Kuna suala ambalo linatakiwa lifanyike kwenye elimu ambapo lingemsaidia Mheshiwa Rais katika suala la kujenga nchi kwenye uchumi wa viwanda.
Tunapojenga uchumi wa viwanda mtaala wa elimu unatakiwa kuwaandaa watoto kuja kuingia kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hii itafanyika kama mtaala utatambua kuwa shule ni kituo cha kukuza ubunifu. Mtaala wetu hautambui hivyo tutamsaidiaje Mheshimiwa Rais.
Kosa ni kwamba ubunifu wanadhani unatakiwa kufanyika katika ngazi ya elimu ya juu. Eneo la mtaala na namna ya kutekelezaji wake lazima lilenge kukuza ubunifu na zipo model mbalimbali wenzetu wanatumia.
Ndiyo maana kwa wenzetu ubunifu unafanywa na vijana wa shule miaka 14-25, huwezi kuamini lakini ni kwa sababu ya mtaala unatambua shule ni Innovation Centre. SIJUI kwa nini watafiti hawalioni hili.
Tunapojenga uchumi wa viwanda mtaala wa elimu unatakiwa kuwaandaa watoto kuja kuingia kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hii itafanyika kama mtaala utatambua kuwa shule ni kituo cha kukuza ubunifu. Mtaala wetu hautambui hivyo tutamsaidiaje Mheshimiwa Rais.
Kosa ni kwamba ubunifu wanadhani unatakiwa kufanyika katika ngazi ya elimu ya juu. Eneo la mtaala na namna ya kutekelezaji wake lazima lilenge kukuza ubunifu na zipo model mbalimbali wenzetu wanatumia.
Ndiyo maana kwa wenzetu ubunifu unafanywa na vijana wa shule miaka 14-25, huwezi kuamini lakini ni kwa sababu ya mtaala unatambua shule ni Innovation Centre. SIJUI kwa nini watafiti hawalioni hili.