Watanzania wanapenda kitu kinacholipa.
Weka mazingira mazuri ya kilmo halafu uone kama watu hawatalima mpaka ukakimbia.
Mfano halisi ni ni mbaazi,korosho na mihogo.
Baada ya kuchanganya watu walililma sana.
Ila sasa tatizo kubwa ni kwamba CCM haipendi watu watoke kwenye umasikini.
CCM inapenda kumwona kila mtaznia ni fukara wa kutupa ndio maana inapambana kuhakikisha hilolinatokea. Ni kama mashetani vile.
Kuna mazao ambayo tayari yalikuwa yashaonesha mwelekeo wa kumkomboa mkulima ila CCM wametumia nguvu kubwa kuyaua mpaka wakulima wamekata tamaa na hawana matumaini tena.
1. Kahawa ( Wachagga wao wameacha kabisa kulima, Kagera wao wanaolima wanapangiwa bei. Wakitorosha kupeleka Uganda kwenye beui nzuri wanakamatwa ). Kahawa ni hot cake ila wakulima ni hohe hae wa kutupa.
2. Koroshao. ( Hili zao lilikuwa limeanza kuleata matumaini ya kumtoa mkulima kwenye umasikini ila CCM wamepeleka jeshi limepora wakulima korosho zao na hwana matumaini mpaka sasa zaidi yamistori ya siasa tu )
3. Mbaazi ( Hili ni multbillion zao, na wakulima walikuwa wanapata pesa kibao. Kaja Kibwengo ana bifff zake a Kina Manji ambao walikuwa wanunuzi zao limekufa. Yaani utafikiri hili zao halijawahikuwepo hapa nchini )
4. Tumbaku ( Yale yale )
5. Pamba ni yale yale.
Haya kwenye mazo ya chakula na kwenyewe ukilima sehemu ya kuuza utategemea Janasiasa limeamkaje siku hiyo.
Kilimo Tanzania hakina sehemu ya kupumzika.
Very risk kuanzia unapanda, mvua mavuno mpaka soko.
Asante mkuu, Mimi nadhani kuiachia serikali iingilie kilimo na kupanga bei za mazao ndio MISTAKE number MOJA, mimi sio mchumi but i guess tuna evidence za kutosha kuwa serikali ikiachiwa kila kitu inafanya blunders,
kwa mfano hili swala la Korosho hakuna aliyefaidika sio serikali wala wakulima,
nadhani kila mtu alime anavyoweza apange bei anayotaka..
. Market ndio ifanye ku determine bei ya zao,
na sio mtu kakaa zake ofisini anakuja kupanga bei.....
mpaka mimi nahisi ni kweli ma CCM ni mashetani,
huwezi uka ignore hussles za mtanzania mwenzako hivi...
.Asante naona umeainisha MAZAO makubwa MATATU ambayo yanaweza kutupa faida kwa ujumla wetu watu wa tanzania,
nayo ni Kahawa, Korosho na Mbaazi,
very good,
kama nilimpata vyema mkuu
mrangi tutafute serikali kuhamasisha kulima mazao machache,
ila kuwavuta wakulima wengi kulima hayo mazao machache......
kila mtu mwenye uwezo wa kulima Korosho, au Mbaazi au Kahawa afanye hivyo...
uzuri wake ukisha IDENTIFY nini kinahitajika kwako na una uwezo ku PROVIDE...then maswala mengine yanakua SMOOTH...
SIO KWELI hayo mazao matatu uliyotaja DEMAND yake imewahi kuwa ndogo duniani...
Ni sisi tu hatujaweka mipango endelevu ya kuuza hayo mazao duniani...
Na hatuna mipango endelevu kwa sababu as you put it maCCM yanafaidika na umasikini wa watanzania...
Its high time tuwe na tume huru ya uchaguzi....
.