Hongera Joe Biden pengine utajenga mahusiano mazuri na Dunia

dndagula

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
1,458
1,442
Kuapishwa kwa Joe Biden kama Rais wa Marekani leo kumefuatiliwa na wananchi wa dunia na pengine imefurahiwa na wengi kwa vile walio wengi wanatarajia mabadiliko ya utekelezaji wa sera za Marekani kuhusu Afrika na mataifa mengineyo hususani ya nchi zinazoendelea.

Ni ukweli usiopingika Triump alijishughulisha na masuala ya ndani zaidi lakini pia uhusiano wake na nchi za ulaya haukuwa mzuri. Masuala ya mahusiano na Mashariki ya kati nayo yalizidi kuharibika hususani pale alipoutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel bila kuzingatia unyeti wake kwa wa eneo hilo.

Tunamtakia heri na fanaka.
 
Mtoa hoja hii acha kuwa na uchoyo wa ukweli,elewa president Trump alikuwa ni wa America sio dunia na for him America came first,uhusiano wake na Europe alisisitiza usawa wa uchangiaji wa masuala yanayohusu Europe na US, Middle East politics hakuna US president aliyefanya kazi nzuri kama huyu nchi nyingi za Middle East zimeanzisha uhusiano na Israel, na la president Trump kuitambua Jerusalem kama capital city ya Israel mbona wewe hujiulizi balozi wa nchi yetu israel ofisi yake ipo jiji gani? Always ukweli utakuweka huru.
 
Bro. Haya mamtu ni magumu kuelewa. Watu hawajifunzi. Hebu angalia. Obama alimunyong gadafi, na obama huyohuyo ni mshauri wa biden. Cant yu learn yu sheep. Why why why why......why. ngoja nilie tu jamani. Hakuna jinsi. Matanzania ni magumu kujifunza.
Mtoa hoja hii acha kuwa na uchoyo wa ukweli,elewa president Trump alikuwa ni wa America sio dunia na for him America came first,uhusiano wake na Europe alisisitiza usawa wa uchangiaji wa masuala yanayohusu Europe na US,middle east politics hakuna US president aliyefanya kazi nzuri kama huyu nchi nyingi za middle east zimeanzisha uhusiano na Israel,na la president Trump kuitambua Jerusalem kama capital city ya Israel mbona wewe hujiulizi balozi wa nchi yetu israel ofisi yake ipo jiji gani?always ukweli utakuweka huru.
 
Bro. Haya mamtu ni magumu kuelewa. Watu hawajifunzi. Hebu angalia. Obama alimunyong gadafi, na obama huyohuyo ni mshauri wa biden. Cant yu learn yu sheep. Why why why why......why. ngoja nilie tu jamani. Hakuna jinsi. Matanzania ni magumu kujifunza.
Hivi how long does it take mtanzania kujua ukoloni mambo leo upo na unaendelea kukutafuna.
 
Back
Top Bottom