Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amevionya Vyama vya Upinzani kuwa havitapata nafasi, huku akihoji mantiki ya kuipinga Serikali. Aidha, amevisihi Vyombo vya Habari na Watetezi wa Haki za Binadamu kushirikiana na Serikali, vinginevyo watakuwa wanatumikia watu wengine.
Chanzo: swahilitimes
Na kilichoniuma zaidi Mzukulu ni kuona Makamu wa Rais Mama Samia na Rais Mstaafu Kikwete wamepoteza muda wao kwenda huko kwa Mpuuzi.
Chanzo: swahilitimes
Na kilichoniuma zaidi Mzukulu ni kuona Makamu wa Rais Mama Samia na Rais Mstaafu Kikwete wamepoteza muda wao kwenda huko kwa Mpuuzi.