Hongera Rais Magufuli kwa uamuzi wa kijasiri. Wewe ndiye Rais bora dunia nzima

Status
Not open for further replies.

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,577
15,337
Tulipoamua kumuomba Mungu kuhusu janga la corona akasikia, hatupaswi tena kurudi nyuma.

Sasa sio wakati wa kuomba tena au kulialia ni wakati wa "Kumshukuru Mungu kwa kuliponya taifa wakati ule na sasa".

Tusiyumbishwe na Maneno. Nimefuatilia Watanzania wengi sana wanapenda kufa. Yaani mchana kutwa wanaongea kufa kufa tu, wanasahau maandiko yanasema suala la kufa au kuwa hai liko mikononi mwa ulimi.

Ukipenda na kutajataja na kufuatilia habari za kufa utakuwa hakika.

Ukipenda uzima, ukatamka uzima ukazungumzia uwezekano wa kuwa mzima katikakati ya tishio la kufa utakuwa mzima. Hii ni kanuni. Hata humu wengi tutawapoteza, na wengi watapoteza uhai kwa kupenda kufa, ulimi wao kujaa mambo ya kufa kufa.

Ujasiri wako kusimamia na Mungu wakati ule, wakati huu tangaza maombi ya shukrani tu kwa kile Mungu alichotufanyia bila kujali kinachoendelea humu na taaruki zinazotengenezwa ili watu warudi katika hali ya hofu. Nakuhakikishia tukishukuru wiki haiishi wasiwasi unaotengenezwa unakatika.

Tulianza na Mungu tumalize na Mungu bila kujali nini kinaendekea. Tulishinda kwa imani tumalize kwa imani.

Wakati Mungu anafanya kazi kwa imani. Ibirisi anafanya kazi kwa hofu, hata hofu za kisayansi na kibeberu.

Unapolialia jamani, ooh tuachieni tufe, fungeni mashule,masoko, tangazeni kila Kona kuna corona ili tufe jamani alafu hutoi mfano wa nchi iliyofanya hivyo ikapona ni UJINGA. Kwa maamuzi ya Kiungu nchi ilisonga, sasa tumshuruku tu.

Asante,
 
Kwani nini kinaendelea mkuu?

Ujinga ni kudai kwamba tunamtegemea Mungu huku tukiwa tunauficha na kuufinyanga ukweli. Tunamtegemea Mungu huku tumeukumbatia na kuupiga rangi unafiki.

By the way, Mungu tunaemtegemea ni yule yule tulieletewa na mzungu, ambae pia mzungu huyo huyo ndo alietengeneza chanjo za COVID ambazo tunasema wanataka kutuua nazo?

Mungu tunamtegemea wa wazungu, huku tukipiga nyungu na kujifukiza na kukataa dawa na chanjo za huyo mwenye mungu wake.
#Ukweli hauzami hata ukiutupa katikati ya bahari.
 
Sawa sawa tuko vizuri si wenyewe mnaona
Tuko vizuri-.jpg
 
Kwani si hakuna ugonjwa unaotusumbua? Kwanini tumsumbue Mungu kwa kuomba atusaidie shida ambayo haitusumbui.

Sisi ni wataalam na tuna mbinu zetu kupambana na magonjwa mengi. Tuache usumbufu kwa Mungu.

TUENDELEE KUJIFUKIZA, MAJIBU YAMEANZA KUPATIKANA.
Ishi kulingana na mazingira na muda!

Eti kisa alisema mwaka jana hakuna corona ndp mpaka leo ujue hakuna corona..!! Kwani kipindi china ndo unaanza uo ugonjwa USA, Itary ulikuwepo?
 
Makubwa haya tena Sheikh. Kumbe kinachoua sio corona ni ulimi wa MTU. Simblisi ni smblisi tu
Sheikh Jaribu kutulia Mkuu.

Baiolojia ulisomea wapi Mkuu. Kifo kipo Kabla ya korona. Ulimi na imani yako juu ya kifo vinanafasi Kubwa sana katika kuaccerelate uharaka wa kifo chako.

Sio Mimi, Maandiko ya kidini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom