sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Kwa sasa hivi smartphone zimekuwa kawaida sana kumilikiwa na watu wengi hususani vijana, Smartohone hizi zina kamera ambazo baadhi ya vijana huzitumia kujirekodi wakiwa katika ibada ya utamu.
Miaka inavyoenda vijana wanaoa na kuwa na familia, mda huu wanakuwa wamesahau uchafu wao ambao upo mikononi mwa wachumba zao wa zamani ambao ni kama bomu linalongoja kulipuka mda wowote.
Inaweza kutokea mpenzi wako wa zamani hamkuachana kwa amani au hakufurahishwa na kuachana na wewe na mbaya zaidi ana video mlizokuwa mkirekodi kunako 6 kwa 6.
Sasa inaweza kutokea kwetu sisi wanaume tumegombana na ma ex wa wake zetu au kupishana kauli, huyo uliegombana nae ana video za hapo zamani alipokuwa anamla mke wako, yaani full HD.
Mtu huyo anaweza kukulipa kisasi kwa kukutumia video hizo zikiambatana na vilio vya kimahaba na maneno matamu waliyokuwa wanapeana, mbaya zaidi unaona jamaa kakuzidi idara nyingi kama stamina, utundu, maumbile na mke wako anafurahia mechi anampa vitu ambavyo wewe hajawahi kukupa tangu mjuane.
Kiukweli inauma sana kuona jinsi mwanaume mwengine alivyokua anamshindua na kumpeleka moto mke wako, kisaikolojia unaweza kujiona dhaifu na mmeoana ilimradi tu iwe ndoa.
hali hii inaweza kupelekea msongo wa mawazo na hata kuvunja ndoa kabisa.
hivyo hivyo inaweza kutokea kwa mwanamke mwenye mme, mwanamke mwenzake aliekua ex wa mme wake akamtumia hizo video, inauma sana.
Mwanamke huyo mwenye mme anamuona ex wa mme wake ni mzuri kuzidi yeye, kajaliwa shape, mtundu balaa na mme wake anaonekana akiwa na hisia kali sana na kutoa ushirikiano wa hali ya juu mno kuliko anapokuwa nae.
Kwa kimombo hizi vitu zinaitwaga revenge sex tape, zinatesa sana watu kisaikolojia hakuna mfano.
kimuoma mtu mzima analia ......
Miaka inavyoenda vijana wanaoa na kuwa na familia, mda huu wanakuwa wamesahau uchafu wao ambao upo mikononi mwa wachumba zao wa zamani ambao ni kama bomu linalongoja kulipuka mda wowote.
Inaweza kutokea mpenzi wako wa zamani hamkuachana kwa amani au hakufurahishwa na kuachana na wewe na mbaya zaidi ana video mlizokuwa mkirekodi kunako 6 kwa 6.
Sasa inaweza kutokea kwetu sisi wanaume tumegombana na ma ex wa wake zetu au kupishana kauli, huyo uliegombana nae ana video za hapo zamani alipokuwa anamla mke wako, yaani full HD.
Mtu huyo anaweza kukulipa kisasi kwa kukutumia video hizo zikiambatana na vilio vya kimahaba na maneno matamu waliyokuwa wanapeana, mbaya zaidi unaona jamaa kakuzidi idara nyingi kama stamina, utundu, maumbile na mke wako anafurahia mechi anampa vitu ambavyo wewe hajawahi kukupa tangu mjuane.
Kiukweli inauma sana kuona jinsi mwanaume mwengine alivyokua anamshindua na kumpeleka moto mke wako, kisaikolojia unaweza kujiona dhaifu na mmeoana ilimradi tu iwe ndoa.
hali hii inaweza kupelekea msongo wa mawazo na hata kuvunja ndoa kabisa.
hivyo hivyo inaweza kutokea kwa mwanamke mwenye mme, mwanamke mwenzake aliekua ex wa mme wake akamtumia hizo video, inauma sana.
Mwanamke huyo mwenye mme anamuona ex wa mme wake ni mzuri kuzidi yeye, kajaliwa shape, mtundu balaa na mme wake anaonekana akiwa na hisia kali sana na kutoa ushirikiano wa hali ya juu mno kuliko anapokuwa nae.
Kwa kimombo hizi vitu zinaitwaga revenge sex tape, zinatesa sana watu kisaikolojia hakuna mfano.
kimuoma mtu mzima analia ......