eneo

  1. Analogia Malenga

    Nzige wakiwa ndani ya eneo la Kilometa ya mraba 1, wanakula chakula cha kuwatosha watu 35,000 kwa siku

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Bwana Mark Lowcock amesema “wimbi moja la nzige waliozingira ukubwa wa kilometa moja , ambalo linajumuisha nzige milioni 40-milioni 80, wanaweza kula kwa siku moja chakula ambacho kinatosheleza kulisha watu 35000”...
  2. Miss Zomboko

    Nzige kuendelea kuzaliana zaidi, Afrika ndilo eneo litakaloathirika kwa sana Duniani

    Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limesema pembe ya Afrika ni eneo lililoathiriwa zaidi na uvamizi wa nzige wa jangwani kati ya maeneo matatu duniani yanayokabiliwa na janga hilo, mengine mawili yakiwa ni Uganda na Sudan Kusini. Taarifa iliyotolewa jana na FAO inasema janga...
  3. Masokotz

    Je wewe ni mjasiriamali ama ni Muwekezaji-Jua eneo lako na uwezo wako

    Katika ulimwengu kila mtu analo jukumu na nafasi yake.Kutambua nafasi yako kunaweza kukuwezesha kufikia mafanikio kwa muda sahihi na kufurahia maisha.Katika biashara na maendeleo huwa kuna aina mbalimbali za watu ambao hushiriki katika kupeleka gurudumu la maendeleo mbele. Kuna kundi la...
  4. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Nahitaji kujua taratibu za kisheria kuna mzungu Kingozi wangu kanipiga picha eneo langu la kazi na ametuma WhatsApp
  5. Analogia Malenga

    Waandamanaji waondoka eneo la ubalozi wa Marekani, Baghdad

    Waungaji mkono wa makundi ya kijeshi nchini Iraq yanayoungwa mkono na Iran ambao walivamia maeneo ya viunga vya ubalozi wa Marekani na kurusha mawe katika maandamano ya siku mbili wameondoka jana(01.01.2020). Hatua hiyo imewezekana baada ya Marekani kupeleka vikosi vya ziada na...
  6. S

    Uwanja wa mpira ulioahidiwa kujengwa na Mfalme wa Morocco utajengwa kweli? Na kama utajengwa, utajengwa eneo la Nzuguni kama tulivyoambiwa?

    Tangu ahadi hii itolewa,nadhani sasa ni miezi tisa inakatika huku hakuna kinachoendelea kuhusu ujenzi wenyewe na kwa wale wanaotumia barabara ya Dar-es-Salaam kwenda Dodoma, watakuwa ni mashahidi wazuri kwani lile eneo lilliotengwa kwa ajli ya ujenzi wa uwanja huo liko tu na hamna...
  7. GENTAMYCINE

    Kasisi (Padre) wangu wa leo sijui 'kavurugwa' na nini hadi akaamua kujikita zaidi 'kimahubiri' na hili eneo pekee

    Alisema, 1. Ukiona mtu anapenda kusalisali sana jua ana sifa zote za Unafiki na Uchawi uliotukuka. 2. Ukiona mtu anapenda kulitajataja jina la Mungu mara kwa mara jua ni Mnafiki na Mchawi 3. Ukiona mtu anapenda kujionyesha kuwa anasali sana jua ni Mnafiki na Mchawi 4. Ukiona mtu anajifanya...
  8. BASIASI

    Plot inauzwa Moshi Soweto SQ 10" 000 eneo zuri

    KIWANJA KINAUZWA KINANYUMBA NDOGO PEMBENI VYUMBA VIWILI MAHALI SOWETO MOSHI UKUBWA SQM10" 000 KINA DOCS ZOTE HALALI ZA WIZARA BEI MILIONI 65 CONT 0713458722/ 0688552275
  9. Suley2019

    Mkuranga: Mwenyekiti wa Halmashauri aapa kuanza kulifuatilia zao la korosho la eneo hilo jino kwa jino

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga, Juma Abeid, anasema kuna jumla ya wakazi zaidi ya laki mbili kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2012, ina kata 25, vijiji 125 na vitongoji 475, zao lao kuu la biashara ni korosho. Pia, anataja mazao mengine wilayani ni pamoja na nanasi, mihogo, korosho...
  10. APA CHICAGO

    Leo nataka nielezee eneo moja la awamu ya tano lililofanikiwa

    Awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais wetu Mhe.Dr John Pombe Magufuli kuna mambo mengi imefanikiwa lkn Leo ningependa kuangazia eneo moja nalo ni; Kupunguza matukio ya ujambazi katika nchi yetu. Kwa sasa ni nadra sana kusikia basi au gari fulani limetekwa na abilia kuporwa kila kitu...
  11. F

    Plot4Sale Eneo ekari 3.77 linauzwa ndani ya jiji la Dodoma, liko barabarani

    Eneo liko Msalato almaarufu kwa mwinyi (Arusha Road) kunakojengwa Dodoma International Airport. Eneo liko barabarani linapakana na hotel ya kitalii ya FANTANCY.....lina ukubwa wa ekari 3.77, Eneo limepimwa na limeingizwa kama lilivyo kwenye master plan ya jiji la Dodoma kama ilivyo onekana...
Back
Top Bottom