Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,345
- 13,078
Wale wote mnaomiliki maduka maeneo katika eneo hilo hilo la nyumbani. Ndio inaeleweka kuWa mnafanya shughuli nyingine za nyumbani na kuuza duka pindi pale mteja anapojitokeza.
Kero ni pale mteja anakuja dukani kupata huduma unamsikia anaita hujibu chochote, mteja anaendelea kuita tu, halafu baada ya muda unajitokeza.
Ni bora ukaitikia na kumjulisha kuwa umemsikia halafu baada ya muda mfupi ujitokeze.
Kero ni pale mteja anakuja dukani kupata huduma unamsikia anaita hujibu chochote, mteja anaendelea kuita tu, halafu baada ya muda unajitokeza.
Ni bora ukaitikia na kumjulisha kuwa umemsikia halafu baada ya muda mfupi ujitokeze.