Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Ushawahi kujiuliza kwanini ukigoogle kitu inakuwaje kuna tovuti zinatokea juu na nyingine chini. Yani mfano unaweza kugoogle coronavirus, ikakwambia kuna majibu billion tatu sasa inakuaje kuna tovuti zinatokea page ya kwanza na nyingine page za huko mbele?
Ni wazi kuwa watu wengi husoma majibu yanayotokea ukurasa wa kwanza; ni mara chache ukaenda kusoma kilichopo page ya pili ya google results. (ranking)
Sasa inakuwaje page inatokea kwenye ukurasa wa kwanza wa majibu ya Google mtu akifanya searching ya topic flani? Hapo ndipo SEO technics zinahusika.
Siko hapa kuelezea uandishi wa SEO wala kumfundisha mtu, ila kwa kifupi ile page itokee ukurasa wa kwanza inahusisha vitu vingi ikiwemo:
- Keywords
- Written to be read by humans
- Internal linking
- External linking
- Content iwe inajibu maswali ya mtafutaji
- Optimizing your keywords
Na mengine mengi.
Hii imekuwa kitu kikubwa na kila mzalishaji wa content anatamani sana zisomwe maana ndiyo biashara yenyewe, na angependa tovuti yake iwe inatokea page ya kwanza. Hivyo imepelekea kuwa ni ajira inayolipa sana katika ulimwengu wa freelancing ambapo mtu anaweza lipwa kuanzia dollar 70 - 800 kwa kuandika content inayorange kuanzia maneno 500 mpaka 3000.
Halafu ni kwamba demand yake ni kubwa sana yani katika ulimwengu wa content writting SEO experts wanahitajika sana kwasababu iwe ni kwa muuzaji wa Ebay, Amazon, iwe ni blog, au website kote inahusika.
Kama kuna freelancers ambao wamejikita kwenye content writing jaribuni sana kujifunza hiki kitu, pia wale bloggers nao wakitaka tengeneza mkwanja zaidi hii inawahusu sana.
Ni wazi kuwa watu wengi husoma majibu yanayotokea ukurasa wa kwanza; ni mara chache ukaenda kusoma kilichopo page ya pili ya google results. (ranking)
Sasa inakuwaje page inatokea kwenye ukurasa wa kwanza wa majibu ya Google mtu akifanya searching ya topic flani? Hapo ndipo SEO technics zinahusika.
Siko hapa kuelezea uandishi wa SEO wala kumfundisha mtu, ila kwa kifupi ile page itokee ukurasa wa kwanza inahusisha vitu vingi ikiwemo:
- Keywords
- Written to be read by humans
- Internal linking
- External linking
- Content iwe inajibu maswali ya mtafutaji
- Optimizing your keywords
Na mengine mengi.
Hii imekuwa kitu kikubwa na kila mzalishaji wa content anatamani sana zisomwe maana ndiyo biashara yenyewe, na angependa tovuti yake iwe inatokea page ya kwanza. Hivyo imepelekea kuwa ni ajira inayolipa sana katika ulimwengu wa freelancing ambapo mtu anaweza lipwa kuanzia dollar 70 - 800 kwa kuandika content inayorange kuanzia maneno 500 mpaka 3000.
Halafu ni kwamba demand yake ni kubwa sana yani katika ulimwengu wa content writting SEO experts wanahitajika sana kwasababu iwe ni kwa muuzaji wa Ebay, Amazon, iwe ni blog, au website kote inahusika.
Kama kuna freelancers ambao wamejikita kwenye content writing jaribuni sana kujifunza hiki kitu, pia wale bloggers nao wakitaka tengeneza mkwanja zaidi hii inawahusu sana.