Siku hizi zipo za umeme zinaitwa food processor, zinasaga nafaka, zina kata kabichi, zina kamua juice. Unabadilisha tu kifaa kwa kazi unayoihitaji.Swadakta, ila hii mashine kwetu tulikuwa nayo siku nyingi Sana. Hata kwa kuangalia inaonekana Ni teknolojia ya zamani
Ungeweka na bei yake etySiku hizi zipo za umeme zinaitwa food processor, zinasaga nafaka, zina kata kabichi, zina kamua juice. Unabadilisha tu kifaa kwa kazi unayoihitaji.
Haiwezi kuondoa umuhimu wa zile mashini kubwa unga wake hizi una walakini Mara nyingi particles siyo ndogo Kama za machine ya mama kanuti.View attachment 1703427
Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
Bila shaka ushughulikie chura vizuriSky you are kidding!!Mimi ninavyopenda dona nahitaji hiyo mashine haraka sana!!
View attachment 1703427
Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
Naomba picha kama unazo.Siku hizi zipo za umeme zinaitwa food processor, zinasaga nafaka, zina kata kabichi, zina kamua juice. Unabadilisha tu kifaa kwa kazi unayoihitaji.
Mchuja nafaka katika ubora wakoHaiwezi kuondoa umuhimu wa zile mashini kubwa unga wake hizi una walakini Mara nyingi particles siyo ndogo Kama za machine ya mama kanuti.