johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Katika baadhi ya nchi kuna Wizara ya dini ambayo inaratibu mambo yote ya dini yanayohusiana moja kwa moja na siasa.
Viongozi wa dini wanaopendelea siasa kama akina askofu Bagonza, askofu Mwamakula, Shehe alhad Salum, askofu Gwajima nk nk hiyo ndio inakuwa forum yao ya kuongelea badala ya kuegemea Chadema au CCM.
Lowassa akiwa CCM aliahidi kuunda wizara ya dini endapo angechaguliwa kuwa Rais, nadhani aliona mbali.
Maendeleo hayana vyama!
Viongozi wa dini wanaopendelea siasa kama akina askofu Bagonza, askofu Mwamakula, Shehe alhad Salum, askofu Gwajima nk nk hiyo ndio inakuwa forum yao ya kuongelea badala ya kuegemea Chadema au CCM.
Lowassa akiwa CCM aliahidi kuunda wizara ya dini endapo angechaguliwa kuwa Rais, nadhani aliona mbali.
Maendeleo hayana vyama!