pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Heshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu watapewa majina gani?
Mnafikiri CCM na watu wake ndio wa mwisho Tanzania?
Hivi Tanzania hakuna watu waliofanya makubwa ukiacha wanaccm?
Ipo siku watakuja Watanzania wenye maono na wasiopenda sifa, watafuta hayo majina ya kujipendekeza.
Wakina Mwamunyange, Mayunga, Askofu Munga, John Okello, Maria Nyerere, Salim Ahmad Salim nk.
Tanzania ni yetu sote. Kama Vipi Nchi ibadilishwe Jina iitwe Magufuli tujue moja. Sababu ishakua nchi ya kusifu na matatizo ya wananchi yamesahaulika na hayasemwi na ukijaribu kusema unaitwa beberu.
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu watapewa majina gani?
Mnafikiri CCM na watu wake ndio wa mwisho Tanzania?
Hivi Tanzania hakuna watu waliofanya makubwa ukiacha wanaccm?
Ipo siku watakuja Watanzania wenye maono na wasiopenda sifa, watafuta hayo majina ya kujipendekeza.
Wakina Mwamunyange, Mayunga, Askofu Munga, John Okello, Maria Nyerere, Salim Ahmad Salim nk.
Tanzania ni yetu sote. Kama Vipi Nchi ibadilishwe Jina iitwe Magufuli tujue moja. Sababu ishakua nchi ya kusifu na matatizo ya wananchi yamesahaulika na hayasemwi na ukijaribu kusema unaitwa beberu.
Mara nyingi majina ya watu kupewa viwanja vya ndege, katika nchi nyingi ni baada ya mhusika kufariki.
Viwanja vya ndege kama Julius Nyerere, Oliver Tambo, JF Kenedy, n.k. ni baada ya wao kufariki.