Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,004
- 54,273
Mwandishi mkongwe wa habari za mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia kwa changamoto ya upumuaji huko Morogoro Hospitali ya Rufaa
Mwandishi Vedastus Sungu alikuwa akipatiwa tiba kwenye Hospitali ya SUA, hali yake ilipozidi kuwa tete sana akahamishiwa Hospitali ya Rufaa Morogoro ward number 4 mpaka umauti ulipomkuta.
====
Morogoro. Mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha ITV mkoani Morogoro, Vedasto Msungu amefariki dunia leo jioni Jumatano Februari 17, 2021 katika hospitali ya rufaa Mkoa huo. Alilazwa katika hospitali hiyo jana Jumanne Februari 16, 2021 baada ya kupata tatizo la upumuaji.
Akithibitisha kifo hicho Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ritha Lyamuya amesema, Msungu aliyekuwa amejikita zaidi katika Uandishi wa habari za Mazingira,
Chanzo: Radio One.
Mwandishi Vedastus Sungu alikuwa akipatiwa tiba kwenye Hospitali ya SUA, hali yake ilipozidi kuwa tete sana akahamishiwa Hospitali ya Rufaa Morogoro ward number 4 mpaka umauti ulipomkuta.
====
Morogoro. Mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha ITV mkoani Morogoro, Vedasto Msungu amefariki dunia leo jioni Jumatano Februari 17, 2021 katika hospitali ya rufaa Mkoa huo. Alilazwa katika hospitali hiyo jana Jumanne Februari 16, 2021 baada ya kupata tatizo la upumuaji.
Akithibitisha kifo hicho Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ritha Lyamuya amesema, Msungu aliyekuwa amejikita zaidi katika Uandishi wa habari za Mazingira,
Chanzo: Radio One.