Hivi kikombe cha Babu hakitibu Covid 19?Maana maelfu walimwamini huyu mzee.
Kuna mwenye mrejesho kwamba mzee hakuwa tapeli na watu walipona.
View attachment 1699473
Huyo mpiga picha dah anafeli sana..
jero aisee.. ila nyomi lake sio la nchi hii..Hivi kilikuwa shin'ngapi kikombe??
Ebu usituchoshe, muulize huyuHivi kilikuwa shin'ngapi kikombe??
Wakati ule kulikuwa na maandamano ya nchi nzima iliyoratibiwa na chadema na Dr.Slaa ,ilikuwa mbinu yaTISS kumaliza maandamano ikaanzishwa propaganda ya kwamba mzee anatiba ,watu wakaacha maandamano wakahamia kwenye kikombeKijijini kwetu kuna watu walienda na hawakupona. Huyu mzee inabidi ashtakiwe kwa kosa la kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu.
Sasa ndio hadi mkulu alitimba?Wakati ule kulikuwa na maandamano ya nchi nzima iliyoratibiwa na chadema na Dr.Slaa ,ilikuwa mbinu yaTISS kumaliza maandamano ikaanzishwa propaganda ya kwamba mzee anatiba ,watu wakaacha maandamano wakahamia kwenye kikombe
Hii sikubali kabisa. TISS wa grade za juu kina Mzee Pinda na hata rais mwenyewe mbona walienda. Kwa nini hawakuwa briefed mapema wakaepukaSasa ndio hadi mkulu alitimba?