sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Ni wanawake wachache sana wanaweza kuukwepa mtego wa pesa za mwanaume anaehitaji kuwa na mahusiano nao.
Hii ni kwasababu pesa hio ndio tatizo kuu la dunia, tunaitafuta kila siku na ni ngumu kuipata na bila hio pesa maisha yanakuwa magumu.
Hivyo ni kazi sana mwanamke kukwepa hili hasa ukizingatia pesa hio hio itasaidia pia wadogo zake, kaka zake, ndugu zake , wazazi wake, n.k anakuwa hana cha kufanya.
Yote haya atayamudu isippkuwa kwenye mapenzi ndipo itakuwa mtihani, Na hapo ndipo yanapotokeaga haya mambo kwamba mke flani wa tajiri anatembea na mtu wa kawaida kabisa
Hii ni kwasababu pesa hio ndio tatizo kuu la dunia, tunaitafuta kila siku na ni ngumu kuipata na bila hio pesa maisha yanakuwa magumu.
Hivyo ni kazi sana mwanamke kukwepa hili hasa ukizingatia pesa hio hio itasaidia pia wadogo zake, kaka zake, ndugu zake , wazazi wake, n.k anakuwa hana cha kufanya.
Yote haya atayamudu isippkuwa kwenye mapenzi ndipo itakuwa mtihani, Na hapo ndipo yanapotokeaga haya mambo kwamba mke flani wa tajiri anatembea na mtu wa kawaida kabisa