbo moja, wazuri na wanavutia sana lakini mdogo mtu alikuwa mzuri zaidi, mkimya mwenye dharau ndani yake ya kujiona yuko level flani hivi za juu. Huyu ndio macho na hisia zangu ziliangukia kwake, alifanya kila weekend nisafiri kutoka Mtwara nilipokuwa kikazi...
  5. Chizi Maarifa

    Mzee Hussen Kheri umeacha Darsa kubwa Ulimwenguni katika Mahusiano

    Ni miaka zaidi ya 30 nakufahamu mzee wewe wa kipekee kabisa katika suala la mahusiano.uliwahi sema hutogombania K hata iweje.kama mtu mwingine atakula K ya mkeo ukagundua wala si Issue ya kumind. Itaoshwa tu nawe utaendelea kula kwa wakati wake. Mzee kheri umefariki ukiacha Urithi Ulimwenguni...
  6. P

    Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

    Wanawake, mko nyuma ya keyboard. Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo? Wanaume, Leo...
  7. M

    Kwanini watu hawachukui hatua dhidi ya ukatili kwenye mahusiano?

    Wakuu wa MMU, Kumekuwa na dhana ya muda mrefu ndani ya jamii kutokuwa wazi kuhusuana na ukatili unaoendelea katika mahusiano ya kimapenzi. Wengi wao wanaona si jambo la kiungwana kueleza juu ya hali wanazopitia ndani ya mahusiano hasa masuala ya manyanyaso na vipigo vya mara kwa mara. Wengine...
  8. T

    Kwanini bado tunabagua baadhi ya mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke?

    Kwa mfano, mwanaume akiwa na umri mdogo kuliko mwanamke, au mahusiano ya kimwili tu si mapenzi (friends with benefit) au ukute ni kuwa partners pasipo na drama au mahusiano ya kimaslai (sugar dating) nk. Hayo mahusiano kwa hapa TZ yakitokea wahusika huonekana ni watu waajabu sana, issue kama...
  9. Cannabis

    Baada ya tamko lingine la Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania; Je, ni wakati muafaka kwa Serikali kutathimini upya mahusiano yake na taifa hilo?

    Tarehe 11/06/2020 Ubalozi wa Marekani umetoa tamko lingine linaloelezea ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 nchini Tanzania, na kuwashauri raia wake kukaa ndani na kuachana na mizunguko isiyo ya lazima. Taarifa hii inafuatia tahadhari mbali mbali ambazo imekuwa ikizitoa tangu ugonjwa...
  10. Equation x

    Ni kitu gani au nguvu gani husababisha kuwa na mahusiano?

    Kuna utafiti nataka nifanye kuhusiana na mahusiano; nataka nijue ni kwa nini jinsia tofauti (Ke na Me) zikikaa sehemu moja kwa muda mrefu, lazima waanzishe mahusiano. Equation x (me) anataka afanye huu utafiti na binti yeyote mrembo (ke) wakae sehemu moja kwa siku thelathini (30) tu wakiwa...
  11. Requal

    Aina ipi ya mtu huwezi kuwa naye kwenye mahusiano ya kudumu ( Serious relationship)?

    Pamoja na imani kwamba mahusiano bora huwezekana kwa kukutana na mtu sahihi, na ni dhahiri kwamba mwanamke yeyote anaweza kabisa kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote kwa amani ikiwa kila mmoja wao atakuwa 'motivated' kujua mahitaji ya mwenzi wake huyo na kuyajibu ipasavyo, na hapa ndipo kunakuwa...
  12. sabuwanka

    Unapenda mahusiano yako yadumu?

    Wapendwa wangu wana jukawaa salaam. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la mahusiano ya kimapenzi na ndoa kuvunjika hasa kwetu vijana, kugombana, kutofautiana, kupishana maneno ni jambo la kawaida kwasababu tunaingia katika mahusiano tukiwa na tabia tofauti tofauti na tena...
  13. Course Coordinator

    Kuweni makini na wanaojipima HIV kabla ya tendo

    Wasalam Rafiki yangu mmoja alikuwa mzee wa totozi mawazo mgando akiamini kuwa nurse au daktari yoyote huwa hawapati HIV kwa vile ndio wataalam. Akawa amempenda Nurse anayemzidi umri kidogo ,wakaanzisha mahusiano kama miezi kadhaa kwa vile nurse alikuwa mbali na yeye alikuwa anamueleza kuwa...
  14. soine

    Umuhimu wa kuenzi diplomasia: Mabalozi wa Nordic countries waahidi kuendelea kuimarisha mahusiano na Tanzania

    Ni jambo jema kuona bado kuna tumaini toka kwa wadau muhimu wa maendeleo na rafiki kwa Tanzania kutaka kuendelea kushirikiana na taifa letu la Tanzania kipindi ambacho kumekuwa na ukosoaji mkubwa wa mataifa ya magharibi na mashirika yake, na ingalipo changamoto na janga la corona ambalo...
  15. M

    Niulize chochote kuusu lolote linalokutatiza katika mahusiana

    Utangulizi unajieleza. Ikiwa una jambo lolote linakutatiza kuhusu mahusiano ya aina yoyote na unahitaji ushauri au utatuzi niulize nitakusaidia..
  16. Belleringal

    Mahusiano na mwanajeshi...

    Mimi nilifanikiwa kuwa na mahusiano na mwanajeshi huko Dar. Mahusiano yetu yalikuwa ni ya long distance, nilimpenda sana. Niliona nimepata mwanaume coz kila siku huwa ananiremind kwa kuniambia "ongea na wazee wako waambie kuwa kuna mtu anataka alete barua" Then I told my grandma lakini kama...
  17. J

    Angalia: Zitto na dadaye, Lissu na dadaye, Ndesa na mwanawe, Dr Slaa na mkewe, Ndesa na mkwewe. Je, Viti Maalumu CHADEMA huzingatia mahusiano?

    Najaribu tu kuwakumbusha wale wanaomwandama Mbowe kwamba aliwanyanyasa kijinsia baadhi ya wabunge wa viti maalumu Chadema. Kiukweli mnamuonea bure kabisa mwenyekiti. Utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalumu umekuwa na sintofahamu tokea chama hicho kiasisiwe. Nitoe mifano michache ya...
  18. A

    Ukijingiiza kwenye mahusiano na wadada wenye sifa hii umekwisha

    Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye? Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji. Ukiwa...
  19. Equation x

    Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?

    Wengi tunaingia kwenye mahusiano kutokana na misukumo mbalimbali, mfano:- kupata mwenza, tamaa za kimwili, kuongeza kipato, kuigana n.k Hii hali imepelekea wanajamii kuhamasika, na kila mmoja kutafuta mahusiano bila kuangalia ukomavu wa muhusika, na mwisho wa siku kuleta changamoto katika...
  20. Equation x

    Mahusiano ni gharama ya kujitoa sadaka

    Mahusiano yana gharama sana, kama hauko tayari kubeba hizo gharama ni bora usiingie kwenye mahusiano. Na hizi gharama zinajitokeza pale mmeshakuwa wawili ama mmeshazoeana vya kutosha. Na hizi gharama ni kama hizi:- Kumchoka mwenzako na kutaka kumuacha...kama hujakomaa ni rahisi kumuacha...
Back
Top Bottom