kilimo

  1. Influenza

    Naibu Waziri Kilimo, Bashe: Kama sio Mkulima asiongoze chama cha Ushirika

    Naibu Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe amepiga marufuku watu wasiokuwa wakulima kuongoza vyama vya ushirika kwa maelezo kuwa hawana msaada wowote zaidi ya kugeuka madalali. Bashe ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Oktoba 31, 2019 mjini Dodoma katika mkutano wa kitaifa wa wakulima...
  2. Fursakibao

    Changamoto nilizokutana nazo kwenye kilimo na jinsi nilivyozikabili

    Habari za mida wadau wenzangu wa kilimo. Niende moja kwa moja ni share safari yangu kwenye hii fani ya kilimo ili wale wanaotegemea kujiunga wapate ka uzeofu kadogo japo wapate pa kuanzia. Nimekuwa nikifanya shuguli za kilimo toka mwaka 2014 toka hapo nimekuwa nikipata na kukosa pia. Nilianza...
  3. M

    Msaada: Nitumie mbolea gani?

    Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga?
  4. Ngwanakilala

    Tuna vyuo vya Kilimo lakini hatuna wakulima wakubwa, Tuna SIDO lakini hatuna viwanda vidogo

    Wakuu Hili suala nimekua nalifikiria mara kwa mara Tuna chuo Kikuu cha kilimo SUA lakini kwanini hakuna wanafunzi au walimu wanaotoka pale na kua wakulima wakubwa na bora. Wote wakimaliza pale wanaamini kwamba wanatakiwa waajiriwe maofisini. Ina maana hawa walienda chuo cha kilimo ili...
  5. M

    Kilimo ni kujipanga

    Katika jambo lolote unalotaka kulifanya, ni muhimu kuweka katika mpangilio unaoeleweka. Yaani ujue mwanzo na mwisho ili unapotoka hatua moja ujue unaenda mbele au nyuma. Hivyo hivyo kwenye kilimo, ni vyema kijipanga. Unaweza kuwa na eneo kubwa kwa ajili ya kilimo alafu mwisho wa siku ukashindwa...
  6. kabila01

    Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

    Naanza kwa kutoa experience yangu. Niliingia kwenye kilimo baada ya kushawishika na vipindi vya Clouds Media kuhusiana na fursa. Presenters walishawishi sana kuwa vijana hatujitumi na hatutumii brain zetu vizuri. Nikajitosa kwenye kilimo cha tikiti Migoli Iringa na milioni zangu 2. Nikaingia...
  7. Jaffari Yusuph

    Nina heka 1,000 za shamba lenye mto usiokauka maji

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza TSH 1,000,000 Kwa Heka 1...
  8. aztec

    Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

    Wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje.
  9. Afya hazina

    Kilimo cha matango

    Habari ndugu zangu. Jamani nimebahatika kulima matango nauliza bei yake sokoni kwa sasa ipoje?
  10. Coster1

    Kilimo Smart survey 2019

    Habari wana Jamvi. Naitwa Costantine Edward ni Co-founder na C.E.O wa kilimo smart app, kwanza napenda kutoa kheri ya mwaka mpya 2019 kwenu nyote. Lengo: kilimo smart ni application ambayo inapatikana playstore yenye lengo la kumsaidia mkulima kujikwamua kiuchumi na kuona tija ya kilimo kwa...
  11. Mlachake

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Hey JF Members. Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. Naona soko la kuku ni kubwa sana. Hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda vya chipss. Yeyote mwenye idea naomba msaada please! BAADHI YA MASWALI NA MAHITAJI YA WADAU...
  12. blogspot

    Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

    Habari wakuu. Poleni na mihangaiko. Wakuu tupo vijana wawili sisi ni wanafunzi kutoka vyuo tofauti UDSM na SUA tumekaa pamoja na kuamua rasmi kuingia katika kilimo wote tulikua JKT mwaka fulani kambi moja. Hivyo tuliweza kupitia vitengo mbalimbali Mfano Kitengo bustani ambapo...
  13. REDEEMER.

    Kilimo cha mboga mboga Tanzania/ horticulture: Jinsi ya kuandaa shamba, palizi na kuvuna

    Ama kwa hakika hayawi hayawi sasa yamekua, asiye na mwana aelekee jiwe ndio funzo la wahenga kwa yeyote atae shupaza shingo lake basi mvunjiko ndio halali yake. Ni Tanzania ndio ni Tanzania tena kama sio Tanganyika mbabe na muasisi wa uchumi dynamic na usio na ulemavu katika sector moja...
  14. dan yah

    Kama una pesa na muda wekeza kwenye kilimo faida utaipata!!

    Habari wana ndugu kwa sasa nawashauri kama una fedha na muda wekeza kwenye kilimo cha Kahawa Mbinga Moshi au Morogoro kilo 9000 mpaka sasa ninavozungumza. Cha pili mahindi gunia sasa ni 100,00 Mbeya iyo na nyanda za juu kusini ndio wakulima wakubwa Arusha na mikoa mingine ya kaskazini unazan...
Back
Top Bottom