muksinihamisi
Member
- May 1, 2020
- 14
- 6
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22, Elimu yangu ni ya secondary nimemaliza mwaka 2017.Nashukulu mungu nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kupata chaguzi.Kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiriamali kwa bahati mzur nikapata ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani kama vile sabuni za miche aina zote ikiwemo medicated soap aina tofauti tofauti,sabuni za maji aina zote kma vile sabuni za kudekia(tiles cleaner)handwash,jik,shampoo nk.
Pia,utengenezaji wa mafuta ya mgando,lotion nk.Nimeshindwa kukuza hii idea kutokana na capital.Hivyo naomba mtu ambaye tutaweza kushare idea na kuikuza wenda tuka fanya kitu
Pia,utengenezaji wa mafuta ya mgando,lotion nk.Nimeshindwa kukuza hii idea kutokana na capital.Hivyo naomba mtu ambaye tutaweza kushare idea na kuikuza wenda tuka fanya kitu