britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Hata angekuwa anagombea Yesu, Mtume Mohammed au Ibrahim, bado watu wangejitokeza kuwapinga kwa Hoja mbadala,
Hivi Leo hii sababu gani yaweza kumfanya mtanzania anayetaka uongozi apite bila kupingwa nje ya Uzwazwa wa wanaoongozwa sehemu husika?
Hakuna mtu sahihi au anayeweza kukubalika 100% kwa watu wote, hivyo kupingwa lazima kuwepo,
Leo hii unashangaa majimbo kadhaa wamepita bila kupingwa,
Hii ni Ama njama za NEC kuwaengua washindani kwa figisu figisu, na kuibeba CCM!
Sifa gani za mgombea anayeweza kupita bila Kupingwa?
Au Jimbo linapaswa kuwa na maendeleo gani ili kiongozi wake aendelee kupita bila Kupingwa?
Kwa kifupi hakuna!!!
Pia, tunaendelea kuwatishia watu kwamba CCM ikitoka madarakani amani itatoweka, hizi ni habari zilizozoeleka na Kupitwa na wakati
Hivi Leo hii sababu gani yaweza kumfanya mtanzania anayetaka uongozi apite bila kupingwa nje ya Uzwazwa wa wanaoongozwa sehemu husika?
Hakuna mtu sahihi au anayeweza kukubalika 100% kwa watu wote, hivyo kupingwa lazima kuwepo,
Leo hii unashangaa majimbo kadhaa wamepita bila kupingwa,
Hii ni Ama njama za NEC kuwaengua washindani kwa figisu figisu, na kuibeba CCM!
Sifa gani za mgombea anayeweza kupita bila Kupingwa?
Au Jimbo linapaswa kuwa na maendeleo gani ili kiongozi wake aendelee kupita bila Kupingwa?
Kwa kifupi hakuna!!!
Pia, tunaendelea kuwatishia watu kwamba CCM ikitoka madarakani amani itatoweka, hizi ni habari zilizozoeleka na Kupitwa na wakati