ECPENDABLE
Member
- Feb 5, 2017
- 40
- 7
Wataaalam na wanazengoo kilimo kipi kinalipa mtajii milon 7.5 isiwe tuu perishable fruit na maanisha vyakula vya kuoza hapana sitaweza kulima nataka mazao yenye life span kubwa nakaribisha ushauri.
Nunua mazao weka store uza bei ikipanda.Wataaalam na wanazengoo kilimo kipi kinalipa mtajii milon 7.5 isiwe tuu perishable fruit na maanisha vyakula vya kuoza hapana sitaweza kulima nataka mazao yenye life span kubwa nakaribisha ushaurii.
Nchi hii ina safari ndefu sana. Wengi wana mindsets za kimasikini za kudhani mafanikio yako kwenye zile sekta ambazo unafanya kazi umechomekea. Ndiyo ni mitazamo ya kimasikini na ndiyo sababu wazungu hutoka kwao ulaya. Wanakifika wanatafuta maeneo ya porini huko na kuanza kuzalisha bidhaa ambazo sisi tunaziona za kimasikini na kisha kufanikiwa ndani ya miaka michache tu.Kwa bongo hapa:
KILIMO=UMASKINI
Mwanazengo ameiliza pesa yake alime nn ,mshaulini cha kulima sio kumtoa nje ya mada,Wataaalam na wanazengoo kilimo kipi kinalipa mtajii milon 7.5 isiwe tuu perishable fruit na maanisha vyakula vya kuoza hapana sitaweza kulima nataka mazao yenye life span kubwa nakaribisha ushauri.
Nchi hii ina safari ndefu sana. Wengi wana mindsets za kimasikini za kudhani mafanikio yako kwenye zile sekta ambazo unafanya kazi umechomekea. Ndiyo ni mitazamo ya kimasikini na ndiyo sababu wazungu hutoka kwao ulaya. Wanakifika wanatafuta maeneo ya porini huko na kuanza kuzalisha bidhaa ambazo sisi tunaziona za kimasikini na kisha kufanikiwa ndani ya miaka michache tu.
Nakumbuka mzungu aliyekuja kuanzisha kilimo cha parachichi za kisasa Rungwe miaka ya 2007. Tulimwona taahira lakini leo hii hiyo ndiyo habari ya mjini. Sasa hivi ndiyo waliomcheka ndiyo wanapanda penuni mwao na kwwnda kukiuzia kiwanda chake kama outgrowers! Sasa hapo umasikini uko wapi? Shambani au kichwani?
Umeeleweka Ila ili upate ushauri sahihi, kuna maswali ya kujibu.Wataaalam na wanazengoo kilimo kipi kinalipa mtajii milon 7.5 isiwe tuu perishable fruit na maanisha vyakula vya kuoza hapana sitaweza kulima nataka mazao yenye life span kubwa nakaribisha ushauri.
nimekupata vyema saana mkuuuIko hivi ndugu. Tatizo kubwa zaidi la shughuli za uzalishaji si mtaji bali mipango (kuanzia malengo mpaka mikakati). Kama kweli uko serious na suala la kuwekeza kwenye kilimo basi tengeneza malengo yako kisha uyawekee mipango na mikakati sahihi. Usianzie kwenye mtaji ulionao bali anzia kwenye lengo ulilonalo.
Mfano. Lengo ni kuwa muuzaji mkubwa wa mchele. Angalia wapi uanzie. Je, utaanzia shambani? Au utaanza kununua mpunga, ku-uprocess na kisha ku-upackage?
Angalizo: Epuka kupoteza muda wako kusikiliza watu wenye mitazamo hasi. Wale watu ambao kwao kila kitu hakiwezekani. Mfano, kuna comment hapo juu imeandikwa "kilimo = umasikini". Hakuna sekta "masikini" Tanzania. Ni vile unavyojiweka. Mawazo mgando siku zote yapeleke kapuni bali yakumbatie yale yanayokuhamasisha.
Pia tumia vema mitandao ya kijamii hususan twitter. Kule kawafuate wale waliofanikiwa kwenye kilimo. Wale negative headed kama kawa wapotezee.
Liweke hapaNjoo nikupe deal la sisal... hakunaga stress huko
Mleta maada hii post muhimu sana kwako.Umeeleweka Ila ili upate ushauri sahihi, kuna maswali ya kujibu.
1. Unataka ulime wapi? Hii itasaidia kuamua ulime nini.
2. Shamba unalo tayari au hiyo hela utaanza kukodi shamba au kununua?
3. Tayari eneo la kulima ni shamba safi au nilakusafisha na kung'oa visiki?
4. Unategemea kulima kwa kutegemea mvua au umwagiliaji?
5. Una oulet ya kuuza mazao au unategemea kuuza kupitia madalali.
6. Unaweza kusimamia mwenyewe au unategemea kumlipa mtu mwingine akakusimamie? Hii ni muhimu ili upange uta control vipi hicho kilimo.
Ukisha jibu maswali hayo ni rahisi kupata ushauri sahihi haswa kwenye kuhesabu matumizi na mapato ili uweze kukadiria faida utakayoipata.
Kitakacho fuata ni kuchagua mbegu sahihi kutegemea eneo unalo lenga kulima na haina ya kilimo.
Tunajiunga vipi na hilo kundi lenuTHE HORTICULTURISTS
Jiunge kwenye kundi letu la whatsap tujadili mada mbali mbali kuhusu kilimo.
Kutana na wataalamu upatiwe majibu ya maswali yako kuhusu kilimo.