Habari ya mchana wadau wa JF.
Kuna kitu nilikuwa najiuliza sana, nikaona niwashirikishe na nyie.
Je, serikali ya awamu ya 6 chini ya Mh. Magufuli itaendelea kutoa elimu bure kwa ngazi ya elimu ya msingi na upili kama ilivyokuwa kipindi anaingia madarakani 2015?
Je, wanafunzi wataanza...
MSHIKE SANA ELIMU USIMUACHE; ELIMU IPI ILIKUWA INAZUNGUMZIWA?
Na, Robert Heriel
Miaka ya 2000 katika nchi yetu kulikuwa na muako mkubwa sana wa elimu. Serikali, taasisi na mashirika mbalimbali yalianzisha programu za kuhamasisha jamii ipeleke watu shule. Ni kutokana na umuhimu wa elimu ndio...
Dr. Ayub Rioba, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC
Katika kipindi cha Nyimbo Zetu kilichorushwa asubuhi ya tarehe 15 Novemba 2020, kupitia luninga ya TBC, mtangazaji wa TBC, Festus Makerubi, amerudia mara nne maneno ambayo meseji yake ya msingi inawakilishwa na maneno...
Elimu nchini Tanzania hutolewa na sekta zote mbili, yaani, sekta za serikali na binafsi. Muundo wake kiujumla ni kama ifuatavyo:[
👉Miaka 2 au 1 elimu ya vidudu/cheke-chea hutolewa kwa wanafunzi wenye umri kati ya miaka 5–6 (miaka 2), lakini hii watoto sehemu kubwa wanaanza wakiwa na umri wa...
Afisa Elimu Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro amelipa posho Tsh. 120,000 kuanzia tar 8/12/2020 na kuendelea hujaweka wazi kama ndio posho yote ya kusimamia mtihani au la, hujaweka wazi ni Tsh. ngapi watalipwa kwa siku wengine mwisho wa kusimamia ni Ijumaa kesho ikiwa tayari wamekaa siku 9...
Elon Musk aliwatoa watoto wake wote watano katika shule walizokuwa wanasoma, akaanzisha shule yake karibu na zilipo ofisi za kampuni yake ya Space X. Shule hii haifuati mitahala ya shule yoyote. Pale wanajifunza hesabu, Physics, mambo ya space wakiandaliwa kuwa ma engineer wa kampuni zake.
Pia...
Binadamu ana miili miwili, mwili wa nyama na mwili wa kiroho.
Sasa huu mwili wa kiroho pia una sauti, sauti yake uja automatic pale Unapoomba kwa utulivu (meditation).
Yani ni hivi ukitulia na kufumba macho kisha ukasem kwa uwezo wa Ben nataka uchawi na nguvu zote zilizopo za kijini na kichawi...
Sasa katika wakati kama huu utaona wanaojiita wasomi,watumishi,wakulima,na watu wengine ktk jamii wako ktk kampeni wanashangilia wagombea na hawawachiju ili kujua nani anaweza kuwa anaongea ukweli ,na kwa sababu ukweli haudanganyi na unabaki kuwa ukweli tu.Ndio maana ukisema mtu huyu ana Elimu...
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Mipango kuhusu utekelezaji wa Serikali ya Awamu ya Tano katika Sekta mbalimbali inaonesha kuwa kumekuwa na ongezeko la asilimia 32 ya idadi ya wanafunzi wanaojiunga na elimu ya msingi mwaka 2020 ukilinganisha na hali ilivyokuwa miaka mitano iliyopita, huku idadi ya...
Aliye kuwa afisa elimu Wilaya ya Magu na baadae kuhamishiwa Dodoma makao makuu ndg Jesse Kaanyuma amefariki jioni hii katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Ni taarifa zilizodhibitika kutoka kwa ndugu wa karibu kwenye familia kwa pamoja tunasema poleni walioguswa na msiba huu mzito
CHAMA CHA MAPINDUZI
MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
Imetolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Agosti, 2020
CHAMA CHA MAPINDUZI
MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI WA MWAKA 2020-2025
UTANGULIZI
1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU na ASP na...
Habari za wakati huu,
Katika suala la ujenzi wa uchumi na maendeleo moja kati ya vitu muhimu sana katika labour force ni skills.Mfumo wa elimu unalenga kuwapatia watu skills and knowledge.
Skills ni uwezo wa kufanya jambo kikamilifu na Knowledge ni uwezo wa kuelewa jambo kikamilifu. So...
Bado kuna wananchi hawajiamini kama watapiga kura ya Rais kwa maeneo walipo. Hii nikwasababu elimu hi bado haijatolewa vyema.
Juzi tulikuwa kwenye usaili wa usimamizi wa uchaguzi mkuu huu, likaulizwa Hilo swali, mkurugenzi akasema inaruhusiwa kabisa kwa mwananchi kupiga kura ya Rais popote...
NITATUMIA ELIMU YANGU KUKUZA UCHUMI NA KUFUTA UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE"PROF. LIPUMBA"
KYELA- MBEYA
Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha umasikini (mtu mzima kutumia shilingi 50,000/...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?
Nilipokuwa ninamsaidia mdogo wangu kuomba mkopo wa elimu ya juu...
Kifupi kabisa ni sera iliyolenga kila Mtanzania anapomaliza elimu awe na ujuzi mahususi utakaosaidia kujiajiri na kujenga Taifa.
Sera hiyo ilikusudia kila mwanafunzi amalize kidato cha nne na kisha ajiunge ama na chuo cha ufundi au ustadi kitakachokuwepo kila Kata ili apate mafunzo ya...
Mh. Lissu naamini kuna haja ya kupitia mfumo wa elimu yetu hapa Tanzania.
Nimetumia mfano wa lugha ya Kiingereza kama kipimo kwasababu tunawasikia watu wakijaribu wakikiongea. Inawezekana yako masomo mengine pia yanayotakiwa yakuzwe lakini kwa sasa hatujui.
Wapo watakaosema mbona Urusi na...
Hapa ni kitongoji Cha Mtakuja (Mwambiki) kilichopo kijiji cha Ihowanja, kata ya Kilosa Mpepo, Jimbo la Malinyi. Shule hii haijasajiliwa, kuna wanafunzi 482, ilijengwa na wazazi kupunguza adha ya elimu kwa watoto wao, walimu wa kujitolea kwa ujira kidogo unaotoka kwa wazazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.