kilimo

  1. TAJIRI MSOMI

    JamiiForums Tanzania Kilimo na JATU: Je, kuna ukweli wowote?

    Wakuu Wa Kilimo habari! Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya...
  2. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Ulimaji wa zao La Mkonge. Naomba kujua gharama za kilimo na soko

    Heshima kwenu wadau, katika harakati za mawazo yanuwekezaji, kuna mdau alinidokeza juu ya kilimo cha mkonge, ila kwa kuwa sijawahi waza, wala kupata mtu ambaye amewahi kufanya hiki kilimo. Naomba kupata details za: 1. Upatikanaji wa mbegu/ miche 2. Uhakika wa soko 3. Muda wa kuanza kuvuna...
  3. kilimomaarifa.tajiri

    JamiiForums Tanzania Unahitaji mtaalam wa kilimo wa kukuongoza namna bora ya kuzalisha mazao yako na kuyafanyia certification?

    Salaam ndugu zangu -Je unahitaji mtaalamu mshauri wa kukuongoza namna bora ya kulima mazao mbali mbali (Mazao ya Horticulture (Parachichi, Nyanya, Hoho, Tikiti Maji, Kabichi, Karoti, Pilipili kali, Vitunguu maji, Viazi mviringo, , Cereals (Nafaka-Mahindi, Mpunga n.k), na Beverage (Hasa Kahawa)...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Natafuta partner kwenye kilimo

    As Salaam alaykum Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga. Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika. Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi. * Tanga * Mtaji hata mdogo * Mwaminifu * Anajua...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Natafuta partner kwenye kilimo

    As Salaam alaykum Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga. Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika. Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi. * Tanga * Mtaji hata mdogo * Mwaminifu (Muislamu...
  6. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Je, wakulima wamejipanga vipi kunufaika na kilimo cha umwagiliaji baada ya bwawa la Nyerere kukamilika?

    Katika siku za usoni, chakula kitakuja kuwa ndio nyenzo muhimu ya nguvu la taifa husika, taifa lenye chakula cha kutosha na cha uhakika ndilo litakuwa na sauti nguvu ya maamuzi. Kwamba atakaeleta ubishi basi ananyimwa chakula, na hapo hapo anarudi kwenye mstari. Sasa basi, kwakuwa changamoto...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Teknolojia ya Vijidudu Vidogo Vidogo (Effective Microorganisms) Kwenye Kilimo, Ufugaji na Samaki

    Utangulizi EM.1®️ ni teknolojia iliyogunduliwa nchini Japan miaka ya 80. Imesajiliwa Tanzania na Kampuni ya Feedpro EMAx Limited mwaka 2018. EM ni kifupisho cha Effective microorganisms ambao ni mfumo wa vijidudu hai, salama kwa binadamu. Hii teknolojia inatumika kwenye nchi zaidi ya 110...
  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Azam TV na Chanel ten wanaonyesha bunge hotuba ya wizara ya kilimo huku TBC wakionyesha vikatuni vya aeiou

    Wakati tukijua kilimo ni UTI wa mgongo wa uchumi wa taifa letu, leo muda huu waziri wa kilimo anawasilisha hotuba ya wizara hiyo. Televisheni za Azam TV na Chanel Ten zinaonyesha live hotuba hiyo muhimu. Cha ajabu, Televisheni ya taifa TBC muda huu inaonyesha vikatuni vya alfabeti vya a. e. i...
  9. Influenza

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Suala la sukari kutolewa ufafanuzi na Waziri wa Kilimo kesho Bungeni

    Spika Job Ndugai amesema kesho Bungeni kutakuwa na uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Waziri wa Wizara hiyo atatolea ufafanuzi suala la kuadimika kwa sukari nchini Spika Ndugai amewaomba Wabunge kuwa na subira kwani kesho watapata nafasi ya kuchangia na kuzungumzia suala hilo wakati...
  10. M-pesa

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Bamia: Fahamu kuhusu mbegu bora, mazingira sahihi ya kulima, magonjwa na namna ya kuyakabili

