Maji hakuna eneo la nyumba zinazozunguka Machinjioni Mwanza

Gugugaga

Member
Sep 20, 2020
16
21
Kuna ndugu yangu anakaa Machinjioni Mwanza tulikuwa tunaongea nae kwa simu akasema huko kwao maji hutoka mara moja kwa wiki usiku wa manane siku usiyojua!! Nikasema hii kali maji hakuna bombani na ziwa viktoria limezunguka mji na maji hayana mwenyewe! Kweli umaskini ni akili si pesa!! Sasa watu wa Idodomya sijui wasemeje!!

Wahusika wa Idara ya Maji Mwanza si watolewe tu hakuna namna! au wadau mnawatetea?
 
Tushirikiane kuitoa serikali ya ccm maana haitatui matatizo!.. kwa mji wa mwanza ni aibu watu kulia maji inakera.
 
Watu wanaishi kwa mazoea tu, hiyo mitaa ilikuwa hivyo toka 2006 yaani Mhandu,Maswa,Machinjioni hayo mabomba ni mapambo tu ni mwendo wa visima na lile bomba la ku-pump (kama bado lipo)

Kule Igoma Primary tank la kuhifadhi maji umbali hata KM moja haifiki Ila upatikanaji wa maji ulikuwa hivyohivyo.

Wakati huo kwa Kahama,maji ya ziwa Victoria yakikatika kwa mwezi labda masaa mawili tena kwa kujulishwa mapema.
 
Kuna ndugu yangu anakaa Machinjioni Mwanza tulikuwa tunaongea nae kwa simu akasema huko kwao maji hutoka mara moja kwa wiki usiku wa manane siku usiyojua!! Nikasema hii kali maji hakuna bombani na ziwa viktoria limezunguka mji na maji hayana mwenyewe! Kweli umaskini ni akili si pesa!! Sasa watu wa Idodomya sijui wasemeje!!

Wahusika wa Idara ya Maji Mwanza si watolewe tu hakuna namna! au wadau mnawatetea?
Chagueni CCM
 
Back
Top Bottom