Mtu mmoja, Galula Luhende, mkazi wa Malampaka, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, amefariki dunia baada ya kugongwa na Treni.
Mtu huyo anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 45 na 50, miguu yake yote miwili pia ilikatwa na Treni baada ya kumkanyaga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, ACP...