dunia

  1. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Balozi Richard Mariki, Katibu Mkuu mstaafu KKKT Afariki dunia

    Balozi Richard Mariki amefariki Jumapili iliyopita. Amesumbuliwa na changamoto ya kupumua kwa muda mfupi. Anakumbukwa kwa ustaarabu wake na alikuwa muumini pale Mbezi Beach KKKT.
  2. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Wakili Msomi N.I.N Munuo afariki dunia hospitali ya KCMC

    TLS imeondokewa na mwanachama wake wakili mwandamizi
  3. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo cha Diplomasia, Dkt. Ahmed Mtengwa afariki dunia

    Habari kwenu ndugu zangu. Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo. Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM...
  4. Inside10

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Deogratius Rugaimukamu afariki dunia

    RIP our lecturer
  5. Q

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mhandisi Charles Salus Ogare wa DART afariki dunia

    Mtendaji Mkuu Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART Mhandisi Ronald Lwakatare anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya ya Maendeleo ya Usafirishaji Mhandisi Charles Salus Ogare kilichotokea saa 11: 00 asubuhi Januari 25, 2021 katika Hospitali ya Mloganzila jijini Dar es...
  6. G Sam

    JamiiForums Tanzania TANZIA Khalfani Seleman Kikwete ambaye ni kaka wa Rais mstaafu Kikwete afariki dunia

    Rais mstaafu Jakaya Kikwete anatangaza msiba wa kaka yake ndugu Khalifan Seleman Kikwete uliotokea leo asubuhi. Msiba upo Msasani kwa Rais huyo mstaafu. -- TANZIA Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki...
  7. U

    JamiiForums Tanzania TANZIA Padre Ireneus Mbahulira amelala usingizi wa umauti akipatiwa matibabu Hospitali ya Mugana

    Ni huzuni Ni majonzi Mpendwa wetu ametutoka akipatiwa matibabu Hospitali Mugana wilayani Misenyi Mtumishi huyu wa Bwana amehitimisha safari yake ya Utume katika Parokia ya Mtakatifu Yohana Maria Muzeyi - Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Mwili wa Mwendazake huyo utapumzishwa Jumatatu kwenye...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania TANZIA Larry King, Mtangazaji nguli kwa zaidi ya miaka 50 afariki dunia

    Nguli wa habari Larry King kwa habari zilizopo ameshikwa na umauti akiwa na umri wa miaka 87. Kwa taarifa zilizopo ikidaiwa covid -19 alipokuwa akipatiwa matibabu Los Angeles. Anakumbukwa kwa umahiri wake wa kuhoji na kufanya vipindi na watu wakubwa, matijiri, viongozi na n.k King died at...
  9. Inside10

    JamiiForums Tanzania TANZIA Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brig. Jen Mstaafu Emmanuel Maganga afariki Dunia

    Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig. Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu. Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga alistaafu mwezi Julai, mwaka 2020 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
  10. Q

    JamiiForums Tanzania TANZIA Tanzia: Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Umbulla(CCM) afariki dunia

    Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) afariki dunia Thursday January 21 2021 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla amefariki dunia Januari 21, 2021 katika Hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa matibabu. Martha Jachi Umbulla (amezaliwa 10 Novemba 1955) ni mwanasiasa...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Dunia ni duara wahenga walisema, kila unalolifanya linakurudia wewe mwenyewe

  12. J

    JamiiForums Tanzania Trump: We will be back in some form

    Hakika madaraka ni matamu sana. Katika hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani Trump ameaga na kuwaahidi Wamarekani na dunia kwa ujumla kwamba atarejea kivingine soon. Hakika Tanzania tuna utaratibu mzuri wa kuachiana madaraka kwa heshima. Maendeleo hayana vyama!
  13. D

    JamiiForums Tanzania Hongera Joe Biden pengine utajenga mahusiano mazuri na Dunia

    Kuapishwa kwa Joe Biden kama Rais wa Marekani leo kumefuatiliwa na wananchi wa dunia na pengine imefurahiwa na wengi kwa vile walio wengi wanatarajia mabadiliko ya utekelezaji wa sera za Marekani kuhusu Afrika na mataifa mengineyo hususani ya nchi zinazoendelea. Ni ukweli usiopingika Triump...
  14. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

    Kumbe imawezekana Afrika tukaanzisha au kupromote vitu vyetu. Chini ni picha 2 za watu 2 tofauti like African comedians zilizo bamba sana.
  15. Traveller_mona

    JamiiForums Tanzania Kipi kimejaza dunia kwa wingi Kati ya mimea na wanyama

    Heshima kwenu wakuu! awali ya yote ni kwamba duniani kuna vitu ambavyo vinaonekana na vile ambavyo havionekani(holybooks). Katika upande wa vitu ambavyo vinaonekana kuna vitu vingi nadhani kuna wanyama, mimea bacteria na n.k Lakini ambavyo labda vinachukua nafasi kubwa kiumbo kuna mimea na...
  16. Heci

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchungaji Owdencalm Mpayo afariki dunia

    Mchungaji Owdencalm Mpayo amefariki dunia alasiri ya leo katika hospital ya Rufaa Mbeya alikokuwa amelazwa kwa ajili ya matibu. Wakati wa uhai wake, Mchungaji Owdencalm Mpayo aliwahi kuhudumu kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa kiroho. Mchungaji Owdencalm Mpayo ameshawahi kuwa Mkurugenzi wa...
  17. Gama

    JamiiForums Tanzania Usalama wa dunia na usalama wa USA ukoje baada ya Trump kuondoka ikulu na nuclear football?

    Trump amegoma kushiriki hafla ya kumuapisha mfuasi wake. Hafla hiyo, pamoja na Mambo mengi, anatakiwa kukabidhi nuclear football kwa Rais mpya. State imeridhia aondoke nayo kwakuwa itakuwa de activated. Najiuliza; Hivi nchi nyingine hawawezi kuiba hiyo tech kwa kutumia diactivated device, vipi...
  18. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Wewe uliyenirudishia shilingi 10 badala ya jero nakwambia hii dunia ni ndogo sana

    Tutaonana tu 😡😡
  19. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania TANZIA Boyd Mwabulanga aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya afariki dunia

    Pamoja na kuwa Katibu wa Mkoa wa Mbeya, Brother Boyd alikuwa pia diwani wa Kata ya Forest, aliyewatumikia wananchi pamoja na chama chake kwa uaminifu mkubwa sana. Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho yake. Amina
  20. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Katika dunia ya sasa, mheshimu sana yule anayefunga safari kuja kukutembelea "physically"

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wa humu JamiiForums. Katika dunia ya sasa ambayo watu huweza kujuliana hali kwa njia ya simu/mitandao, muheshimu sana yule anayefunga safari kuja kukutembelea "physically" Kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa anaitwa Adonijah yeye alikuwa anatufundhisha somo...
Back
Top Bottom