As Salaam alaykum
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi.
* Tanga
* Mtaji hata mdogo
* Mwaminifu (Muislamu...
Katika siku za usoni, chakula kitakuja kuwa ndio nyenzo muhimu ya nguvu la taifa husika, taifa lenye chakula cha kutosha na cha uhakika ndilo litakuwa na sauti nguvu ya maamuzi. Kwamba atakaeleta ubishi basi ananyimwa chakula, na hapo hapo anarudi kwenye mstari.
Sasa basi, kwakuwa changamoto...
Utangulizi
EM.1®️ ni teknolojia iliyogunduliwa nchini Japan miaka ya 80. Imesajiliwa Tanzania na Kampuni ya Feedpro EMAx Limited mwaka 2018. EM ni kifupisho cha Effective microorganisms ambao ni mfumo wa vijidudu hai, salama kwa binadamu. Hii teknolojia inatumika kwenye nchi zaidi ya 110...
Wakati tukijua kilimo ni UTI wa mgongo wa uchumi wa taifa letu, leo muda huu waziri wa kilimo anawasilisha hotuba ya wizara hiyo.
Televisheni za Azam TV na Chanel Ten zinaonyesha live hotuba hiyo muhimu.
Cha ajabu, Televisheni ya taifa TBC muda huu inaonyesha vikatuni vya alfabeti vya a. e. i...
Spika Job Ndugai amesema kesho Bungeni kutakuwa na uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Waziri wa Wizara hiyo atatolea ufafanuzi suala la kuadimika kwa sukari nchini
Spika Ndugai amewaomba Wabunge kuwa na subira kwani kesho watapata nafasi ya kuchangia na kuzungumzia suala hilo wakati...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU KILIMO HIKI:
Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo:
1) Mbegu bora zinapatikana wapi?
2) Zinachukua muda gani kukomaa?
3) Masoko yake yako wapi?
4) Bei ya kuuza inakwendaje?
Asanteni.
===
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA...
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na...
Halo JF Celebrities.
Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?
Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro.
O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye...
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for...
Habari za leo Wana wa jukwaa la KUU.
Wakuu nimewahi kukaa katika customs mojawapo ya nchi hii inayotuunganisha na nchi jirani kwa upande wa kusini. Sio muda mrefu uliopita.
Kusema ukweli wazee, ni tani kwa tani za soya za lishe zinapita pale in transit kwenda Rwanda, Uganda na Kenya. Na chache...
Habari wanajamvi,
Kwa kipindi hiki ambacho dunia yote imetoa macho katika janga hili lililosibu dunia, bas karibu kufahamu kuhusu kulimo ili uweze kuchagua na kuwekeza katika kilicho sahihi. Kabla hatutajatangaza bidhaa tutoe nafasi ya kuuliza maswali kuhusiana na kilimo cha matunda, miti na...
Wakuu heri na amani na iwe kwenu ni matumaini yangu kuwa hamjambo kama mimi.
Kabla sijaenda kwenye mada nikiri wazi kabisa kipaji cha kuandika sina ila ninauwezo wa juu wa kusikiliza na kuongea tena bila kipaza sauti,kwa kipaza sauti huwa nashindwa kuongea kwa kiwango nilicho nacho.
Baada ya...
Mimi kama mdau mkubwa wa Sekta ya kilimo kwa nyakati tofauti tofauti nimetembelea hii benki toka izinduliwe mwaka 2015 na kujaribu kupata mkopo kwa ajili ya shughuli zangu za kilimo na wakati mwingine kujaribu kusaidia wadau wenzangu kupata mikopo lakini katika hali ya kusikitisha saana haya ni...
Wadau,
Nahitaji kulima maparachichi. Kwa mwenye ufahamu zaidi naomba kujua changamoto na nini nifanyeje ili nieweze kufanikiwa.
MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU ZAO HILI
MICHANGO/ UZOEFU WA WADAU KUHUSU ZAO HILI
Kuna taarifa kuwa chuo kinawatoza wanafunzi 10,000 Tsh kuwatengenezera control number wakati wnataka kwenda benkikulipa ada.
Kibaya ni kuwa hawatoi hata risiti kwa malipo ya kupata control number.
Tafadhali lifanyie kazi kama sheria ya kodi inasema hivyo kuwa kupata control number unalipia
Kumekuwa na tabia ya wazazi, viongozi na walimu kutishia watoto kuwa wasiposoma watakuwa wakulima maisha yao yote. Hii ikiwajengea dhana kwamba kilimo ni kazi ya mtu aliyekataa shule.
Ni viongozi hao hao ambao huwaambia vijana wenye shahada zao kuwa wakajiajiri kwenye kilimo baada ya kushindwa...
Malawi imekua nchi ya hivi karibuni iliyoko Kusini mwa Afrika kuhalalisha kisheria ukulima na uuzaji wa ndani na nje wa bangi.
Wanaotumia bangi kama kiburudisho wanaiona bangi kama , "Malawi Gold", yaani Thahabu ya Malawi kama wanavyoiita wenyewe, kuwa moja ya dawa nzuri.
Lakini maafisa...
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet N.Hasunga (MB) jana Jumapili anawafahamisha wakulima na wananchi kwa ujumla kuwa taarifa zinazoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu uwepo wa nzige wa Jangwani nchini hususan mkoa wa Kilimanjaro siyo za kweli.
Mhe.Hasunga amesema...
Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri bila kutoa jasho
Nami nikaanza na nguruwe wenye mimba 3. Mwanzoni hakukuwa na changamoto sana ila...
Kikundi cha wanaakiolojia kimesema wamegundua kwamba binadamu walianza kuoka mikate mapema zaidi kabla ya kuanza shughuli za kilimo.
Utafiti uliotolewa kwenye Jarida la PNAS la Marekani unaonesha kuwa wanaakiolojia wamegundua mabaki ya mikate ya kuokwa yenye historia ya miaka 14,400 katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.