dunia

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Rekodi kali za dunia zilizowekwa na Waafrika. Shikamoo SWESWE

    Sweswe Mungu anakuona ujue
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai anasema hawezi kuwafukuza bungeni Wanawake kwa maana dunia itamshangaa; lakini hashangai Serikali kuwafukuza shule wanawake

    Wakuu amani iwe nanyi Mwendelezo wa mtifuano mkali, CCM sasa inamtetea mwanamke kwa kila namna. Ni hivi: Jana spika Job Ndugai alisema kuwa hawezi kuwafukuza bungeni wale akina mama kwa sababu dunia nzima itamshangaa kwa kuwafukuza wanawake bungeni na hali hiyo itapelekea yeye binafsi...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

    Ataagwa kesho Lugalo Jeshini kabla ya mwili kusafirishwa kwa maziko Mkoani Mara. Alilazwa Hospitali ya Mloganzila kwa Matibabu baada ya kunywa sumu. Marehemu Daniel Mirumbe Marwa alikuwa Askari wa Kikosi cha Jeshi 92 KJ na mkewe aliyemuua aliitwa Joyce Ismail Bhoke. Marehemu hao wameacha...
  4. Commander In Chief

    JamiiForums Tanzania TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

    Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni. Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu...
  5. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkenya Kandie avunja rekodi ya dunia kwenye mbio za half marathon

    Wanariadha wanne wamemaliza chini ya muda wa dakika hamsini na nane. This was the fastest half-marathon in history. Kwenye wanariadha waliomaliza top ten, kuna Wakenya wasita. Halafu kilichonishangaza ni kuwa mwanariadha aliyemaliza wa kumi ni Mtanzania anayeitwa Gabriel Geay. Naona wabongo...
  6. comte

    JamiiForums Tanzania Sasa Watanzania ndiyo tumekuwa soko la dunia la mataifa mengine

  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Rais wa zamani wa Ufaransa Valery Giscard d'Estaing afariki dunia

    Aliyekuwa Rais wa zamani wa Ufaransa Valery Giscard d'Estaing amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94,baada ya kuugua homa inayosababishwa na Virusi vya Corona. Rais huyu aliiongoza nchi ya Ufaransa kutoka mwaka 1974 Hadi mwaka 1981. Valery amefariki nyumbani kwake na taarifa zinasema kuwa...
  8. Jokajeusi

    JamiiForums Tanzania Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

    Kwema wadau! Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya...
  9. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Papa Baupa Diop afariki Dunia

    Tuliofuatili World Cup 2002 tunamkumbuka huyu Mwamba Mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa Senegal, Papa Bouba Diop amefariki akiwa na umri wa miaka 42 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Diop anakumbukwa zaidi kwa goli lake la ushindi dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la dunia...
  10. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

  11. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Dunia Duara: Kofi kudhaminiwa na Diamond?

    Hakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
  12. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Diego Maradona afariki dunia

    Mwamba hatunaye tena. Alikuwa na miaka 60. Masikitiko makubwa. Rais wa Argentina katangaza siku 3 za maombolezo. ----- Wasifu Wa Hayati Maradona ----- Mmoja wa wachezaji waliobarikiwa, Argentina ilijivunia kipaji cha kipekee, madoido ya ajabu akiwa uwanjani, maono na kasi vilivyovutia...
  13. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Los angelitos: Je, siku ukiondoka dunia na watu watakukumbuka kwa lipi...?

    Mates,Moja kati ya maswali ambayo hua najiuliza kila siku ni je ikitokea leo nikaondoka je jamii iliyonizungukai tanikumbuka kwa yapi? Je dunia itanikumbuka kwa lipi/jambo lipi nililoitendea? au ndio nikiondoka watanifukia tu na kunisahau au watabaki wananikumbuka kama mtu niliyefanya kitu...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Star TV mbona mnakatisha matangazo ya BBC Dira ya Dunia?

    Kama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda. Ni hayo tu kwa uchache. Maendeleo hayana vyama!
  15. Mla Bata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania The Ugly truth: Tunaishi kwenye dunia iliyojaa watu wenye ubinafsi wa kihisia

    Wasaalam! Ni ukweli pasi na shaka, hakuna kitu kizuri duniani kama mapenzi, kupendwa, iwe na ndugu (familia), rafiki ama mpenzi. Love is most beautiful feeling in the world, yet people are afraid to be in it. 😤 Whether we know it or not most of us are afraid of really being in love. Kupitia...
  16. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania Afariki dunia kwa kugongwa na treni akiidandia

    Mtu mmoja, Galula Luhende, mkazi wa Malampaka, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, amefariki dunia baada ya kugongwa na Treni. Mtu huyo anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 45 na 50, miguu yake yote miwili pia ilikatwa na Treni baada ya kumkanyaga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, ACP...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Bobby Brown Jr afariki dunia akiwa na umri wa miaka 28, amefariki miaka 5 tokea kifo cha dadake Bobby Kristina

    Bobby Brown apoteza Mtoto Mwingine ndani ya Miaka 5 Kijana huyo Bobby Brown Jr amefariki akiwa na miaka 28 Dadake Bobby Kristin alifariki Miaka 5 iliyopita Kwenye ajali yenye utata Taarifa zaidi za chanzo cha kifo cha Jr zitatolewa na Polisi ----- LOS ANGELES — Bobby Brown Jr., the son...
  18. Terrible Teen

    JamiiForums Tanzania TANZIA Naibu Kamishina wa Polisi, Dhahiri Kidavashali afariki dunia

    Kama kawaida ya mipango ya Mungu. Kamanda Athuman Kidavashali aliyekuwa kamishina wa Polisi Makao Makuu amefariki. Poleni sana Makamanda wote. Kifo hakina huruma kinambeba kila mtu awe mwalimu, polisi, mkulima, Rais, waziri na yeyote yule. ========== Mkuu wa Jeshi la polisi,(IGP Simon...
  19. Leslie Mbena

    JamiiForums Tanzania Tanzania kutokuwa na Corona katika taarifa za dunia kumewachengua wazungu

    TANZANIA KUTOKUWA NA CORONA KATIKA TAARIFA ZA JANA ZA DUNIA KUMEWACHENGUA WAZUNGU. Leo 18:30hrs 16/11/2020 Leo nilizungumza na Wachina waliokatazwa na nchi yao ya China kurudi kwao China kwa sababu huu ni msimu wa baridi China na kama mtakumbuka mwezi huu ndio kicorona kilianza uko China...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Je, wajua: Rais mwenye rekodi ya dunia ya kuongoza muda mrefu

    Rais Omar Bongo wa Gabon ni Rais anayeshikilia rekodi ya dunia ya kuwa Rais aliyeongoza muda mrefu zaidi duniani. Rais huyo aliongoza Gabon kwa miaka 42 tangu Desemba 2, 1967 hadi alipofariki Juni 8, 2009. Aikuwa akipita bila kupingwa kwa miaka ya awali walipokuwa na mfumo wa chama kimoja...
Back
Top Bottom