EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Habari za Leo wakuu. Wakuu nina swali...
Hivi ni kwa nini wanawake walio wengi wanatumia ushirikina kwenye mahusiano ya ndoa? Na je tufanyeje ili kuwadhibiti?
Labda nikupe tu mfano mmoja. (Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga kuchukua limbwata za kuwafunga waume zao) Lengo hapa ni kuwageuza wanaume wao misukule ili wawasikilize kwa kila watakachosema.
Hivi kuna baadhi ya watu humu tayari walishafungwa ila hawawezi kujielewa. Wanaendeshwa kwa kutumia remote. Utakuta mtu anashindia mishati haieleweki lakini mke wake sasa. Hiyo ni dalili ya kufungwa.
Hivi ni kwa nini wanawake walio wengi wanatumia ushirikina kwenye mahusiano ya ndoa? Na je tufanyeje ili kuwadhibiti?
Labda nikupe tu mfano mmoja. (Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga kuchukua limbwata za kuwafunga waume zao) Lengo hapa ni kuwageuza wanaume wao misukule ili wawasikilize kwa kila watakachosema.
Hivi kuna baadhi ya watu humu tayari walishafungwa ila hawawezi kujielewa. Wanaendeshwa kwa kutumia remote. Utakuta mtu anashindia mishati haieleweki lakini mke wake sasa. Hiyo ni dalili ya kufungwa.