BVR 2015
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 228
- 412
Mamlaka ya jiji la Dar es Salaam wameshindwa kwa makusudi kulilinda eneo la Fukwe za Bahari, baada ya maeneo yake kugeuzwa kuwa madampo. Ufukwe wa kuanzia zinapopaki boti za zanzibar hadi kwenye kivuko cha kwenda kigamboni eneo lote limejaa malundo ya taka .
Ushauri wangu kwa jiji, wajitaidi kulisafisha ilo eneo,kwani ni eneo ambalo ni kama kioo, kwani wageni wote wanaokuja katika huu mji. Kila mgeni anae wasili katika huu mji lazima aende maeneo ya feri na posta ya zamani bahari.
Ushauri wangu kwa jiji, wajitaidi kulisafisha ilo eneo,kwani ni eneo ambalo ni kama kioo, kwani wageni wote wanaokuja katika huu mji. Kila mgeni anae wasili katika huu mji lazima aende maeneo ya feri na posta ya zamani bahari.