Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Ningependa kujua sera ya kilimo ya serikali hii ya Magufuli kama ipo?
Leo sijui mtalionaje hili wazo..au kama lishawahi kufanywa before?!
..ila ningependekeza serikali kuwa na Supermarkets zake
😂😂😂
Watu wanunue na kuuza huko.
Iwe cheap compared na supermarket private.
Itawavuta wazalendo!
Kiasi fulani cha product yoyote inayouzwa na hizi supermarket, kiende kwenye Research
Kuwe na special Research commitee.
Kwa ajili ya ku identify masoko BOTH ndani ya nchi na nje.
Vipi???Nimezingua?
Ningependa kujua sera ya kilimo ya serikali hii ya Magufuli kama ipo?
Leo sijui mtalionaje hili wazo..au kama lishawahi kufanywa before?!
..ila ningependekeza serikali kuwa na Supermarkets zake
😂😂😂
Watu wanunue na kuuza huko.
Iwe cheap compared na supermarket private.
Itawavuta wazalendo!
Kiasi fulani cha product yoyote inayouzwa na hizi supermarket, kiende kwenye Research
Kuwe na special Research commitee.
Kwa ajili ya ku identify masoko BOTH ndani ya nchi na nje.
Vipi???Nimezingua?