Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
Hebu jamani hivi kuna tofauti kubwa sana kati ya wazee wetu walioishia darasa la nane na hawa graduates wa leo wa chuo kikuu?
Graduates hawajui Kiingereza wala Kiswahili fasaha.
Uandishi wao na matamshi yao ni kichefuchefu.
Ufanisi kazini ni sawa na sifuri, hivi ni vipi mfumo wetu wa elimu umekuwa ukiharibika kila uchao? Nani mchawi wetu? Je, na kwa hili tuwasinguzie Wakenya na mabeberu?
Graduates hawajui Kiingereza wala Kiswahili fasaha.
Uandishi wao na matamshi yao ni kichefuchefu.
Ufanisi kazini ni sawa na sifuri, hivi ni vipi mfumo wetu wa elimu umekuwa ukiharibika kila uchao? Nani mchawi wetu? Je, na kwa hili tuwasinguzie Wakenya na mabeberu?