luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Hii shule ni Moja kati ya shule bora katika kuaanda watoto level ya primary.
A full Graduate wa shule hii humlinganishi na katoto ka shule yeyote ile hapa Tanzania katika communication skills.
Nimefikiria na kujiuliza hivi kwanini serikali isijaribu walau kuiga mfumo wa shule walau katika shule chache ndani ya Tanzania katika kanda tofauti.
Maana walimu wa shule hizi wapo pia Watanzania wenzetu na tena wamesoma katika vyuo hivi hivi vyetu na hata hao volunteers watakuja kwa wingi watasaidia pia katika hizo shule chache zitakazo chaguliaa.
A full Graduate wa shule hii humlinganishi na katoto ka shule yeyote ile hapa Tanzania katika communication skills.
Nimefikiria na kujiuliza hivi kwanini serikali isijaribu walau kuiga mfumo wa shule walau katika shule chache ndani ya Tanzania katika kanda tofauti.
Maana walimu wa shule hizi wapo pia Watanzania wenzetu na tena wamesoma katika vyuo hivi hivi vyetu na hata hao volunteers watakuja kwa wingi watasaidia pia katika hizo shule chache zitakazo chaguliaa.