Heshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu...