FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Leo nimesikia habari ya mwanamke aliyeliwa na mamba huko Buchosa Sengerema na kuhuzunika sana.tunaiomba serikali itenge eneo ambalo watu watachota maji na kuogelea kisha waweke nguzo na seng'enge zitakazokuja mpaka nchi kavu na waweke geti ili mamba asiweze kutoka nje ya ziwa na kujichomeka eneo salama la kutekea maji.ni hilo tu.
Wagombea nadini hili tuwachague.
Wagombea nadini hili tuwachague.