Kitu gani kimekukomboa katika maisha tangu umalize elimu?

Mimi mstaarabu

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
258
566
Tangu umemaliza chuo ni kitu gani umefanya kimekukomboa katika maisha?

Mimi ndo kwanza nmemaliza chuo. Hamna chochote nlichoanza kufanya but nafikiria kuanza biashara ya urembo. Kujua kupaka makeup na kuuza vifaa vya makeup.

Kwahiyo kwa muda huu nasubiri maoni yenu ili tupeane moyo.

Wewe unafanya kitu gani kujikomboa?
 
Tangu umemaliza chuo ninkitu gani umefanya kimekukomboa katika maisha?

Mimi ndo kwanza nmemaliza chuo. Hamna chochote nlichoanza kufanya but nafikiria kuanza biashara ya urembo. Kujua kupaka makeup na kuuza vifaa vya makeup.

Kwahiyo kwa muda huu nasubiri maoni yenu ili tupeane moyo.

Wewe unafanya kitu gani kujikomboa?
Binafsi naujutia Sana muda niliopoteza shuleni maana Elimu ya mashuleni na vyuoni ni ya kipuuzi sana, kazi za kujuana, mshahara hauleweki, kutumikishwa.n.k., Mimi naona bora ELIMU DUNIA tu, maana ndio iliyonitoa, vyeti nilivyopata chuo havina msaada kwangu nimeviweka Kama MAPAMBO tu.. Yaani nimekuja kugundua elimu ya Darasa la7 inatosha sana kwenye Maisha, huko kwingine ni Mbwembwe tu (huu ni mtazamo wangu mimi).
 
Binafsi naujutia Sana muda nilio poteza shuleni maana Elimu ya mashuleni na vyuoni ni ya kipuuzi sana,kazi za kujuana,mshahara hauleweki,kutumikishwa.n.k.,,Mimi naona bora ELIMU DUNIA tu,maana ndo iliyonitoa,,vyeti nilivyopata chuo havina msaada kwangu nimeviweka Kama MAPAMBO tu..Yaani nimekuja kugundua elimu ya Darasa la7 inatosha sana kwenye Maisha, huko kwingine ni Mbwembwe tu..(huu ni mtazamo wangu mimi).
Upo sawa kabisa

Japo angalau mtu afike kidato cha nne, na watu wenye nafasi ya kusoma wasome tu, kusoma kunaongeza maarifa, usisome ili uje kuajiriwa uwe tajiri, Soma uongeze maarifa, Soma ili iwe rahisi kwako kuja kutumia akili kuliko nguvu huku mitaani.
 
Upo sawa kabisa

Japo angalau mtu afike kidato Cha nne, Na watu wenye nafasi ya kusoma wasome tu, kusoma kunaongeza maarifa, usisome ili uje kuajiriwa uwe tajiri, Soma uongeze maarifa, Soma ili iwe rahisi kwako kuja kutumia akili kuliko nguvu huku mitaani.
Sawa mkuu, lakini ninavyo ona mimi Maarifa ni vizuri zaidi nikayapata mtaani, maana nimegundua ndiko kwenye elimu bora, kuliko Kule darasani, labda kwa baadhi ya fani kama UDAKTARI zinazohitaji vitu vya ziada. Lakini kwa Mambo mengine ni kupoteza muda tu.
 
Binafsi naujutia Sana muda niliopoteza shuleni maana Elimu ya mashuleni na vyuoni ni ya kipuuzi sana, kazi za kujuana, mshahara hauleweki, kutumikishwa.n.k., Mimi naona bora ELIMU DUNIA tu, maana ndio iliyonitoa, vyeti nilivyopata chuo havina msaada kwangu nimeviweka Kama MAPAMBO tu.. Yaani nimekuja kugundua elimu ya Darasa la7 inatosha sana kwenye Maisha, huko kwingine ni Mbwembwe tu (huu ni mtazamo wangu mimi).
Binafsi ninakuunga mkono.
 
Sawa mkuu, lakini ninavyo ona mimi Maarifa ni vizuri zaidi nikayapata mtaani, maana nimegundua ndiko kwenye elimu bora, kuliko Kule darasani, labda kwa baadhi ya fani kama UDAKTARI zinazohitaji vitu vya ziada. Lakini kwa Mambo mengine ni kupoteza muda tu.
Mimi mtu walau asome mpaka kidato cha sita lakini kwnda chuo ukasome mi arts huko nimegundua ni kupoteza muda
 
1. Kupata mshahara kila mwezi
2. Kuwa na fani niliyoisomea
3. Kujuana na wafanyakazi na wafanya biashara.
4. Kuelimika na kuishi na jamii vizuri
5. Kujitegemea mwenyewe
6. Kutatua migogoro ya kifamilia na kimahusiano kisomi
7. Kujiendeleza na elimu zaidi
8. Kununua vitu ambavyo ni msingi wa kimaisha pamoja na kukidhi mahitaji ya kila siku.
9. Kutoka out au kusafiri hasa likizo za mwaka
10. Kukopesheka kwenye taasisi za fedha

As, when we focus on what we have we get more. Ni vizuri kushukuru kwa kidogo unachokipata huku ukiendeleza mapambano ya kupata zaidi
 
Back
Top Bottom