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU KILIMO HIKI: Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo: 1) Mbegu bora zinapatikana wapi? 2) Zinachukua muda gani kukomaa? 3) Masoko yake yako wapi? 4) Bei ya kuuza inakwendaje? Asanteni. === --- --- === UFAFANUZI WA JUMLA WA...
  11. UTAFITI WA MADINI NA MAJI

    JamiiForums Tanzania Tunachimba visima vya maji na tunauza Mashamba ya Miti ya mbaio

    Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

    Halo JF Celebrities. Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk? Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro. O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye...
  13. OLS

    JamiiForums Tanzania Sera za kilimo ziangalie namna ya kuongeza idadi ya ‘farmers’ na sio ‘peasants’

    Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for...
  14. Midimay

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuanza Kilimo Cha Soya

    Habari za leo Wana wa jukwaa la KUU. Wakuu nimewahi kukaa katika customs mojawapo ya nchi hii inayotuunganisha na nchi jirani kwa upande wa kusini. Sio muda mrefu uliopita. Kusema ukweli wazee, ni tani kwa tani za soya za lishe zinapita pale in transit kwenda Rwanda, Uganda na Kenya. Na chache...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kilimo cha matunda, miti na viungo pamoja na uuzaji wa miche yake

    Habari wanajamvi, Kwa kipindi hiki ambacho dunia yote imetoa macho katika janga hili lililosibu dunia, bas karibu kufahamu kuhusu kulimo ili uweze kuchagua na kuwekeza katika kilicho sahihi. Kabla hatutajatangaza bidhaa tutoe nafasi ya kuuliza maswali kuhusiana na kilimo cha matunda, miti na...
  16. Bajeti ya kunguru

    JamiiForums Tanzania Mchango juu ya kilimo cha mahindi kwa uzoefu wangu

    Wakuu heri na amani na iwe kwenu ni matumaini yangu kuwa hamjambo kama mimi. Kabla sijaenda kwenye mada nikiri wazi kabisa kipaji cha kuandika sina ila ninauwezo wa juu wa kusikiliza na kuongea tena bila kipaza sauti,kwa kipaza sauti huwa nashindwa kuongea kwa kiwango nilicho nacho. Baada ya...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) "mgonjwa anayepumulia kwenye mashine"

    Mimi kama mdau mkubwa wa Sekta ya kilimo kwa nyakati tofauti tofauti nimetembelea hii benki toka izinduliwe mwaka 2015 na kujaribu kupata mkopo kwa ajili ya shughuli zangu za kilimo na wakati mwingine kujaribu kusaidia wadau wenzangu kupata mikopo lakini katika hali ya kusikitisha saana haya ni...
  18. MLIPAKODI

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Parachichi - Fahamu Aina, Namna ya Kulima na Masoko

    Wadau, Nahitaji kulima maparachichi. Kwa mwenye ufahamu zaidi naomba kujua changamoto na nini nifanyeje ili nieweze kufanikiwa. MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU ZAO HILI MICHANGO/ UZOEFU WA WADAU KUHUSU ZAO HILI
  19. S

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Mtwara chunguzeni chuo cha kilimo Mtwara(MATI) kulipisha wanafunzi tsh 10,000 ili wapate control number

    Kuna taarifa kuwa chuo kinawatoza wanafunzi 10,000 Tsh kuwatengenezera control number wakati wnataka kwenda benkikulipa ada. Kibaya ni kuwa hawatoi hata risiti kwa malipo ya kupata control number. Tafadhali lifanyie kazi kama sheria ya kodi inasema hivyo kuwa kupata control number unalipia
  20. OLS

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje tunatumia 'Kilimo' ili kuwatishia watoto wasome na tukishindwa kuwaajiri tunawaambia wakajiajiri kwenye Kilimo?

    Kumekuwa na tabia ya wazazi, viongozi na walimu kutishia watoto kuwa wasiposoma watakuwa wakulima maisha yao yote. Hii ikiwajengea dhana kwamba kilimo ni kazi ya mtu aliyekataa shule. Ni viongozi hao hao ambao huwaambia vijana wenye shahada zao kuwa wakajiajiri kwenye kilimo baada ya kushindwa...
Back
Top Bottom